Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ni mali ya wananchi wote wenye vyama na wasio na vyama kuleta viashiria vya kichama katika mambo ya utaifa ni mbaya sanaCCM wanadai nchi ni mali yao.
Kwa kweli asipotokea mtu wa kuwakanya juu ya hili itabidi iwe hivyo tutake tusitakeNilishasema kitambo kuwa nchi sasa iitwe nchi ya ccm, isiitwe tanzania, tunaomba nchi hii itambulike ni nchi ya ccm tuvae kijani mwanzo mwisho
Analysis kwanza lazima ifanyike usikute kuna shida ktk kamandi za wenzetu huko so wanatuuza.Sasa hivi wanatakiwa wawe DRC kulipa kisasi cha kishindo cha tsunami
Huwa utakuta ni watu na familia zao wanaofanya hivyo katika sherehe au mkusanyikobwa serikali, nilichogundua mie utakuta wale wakubwa au wageni waalikwa wanavaa nguo za kawaida, wenzangu na mie utakuta kijani mwanzo mwishoKwa kweli asipotokea mtu wa kuwakanya juu ya hili itabidi iwe hivyo tutake tusitake
Tusemeni tu UHURU WA TANGANYIKA, tusijibabaishe kukaa kusema uhuru wa TANZANIA BARA
Mkuu nina hasira na hao ADF kama ninavyowachukia waliompiga lisasi LissuAnalysis kwanza lazima ifanyike usikute kuna shida ktk kamandi za wenzetu huko so wanatuuza.
Tafuteni nchi ya kwenu na nyie.CCM wanadai nchi ni mali yao.
kama kawa wamevaa jezi zao pale jamhuri stadium inaboa sanaNa leo wamevaa? Nakumbuka kipindi fulani PM aliwakemea haileti picha nzuri hata kidigo ktk matukio ya kitaifa. Ukizingatia sio chama kilicholeta Uhuru
kabisa wale wa kujipendekeza ndio style zao hizo wakati viongozi wakuu hawajavaa hio mijeziHuwa utakuta ni watu na familia zao wanaofanya hivyo katika sherehe au mkusanyikobwa serikali, nilichogundua mie utakuta wale wakubwa au wageni waalikwa wanavaa nguo za kawaida, wenzangu na mie utakuta kijani mwanzo mwisho
wewe ndio wale mnaotesa na kunyanyasa watu kisa tu una mali au uwezo kumzidi ila kumbuka hamna permanent situation kwa human beingTafuteni nchi ya kwenu na nyie.