Sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara(Tanganyika): Babu Seya na Wafungwa wengine 8,157 Wasamehewa

Sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara(Tanganyika): Babu Seya na Wafungwa wengine 8,157 Wasamehewa

Tujivunie zaidi uhuru wetu? Sawa, lakini tuambizane ukweli pia. Hakuna mtu anayeupigania uhuru huu. Tukiongelea uhuru wetu, tunaongele TANZANIA. Kwa hali ilivyo sasa, tuna watu wanaopigania zaidi maslahi ya vyama vyao kuliko wanavyoipigania TANZANIA. Wamekuwa wakiitumia Tanzania kama "Scapegoat" ili kufanikisha adhima hiyo. Utawasikia wakisema wanawapigania wanyonge, lakini kiukweli wanakipigania chama chao. Wanyonge wanaosema wanawapigania kila siku, wamebaki katika hali almost zile zile kwa miaka yote 56. Tunapoadhimisha miaka 56, ni lazima tutafakari upya kuhusu Tanzania. Ni nani hasa yuko tayari kukipoteza chama chake siasa kwa ajili ya Tanzania???
 
Sherehe zinafanyikia kwenye kiwanja ambacho CCM ilikipora toka kwa wananchi
 
Mimi naona na bendera ipepee nusu mlingoti..
Kama samwel sita alipofariki ulikua ni msiba wa kitaifa inakuaje our fallen heroes 14 wanakufa alafu inakua like nothing happened



!
!
Sawa kabisa mkurugenzi.
Sasa hawa wenzetu wanawaza kutupa maigizo hapo uwanjani.
Na nadhani pia wanakunja posh zao fresh tu.
Badala ya kuchoma visu hewa, au kushuka kutoka kwenye ile chopper na kuokoa watu ambao hawajitetei kwa lolote haisaidii. Wakashuke huko DRC wakawachome Hao waasi visu, wakawaokoe wenzao huko. Haya maonesho siyo core business yao
Ni maoni tu
[HASHTAG]#tusijeanzataftana[/HASHTAG]
 
Sherehe za Uhuru mwaka huu zinatia huzuni sana,hakuna shamrashamra uwanja mzima watu wamezubaa,wengine ni full kushangaa,jukwaa la viongozi hasa marais wastaafu sura zao ni mshangao tupu kama wapo ugenini vile.

@Makomando wanaingia kwenye kontena la magaidi kama wanaingia kukamata mbuzi.....hapa kama lengo lilikuwa ni kuonesha weledi wamezidiwa hata na makomando wa Google!!

polisi wa pikipiki ndo wametia hasira kabisa!!!
Yan hadi bodaboda wananafuuu!!

Kiufupi kilichopo hapa uwanjani ni maigizo kuanzia viongozi hadi wananchi hakuna mwenye Uhuru wa Nafsi!!!
Watu wapo wanasogeza siku ipite!!
 
Mnaoangalia Tv mtakuwa mashahidi kila tukio linaboa kuna kila dalili maandalizi ni mabovu sana!!!
 
Habari wakuu kiukweli bila kumumunya maneno nimekua mfatiliaji sana Wa hili zoezi La kutoa heshima kwa Mh Rais kwa hizi ndege za kivita kwenye jeshi La Anga.

Kiukweli kabisa hili zoezi ni La hovyo saaaana hakuna cha Utofauti kabisa kinachoonyeshwa hapa katika umahili Wa kutumia hizi ndege. Tofauti na awali kipindi cha Julius (Mwl) Nakumbuka uwanja Wa Uhuru ndege za kijeshi zilikua zinaruka kwa madaha na tambwe zaidi ya mbili mpaka ikatokea ajali manjonjo yalikuwa mengi.

Lakin Rubani yule alijitahidi ndege isiangukie pale uwanjani akaitupia nje ya uwanja na kufariki pale pale, na wazungu walitusema sana.. Ilikua ni wakati tunapokea mashujaaa kutoka vitani ,wahenga watakumbuka..

Binafsi , naona Sasa hivi hakuna wanachofanya yani hata kurusha ndege Tatu kwa pamoja hawawezi .Bora walifute tu hili zoezi. YAMENIKERA SAANA AAAAARGH
 
Watafanya jeshi letu lidharaulike, na kuzidi kulishambulia huko Congo. Sio kwa makomandoo hawa. Looh!!
 
Kwa kweli kati ya mambo yanayokera sana ni hili la wafuasi wa chama tawala kuvaa sare za chama chao katika shughuli mbalimbali za kitaifa amabazo kimsingi si za kiitikadi kwa kisingizio cha kuwa wao ndio chama dola hakika si sawa kwani suala la wao kuwa chama dola linfahamika na linapokuja suala la kitaifa umoja usio na itikadi ni jambo la msingi zaidi kuliko kuleta viashiria vya kichama.
Hawa wanatofauti gani na wanaovaa uniform za chama bungeni? Wengine tukisema wafuasi wa hivi vyama ni misukule tunaoga matusi toka pande zote
 
Habar wakuu kiukweli bila kumumunya maneno nimekua mfatiliaji sana Wa hili zoezi La kutoa heshima kwa Mh Rais kwa hizi ndege za kivita kwenye jeshi La Anga..
Kiukweli kabisa hili zoezi ni La hovyo saaaana hakuna cha Utofauti kabisa kinachoonyeshwa hapa katika umahili Wa kutumia hizi ndege. Tofauti na awali kipindi cha Julius (Mwl) Nakumbuka uwanja Wa Uhuru ndege za kijeshi zilikua zinaruka kwa madaha na tambwe zaidi ya mbili ..Mpaka ikatokea Ajali .manjonjo yalikua Mengi ..Lakin Rubani yule alijitahidi ndege isiangukie pale uwanjani akaitupia nje ya uwanja na kufariki pale pale, na wazungu walitusema sana.. Ilikua ni wakati tunapokea mashujaaa kutoka vitani ,wahenga watakumbuka..

Binafsi , naona Sasa hivi hakuna wanachofanya yani hata kurusha ndege Tatu kwa pamoja hawawezi .Bora walifute tu hili zoezi. YAMENIKERA SAANA AAAAARGH
We una wazo kama langu, uharibifu wa kodi zetu tu,
 
Matazamio yamekua sivyo, ufanisi umepungua.
 
Hawa makomandoo nadhani wana wasiwasi kuwa huenda waasi wa Congo wapo hapo Dodoma! wamekaa kimachalemachale! Maana unaweza kusikia paaap makomandoo wote chini!
 
Habar wakuu kiukweli bila kumumunya maneno nimekua mfatiliaji sana Wa hili zoezi La kutoa heshima kwa Mh Rais kwa hizi ndege za kivita kwenye jeshi La Anga..
Kiukweli kabisa hili zoezi ni La hovyo saaaana hakuna cha Utofauti kabisa kinachoonyeshwa hapa katika umahili Wa kutumia hizi ndege. Tofauti na awali kipindi cha Julius (Mwl) Nakumbuka uwanja Wa Uhuru ndege za kijeshi zilikua zinaruka kwa madaha na tambwe zaidi ya mbili ..Mpaka ikatokea Ajali .manjonjo yalikua Mengi ..Lakin Rubani yule alijitahidi ndege isiangukie pale uwanjani akaitupia nje ya uwanja na kufariki pale pale, na wazungu walitusema sana.. Ilikua ni wakati tunapokea mashujaaa kutoka vitani ,wahenga watakumbuka..

Binafsi , naona Sasa hivi hakuna wanachofanya yani hata kurusha ndege Tatu kwa pamoja hawawezi .Bora walifute tu hili zoezi. YAMENIKERA SAANA AAAAARGH
Ila utoaji heshima kwa KUZUNGUSHA MIKONO ni zoezi mujarabu!?
Pathetic swine!
 
Back
Top Bottom