Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Hiyo gharama ya kuwa nazo na kuziendesha ni kubwa mno.wakalete su-24 su-35 ,Su-27 su-30,su-33 na MiG-35 zitamudu hayo manjonjo marubani nao wakachukue kozi ya kutosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo gharama ya kuwa nazo na kuziendesha ni kubwa mno.wakalete su-24 su-35 ,Su-27 su-30,su-33 na MiG-35 zitamudu hayo manjonjo marubani nao wakachukue kozi ya kutosha
Babuuuuuuu....unapenda sifaaaTunajua kwenu hakuna zuri.
KAMA MUNGU AKKUJALA KWENDA KIVU YALIPOTOKEA MAUAJI YA HAO WANAJESHI WETU WATAKUSIMULIA KILICHOTOKEA HATUSEMAGI LA RAIA WATASEMA REJEA MAUAJ YA DAFURWanajeshi wengine wapelekwe DRC tukalipe kisasi kwa ADF wameua askari wetu wengi sana roho inaniuma
Mpaka wakubwa wenyewe wakemee. Shughuli ya kitaifa ibaki ya kitaifa marufuku kuvaa nguo za chama au kuongelea mambo ya vyamaNapenda hizi sherehe ziwe zinajitofautisha na mambo ya siasa na vyama.
Jana nimesikitika sana kuona kampeni ya uzalendo ikigubikwa na uchama.
We have a long way, very long way to go and it is likely we will never get there.
Hongera sana na uwe na umri mrefu ili uendelee kuwatawala cdm kwa maisha yako yote.[HASHTAG]#KUMBUKUMBU[/HASHTAG] Desemba 9, 1961, alizaliwa mwanasiasa na kiongozi wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe. Kutokana na kuzaliwa siku ya Uhuru wa Tanganyika, imeelezwa kuwa sababu ya kuitwa 'Freeman'.
Andika neno lolote kumtakia heri
Acha wafe tuu,wanatumika kumlinda mbaya wetu.KAMA MUNGU AKKUJALA KWENDA KIVU YALIPOTOKEA MAUAJI YA HAO WANAJESHI WETU WATAKUSIMULIA KILICHOTOKEA HATUSEMAGI LA RAIA WATASEMA REJEA MAUAJ YA DAFUR
hahaha watu mna vitukoKuna mwingine alikuja kanisani amevaa nguo ya ccm ilipofika muda wa kupeana amani nikawa nampotezea kila akinipa mkono, badae nikamwambia yesu alisurubiwa kwajili ya lichama kama lenu sasa unapovaa hayo manguo kanisani ni kuleta mapepo kwenye nyumba ya bwana!
Acha upumbavu wanaume wanapo ongea maswala ya umuhimu..Kuzungusha mikono limeingiaje hapa sio Uzi Wa siasa huu kama we ni mfatiliaji Wa hili zoeziIla utoaji heshima kwa KUZUNGUSHA MIKONO ni zoezi mujarabu!?
Pathetic swine!
Ni kweli lakin .mbona mwanzo walifanya vyema tu na hiz hizwakalete su-24 su-35 ,Su-27 su-30,su-33 na MiG-35 zitamudu hayo manjonjo marubani nao wakachukue kozi ya kutosha
[emoji1] [emoji1]Babuuuuuuu....unapenda sifaaa