Sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara(Tanganyika): Babu Seya na Wafungwa wengine 8,157 Wasamehewa

Sherehe za miaka 56 ya Uhuru wa Tanzania Bara(Tanganyika): Babu Seya na Wafungwa wengine 8,157 Wasamehewa

Ni fahari sana kuwa katika nchi huru na raia wake wakiwa huru na wenye amani.
Najivunia sana kuwa Mtanzania!
 
!
!
Nadhani kwa tukio la Jana huko DRC ingekuwa Uzalendo kuahirisha sherehe.
Aidha, badala kuonesha ukakamavu uwanjani kama gwaride sijui kuvunja mawe kwa kichwa sijui misumari wangeenda kufanya kweli hukohuko. Sioni tija ya saluti za ndege, kushuka na maparachuti uwanjani au watu kupigiza miguu chini kwa nguvu wakati huko kwenye field hali ni kama tulivyojuzwa Jana.
Ni maoni yangu tu, sio lazima nanyi muwaze kama mimi. [HASHTAG]#tusijeanzatafutana[/HASHTAG]
 
Hivi haya maadhimisho bado yanaendelea?hatubani matumizi tena loh
 
Sherehe za kumbukumbu ya Uhuru kitaifa zinapaswa kufanyika pale mahala ilipofanyika mara ya kwanza 9/12/1961 na siyo kwingine kokote Nchini Tanganyika.
Hili lakuipeleka Dodoma si sahihi kwamtazamo wangu , waungwana mnalionaje hili?
 
!
!
Badala ya kupiga hewa au vibao au k
Uhuru uko wapi! mnasherekea uhuru wakufanisi viongozi wakijiudhuru na wanaokufa maskini wanangu .......mungu aliwapa madini mna binafsisha mkabulu

Nakwenda Zimbabwe


!
!
Aliyetunga na kuimba hiki kibao naye Leo yupo kusheherekea
 
Kuahirisha sherehe wakati ADF walifanya tukio wakijua 9 dec imefika ni kuwapa ushindi.

Hawa wanaofanya tathmini ya kushambuliwa kwa wanajeshi wetu wasisahau kulipa uzito suala la makanikia maana hizi ni hujuma kwa Magufuli na serikali yake bila ya shaka yeyote ile. Hata habari hizi zilivyotolewa na hao wa UN zina ukakasi huo.
 
!
!
Nadhani kwa tukio la Jana huko DRC ingekuwa Uzalendo kuahirisha sherehe.
Aidha, badala kuonesha ukakamavu uwanjani kama gwaride sijui kuvunja mawe kwa kichwa sijui misumari wangeenda kufanya kweli hukohuko. Sioni tija ya saluti za ndege, kushuka na maparachuti uwanjani au watu kupigiza miguu chini kwa nguvu wakati huko kwenye field hali ni kama tulivyojuzwa Jana.
Ni maoni yangu tu, sio lazima nanyi muwaze kama mimi. [HASHTAG]#tusijeanzatafutana[/HASHTAG]
Mimi naona na bendera ipepee nusu mlingoti..
Kama samwel sita alipofariki ulikua ni msiba wa kitaifa inakuaje our fallen heroes 14 wanakufa alafu inakua like nothing happened
 
Ni vema uhuru wa Taifa hili ikawa ni siku ya kukumbuka wapi tumetoka na tunaelekea wapi!!!!kujadili uwepo wa dira ya Taifa badala ya sera za vyama vya siasa, kujadili uhuru wa Kiuchumi na sio kisiasa...
 
Kwa kweli kati ya mambo yanayokera sana ni hili la wafuasi wa chama tawala kuvaa sare za chama chao katika shughuli mbalimbali za kitaifa amabazo kimsingi si za kiitikadi kwa kisingizio cha kuwa wao ndio chama dola hakika si sawa kwani suala la wao kuwa chama dola linfahamika na linapokuja suala la kitaifa umoja usio na itikadi ni jambo la msingi zaidi kuliko kuleta viashiria vya kichama.
Big up for what you said. Katika nchi hii, tunavipigania zaidi vyama vyetu kuliko tunavyoipiganiaTanzania.
 
npo uwanjani hapa...
sio siri sherehe za leo zmeboa sana
hata askar wetu leo wame perform chini ya kiwango!!
 
Back
Top Bottom