Sherehe za ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Rais Magufuli na Marais Wastaafu washiriki kuweka jiwe la msingi

Sherehe za ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Rais Magufuli na Marais Wastaafu washiriki kuweka jiwe la msingi

Leo marais wastaafu wamepewa ndege aina ya tausi, tausi hawa sidhani kama wapo sehemu nyingine yoyote hapa nchini zaidi ya ikulu, je, tausi hawa hawafai kupelekwa kwenye mbuga za taifa na wakaonwa na wananchi zaidi ya waliopo ikulu?
Wasingegawiwa ungepata hilo swali? Pathetic
 
Huu mji mpaka wamalize kuujenga tutashuhudia sherehe nyingi sana. Hela zenu hizo!

Pakipakwa rangi wanafanya sherehe, wakijenga parking lot ofisi ya waziri Mkuu, sherehe!
 
Hii sherehe naona ndio kwanza inaanza leo hawa jamaa watakuwa na bata la kufa mno
 
Elewa hii ni nchi tunayotamani kuwa Taifa kubwa, Huwezi kuwa na Ikulu kama ya vinchi vingine ambako hata Boda Boda wanaweza kwenda kupiga mawe Ikulu
Kwahiyo eneo la ikulu kuwa kubwa nayo siku hizi ni dili la kujitangaza? Madikteta bwana. Si mtu anaweza kutumia uwendawazimu akazungushia mkoa mzima wa Arusha ukuta akaugeuza kuwa eneo la ikulu? Ni jambo tu la kuwa mwendawazimu kisha unaamua. Hizo tunaita simple logic!

Yani unahodhi eneo kubwa liwe ikulu ili ujitangaze kuwa una eneo kubwa la ikulu? Anajua madhara yake huyo? Siku atakuja kurudi Dar na alivyo muoga hata wa mjusi ngoja tuone.
 
Elewa hii ni nchi tunayotamani kuwa Taifa kubwa, Huwezi kuwa na Ikulu kama ya vinchi vingine ambako hata Boda Boda wanaweza kwenda kupiga mawe Ikulu
Kwa hiyo unajikinga na boda boda kupiga mawe ikulu? Haki ya Mungu mkuu una akili mgando!
 
Ndugu zangu great thinkers karibuni tujadili pamoja jambo hili,maana nimekuwa nikijiuliza sana jambo siku nyingi huyu ndege analiwa ikulu tu na kufugwa huko huko na kwa nini hawezi kufugwa kama tunavyofuga mifugo mingine kama kuku, bata,kanga,kware kwa nn huyu yuko hapo karibuni wajuvi wa mambo mtueleweshe mm na wengine tusiojua vzr mambo haya.
 
Ndugu zangu great thinkers karibuni tujadili pamoja jambo hili,maana nimekuwa nikijiuliza sana jambo siku nyingi huyu ndege analiwa ikulu tu na kufugwa huko huko na kwa nini hawezi kufugwa kama tunavyofuga mifugo mingine kama kuku,bata,kanga,kware kwa nn huyu yuko hapo karibuni wajuvi wa mambo mtueleweshe mm na wengine tusiojua vzr mambo haya.
Mambo ya kalumanzila hayo
 
Back
Top Bottom