Sherehe za ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Rais Magufuli na Marais Wastaafu washiriki kuweka jiwe la msingi

Sherehe za ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Rais Magufuli na Marais Wastaafu washiriki kuweka jiwe la msingi

Kwani tunajenga Ikulu ili ishindane na nyinginezo duniani au yawe ni Malazi tu ya Rais ambaye 24/7 anawaza Maendeleo na Changamoto za Watu?
 
Uzi umekaa kipambe zaidi sijaona la ajabu mbali na kuhonga Tausi. Andika kwa utulivu sio ushabiki.
 
Hata jengo letu la bunge ni kubwa na la kifahari kuliko Mabunge yote hapa E/Africa na kwa ufahari imelizidi bunge la UK(wafadhili wetu) na imetufanya tuwe taifa kubwa sana sasa hivi.
Hii ni kweli mzee
 
Kwa hii mikao mzee Magu na mama Maria nimewaelewa. Naona akajishtukia akasogeasogea karibu kidogo na JK..Piga kelele kwa Koona akeeeeeee
Screenshot_20200530-111253_Samsung Internet.jpg
 
Mungu aendelee kuibariki Nchi yetu

Najivunia kuwa Mtanzania
 
Hakuna aliyesema wanapelekwa mbugani, tausi ni ndege wanaoweza kuishi porini, toka baada ya Uhuru ndege hawa wapo ikulu na hakuna jitihada zozote zilizofanyika waweze kufugwa sehemu nyingine yoyote hapa nchini! Kwanini?

Mimi sijui. Ninaamini kwa miaka yote hii toka Uhuru wangetawanywa huenda tungekuwa na maelfu ya ndege hawa, ni nini kinazuia watu wa mikoani wasiweze kuwaona ndege hawa mikoani kwao?
Vibari vya kuwamiliki anatoa Rais tu.
 
Waislamu mnapenda deka
Kwenye hizi hafla za kiserikali inakuwaje wakati wa Dua na Maombi kunakuwa na rundo la maaskofu huku sheikh anakuwa mmoja tu hii inamaanisha nini? Wakati dini hizi zote ni sawa na kama madhehebu kila dini inayo kadhaa sasa inakuwaje wengine kila dhehebu waende kivyao lakini wengine wawakilishwe kijumla jumla tu, Nashauri haya mambo ya dua na maombi yaondolewe tu.
 
Podium hii haieleweki rangi ya njano haipo,mauwa ya karafuu na pamba hayaonekani,ipoipo tu
IMG_20200530_112047_4.jpg
 
Kwahiyo eneo la ikulu kuwa kubwa nayo siku hizi ni dili la kujitangaza? Madikteta bwana. Si mtu anaweza kutumia uwendawazimu akazungushia mkoa mzima wa Arusha ukuta akaugeuza kuwa eneo la ikulu? Ni jambo tu la kuwa mwendawazimu kisha unaamua. Hizo tunaita simple logic!

Yani unahodhi eneo kubwa liwe ikulu ili ujitangaze kuwa una eneo kubwa la ikulu? Anajua madhara yake huyo? Siku atakuja kurudi Dar na alivyo muoga hata wa mjusi ngoja tuone.
Unateseka sana mdau
 
Kwenye hizi hafla za kiserikali inakuwaje wakati wa Dua na Maombi kunakuwa na rundo la maaskofu huku sheikh anakuwa mmoja tu hii inamaanisha nini? Wakati dini hizi zote ni sawa na kama madhehebu kila dini inayo kadhaa sasa inakuwaje wengine kila dhehebu waende kivyao lakini wengine wawakilishwe kijumla jumla tu, Nashauri haya mambo ya dua na maombi yaondolewe tu.
Watakuwa wapo madrasa wanafunza watototo
 
Kwani tunajenga Ikulu ili ishindane na nyinginezo duniani au yawe ni Malazi tu ya Rais ambaye 24/7 anawaza Maendeleo na Changamoto za Watu?
Jenga kwako mzee ukikomalia ya rais utakufa maskini
 
Leo marais wastaafu wamepewa ndege aina ya tausi, tausi hawa sidhani kama wapo sehemu nyingine yoyote hapa nchini zaidi ya Ikulu. Je, tausi hawa hawafai kupelekwa kwenye mbuga za taifa na wakaonwa na wananchi zaidi ya waliopo Ikulu?
Tausi ni ndege wa mbugani tu kwa baadhi ya nchi duniani, ingefaa kama wangeruhusiwa kufugwa. Na wangesambazwa wawe wengi nchini kutokana na ufugaji binafsi.
 
Kwahiyo eneo la ikulu kuwa kubwa nayo siku hizi ni dili la kujitangaza? Madikteta bwana. Si mtu anaweza kutumia uwendawazimu akazungushia mkoa mzima wa Arusha ukuta akaugeuza kuwa eneo la ikulu? Ni jambo tu la kuwa mwendawazimu kisha unaamua. Hizo tunaita simple logic!

Yani unahodhi eneo kubwa liwe ikulu ili ujitangaze kuwa una eneo kubwa la ikulu? Anajua madhara yake huyo? Siku atakuja kurudi Dar na alivyo muoga hata wa mjusi ngoja tuone.
Povu limekutoka Haswa, nini Shida?
 
Back
Top Bottom