@Mzee Mwanakijiji mada nyingine inahitajika.Podium hii haieleweki rangi ya njano haipo,mauwa ya karafuu na pamba hayaonekani,ipoipo tuView attachment 1463373
JK yupo vizuri Mkuu, kamwaga madini ya kutosha ya historiaJamaa kama anazingua kama yeye ndio aliyejenga
Hukuona Kenyata alipokuja Chato tulimgawia kutoka kwenye stock yetu pale Chato ?Mkuu uliwasafirisha?
Tena bei ya kupanga iwe chee kabisa ili tuweze kumuduWajenge na vyumba vya kupanga ili sisi makapuku tuje tupange hapo ikulu
Ndege wote wanaliwa?Kwan kuna ndege asieliwa?
Mama Janeth imemchapaKwani wanashindana ?