Sherehe za ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Rais Magufuli na Marais Wastaafu washiriki kuweka jiwe la msingi

Sherehe za ujenzi wa Ikulu ya Chamwino, Dodoma. Rais Magufuli na Marais Wastaafu washiriki kuweka jiwe la msingi

"Magufuli hoi kwa kicheko"😂😂😂😂😂😂 Sisi ndo watanzania wengine copy.
 
Mmeshaambiwa. Njaa inakuja mwakani.

Mazao yauzwe bei kubwa
 
comments za hili bandiko hazifiki hata 200 licha ya muhusika kuongea muda wote huu mpaka sasa amemaliza hizi ni dalili kuwa magufuli amechuja sana aachane na mpango wa kugombea urais tena.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Hivi ikulu, kwa lugha ya kibiashara, ni asset au liability? Kwa nchi yetu ilivyomaskini, juzi tu tumeomba mkopo kutoka ufaransa kwa ajili ya miradi ya maji harafu leo, tunatenga pesa kujenga ikulu, nyingine, Dodoma ipo ikulu ndogo Eneo la uzunguni, akili za mtu mweusi.

Ingekuwa Raisi yupo akiwapokea wataaalamu wetu waliorudi kutoka masomoni Karl nyanja za kilimo, sayansi, au angekuwa amefungua kiwanda cha kwanza cha vitu vya IT, ingekuwa poa sana, sasa hilo li ikulu, linaongeza gharama tu, umeme, maji, matunzo, fucking Black Africans brain!
 
Hivi ikulu, kwa lugha ya kibiashara, ni asset au liability? Kwa nchi yetu ilivyomaskini, juzi tu tumeomba mkopo kutoka ufaransa kwa ajili ya miradi ya maji harafu leo, tunatenga pesa kujenga ikulu, nyingine, Dodoma ipo ikulu ndogo Eneo la uzunguni, akili za mtu mweusi,
Ingekuwa Raisi yupo akiwapokea wataaalamu wetu waliorudi kutoka masomoni Karl nyanja za kilimo, sayansi, au angekuwa amefungua kiwanda cha kwanza cha vitu vya IT, ingekuwa poa sana, sasa hilo li ikulu, linaongeza gharama tu, umeme, maji, matunzo, fucking Black Africans brain!
Si tija kiuchumi,labda kwenye sifa anataka akumbukwe kupitia majengo thus anajenga uwanja wa mpira Chato usio na tija kiuchumi
 
Back
Top Bottom