sawa.Nenda ustawi wa jamii ,maana ukiishi kinyumba na mwanamke kwa miezi mitatu mpaka sita sheria inatambua kuwa huyo ni mkeo,sasa ukiacha mke kwa kumtelekeza kwa muda wote huo naamini pia anakuwa huru kusaidiwa hasa upande wa kusuguana vikojoleo.
Makosa ni unapigwa akiwa mtoto akisha kuwa akajitambua lazima shauku ya kumjua mzazi halisi itaingia.Kitanda hakizai haramu, cha pili ukizaa na mke wa mtu jua umepigwa...
😅😅😆...mkuu Cheka Ila usije ukamuacha mkeo mwaka mzima bila huduma yyte...kuna wajuba LAZIMA watakusaidia tuTeh teh teh teh teh 😂😂😂😂😂 we jamaa umenivunja mbavu haa haaaa 😂😂 😂
Hapo hawezi kufanya lolote sababu yule ni mke wa mtu, yeye ataendelea kua ndugu mtazamaji...makosa ni unapigwa akiwa mtoto akisha kuwa akajitambua lazima shauku ya kumjua mzazi halisi itaingia.
jambo la msingi ni mzazi kutaka kuona ukuaji wa mtoto kumpatia mahitaji kwa kiwango cha kuridhisha ikiwa ni pamoja na elimu sio mtoto anakuja kukutafuta wakati wamesha mchelewesha kweny kila kitu.
Nenda kafungue jalada la kudai mtoto ili umlee akiwa kwako.lakini kuwa makini usije funguliwa kesi ya ugoniHabari!
Ninaomba kufahamisha sheria ya ndoa Tanzania inasemaje ikiwa umezaa na mke wa mtu? nataka kujua kama unaweza endelea kutoa matunzo ya mtoto akiwa kwenye familia nyingine...
Poasawa mkuu nitakucheki
Usisahau mwanaume alimtelekeza mkewe na kwenda kuishi na mke mwingine. Wote hapa wana hatia yafaa waridhiane. Kama wanaume wangekuwa wanabeba mimba huenda baba naye angekuwa amezaa na huyo mwanamke.Hiyo ni sababu ya kuvunjika kwa ndoa ya mtu endapo mmoja wapo atafanya kitendo cha uzinzi na ikathibitika na pia wewe unaweza kulipa fidia endapo mwenye mke ataamua kukushitaki kakini pia kwenye hali ya kawaida ikitokea kwa upande wako mkeo azalishwe na mwanaume mwingine kwako utajiskiaje au kwenye hii dunia anajiona kidume ni wewe tu au unadhani utayemuoa ni mwanamke wa tofauti sana.
Usiibe, nenda kaombe mtoto. Unalindwa na mazingira ya kuishi mtoto siyo salama. Sheria inasema hata kama mtoto ni under 7yrs, anaweza kulelewa na baba au mtu mwingine ikiwa itathibitika mtoto atakuwa salama kuliko kuishi na mamaye.wazo la kuiba linanijia akilini ila nimekuja hapa ili kujua uhalali wa kisheria mana kweli anasema ni mke wake ila swali alikuwa wapi kwa miaka mnne..?
mpaka nimegharamika kwa kiasi hiki tambua nilikuwa natoa pesa zote kwajili ya matunzo.
hatari ni ibilisi ni hatari snamkuu mbona unaitisha yani uuwe kwa sababu ya msaliti.! unawezaje kumpigania adui?
Hiyo fidia ni kama sh?Hiyo ni sababu ya kuvunjika kwa ndoa ya mtu endapo mmoja wapo atafanya kitendo cha uzinzi na ikathibitika na pia wewe unaweza kulipa fidia endapo mwenye mke ataamua kukushitaki kakini pia kwenye hali ya kawaida ikitokea kwa upande wako mkeo azalishwe na mwanaume mwingine kwako utajiskiaje au kwenye hii dunia anajiona kidume ni wewe tu au unadhani utayemuoa ni mwanamke wa tofauti sana.