Sheria ipi inazuia ukiwa na mkopo wa mshahara NMB (SWL)huwezi kuhamisha mshahara benki nyingine?

Sheria ipi inazuia ukiwa na mkopo wa mshahara NMB (SWL)huwezi kuhamisha mshahara benki nyingine?

Mlalamikaji daily

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2014
Posts
744
Reaction score
1,621
Leo mzee wa kulalamika Daily,
Nimechoka na makato ya NMB
Nikaona nihamishe mshahara kwenye bank nyingine yenye makato nafuu kidogo,

Nikapata bank moja hivi wenyewe hawana makato ya uendeshaji,
Sijui makato ya Mastercard n.k

Wakanipa fomu yao nipeleke kwa afisa utumishi,
Ndio akanipa majibu hayo
Eti siwezi kuhamisha mshahara kwakuwa nina mkopo NMB,

Nikawauliza kwa sheria gani?
Wakasema NMB ndio wana sheria iyo kwa wateja wenye mkopo...

Je ni kweli kuna sheria inayomkataza mfanyakazi kupokea mshahara wake bank nyingine eti kisa ana mkopo?


#bigUpKenya
 
Leo mzee wa kulalamika Daily,
Nimechoka na makato ya NMB
Nikaona nihamishe mshahara kwenye bank nyingine yenye makato nafuu kidogo,

Nikapata bank moja hivi wenyewe hawana makato ya uendeshaji,
Sijui makato ya Mastercard n.k

Wakanipa fomu yao nipeleke kwa afisa utumishi,
Ndio akanipa majibu hayo
Eti siwezi kuhamisha mshahara kwakuwa nina mkopo NMB,

Nikawauliza kwa sheria gani?
Wakasema NMB ndio wana sheria iyo kwa wateja wenye mkopo...

Je ni kweli kuna sheria inayomkataza mfanyakazi kupokea mshahara wake bank nyingine eti kisa ana mkopo?


#bigUpKenya
Inawezekana 100% sema mna HR kilaza.
 
Wakati unachukua mkopo si lazima ulisoma vigezo na masharti?
Benki walikuamini kukupa fedha yao kwa kuwa fedha zako zitapitia kwao ili wajirudishie hela yao halali.
Sasa wewe unataka kuhamisha magoli saa hizi?

Pambana tu umalize deni la watu ndugu.
Mkopo unakatwa kwenye check number,
Sio kwenye akaunti
 
Wakati unachukua mkopo si lazima ulisoma vigezo na masharti?
Benki walikuamini kukupa fedha yao kwa kuwa fedha zako zitapitia kwao ili wajirudishie hela yao halali.
Sasa wewe unataka kuhamisha magoli saa hizi?

Pambana tu umalize deni la watu ndugu.
Unaweza kuwa na mikopo CRDB, NMB, PBZ, NBC etc kwenye salary slip moja na mshahara wako ukaendelea kuupokelea TCB.

Hivyo alichofanyiwa ni mwendelezo wa madai ya Gen Z
 
Leo mzee wa kulalamika Daily,
Nimechoka na makato ya NMB
Nikaona nihamishe mshahara kwenye bank nyingine yenye makato nafuu kidogo,

Nikapata bank moja hivi wenyewe hawana makato ya uendeshaji,
Sijui makato ya Mastercard n.k

Wakanipa fomu yao nipeleke kwa afisa utumishi,
Ndio akanipa majibu hayo
Eti siwezi kuhamisha mshahara kwakuwa nina mkopo NMB,

Nikawauliza kwa sheria gani?
Wakasema NMB ndio wana sheria iyo kwa wateja wenye mkopo...

Je ni kweli kuna sheria inayomkataza mfanyakazi kupokea mshahara wake bank nyingine eti kisa ana mkopo?


#bigUpKenya
Nashauri u some vema mkataba wa mikopo wako,huenda masharti yaliwekwa humo.
 
Back
Top Bottom