Sheria kuu 5 kwa mwanaume

Sheria kuu 5 kwa mwanaume

Ukuzifuata hizi Sheria hutokaa ufeli in life

1: Usifanye kosa la kuoa au kudate mwanamke asie na chanzo maalumu cha kipato. Yaani mwanamke hana kazi wala ka kibarua Cha umpa miambili mia tatu za kujiendesha yeye kama yeye achana nae kebisa hafai ni mzigo

2: Usije uka msamehe mwanamke msaliti, hii nitairudia kwa herufi kubwa USOJE UKAMSAMEHE MWANAMKE MSALITI,

3: Kama una watoto usiache kupima DNA ,ni muhimu mnooo,

4: Usije ukaoa single mother , awe baba mtoto yupo hai au amekufa, ova

5: Ukimuomba mwanamke umuoe akasita kukubali hata kwa dakika au sekunde achana naye na usije ukaomba tena tafuta mwingine

Hizi ni nguzo tano kama zile nguzo nyingine hakikisha unazifuata kama unayapenda maisha Yako,

Nyongeza ni kuwa epuka wanawake wanye itikadi za kifeminist,
6.Usioe mwanamke anayeamini na kuwa na hofu na sangoma
 
Hakika mola awarehemu. Sisi sote ni wake na kwake tutarejea
Wangekuwa wanajua hayo wangeacha tamaa za dunia na kuwaeshimu waume zao,
single mother wengi wao ni laana na ni mabingwa wa kuwang'ng'ania watoto ila malezi ni zero ni mwendo wakutengeneza kizazi cha hovyo!!!
Nina mueshimu mwanamke aliyefiwa na mume tu anayeitwa mjane!!
 
Bin adamu woote wako sawa mbele ya allah, yeye ndiye molah wetu mlezi
Aliye kinyume na allah na mtume wake mohammad, huyo ni kafir, naye atachomwa moto siku ya kiama. Asalaam aleykum
em acha zako allah ni nan?, binadamu acheni ujinga, dini zenu za kukaririshana alafu kila mmoja anamwona mwenzie kapotea na yeye yuko right ndio nin?, hamnaga hoja kwasababu hamtumij akili kupima mambo kwa usomaji wa vitabu vya pande mbili, mmewaachia viongozi wawatafsirie na kuwaelekeza.
 
Ilimu akhera utakwenda nayo pepon, ilim dunia utaiacha duniani.
Hosea 4:6 imeandikwa “Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa;”. Mitume 4:13 imeandikwa "mshike sana elimu, usiache aende zake"
 
Ukuzifuata hizi Sheria hutokaa ufeli in life

1: Usifanye kosa la kuoa au kudate mwanamke asie na chanzo maalumu cha kipato. Yaani mwanamke hana kazi wala ka kibarua Cha umpa miambili mia tatu za kujiendesha yeye kama yeye achana nae kebisa hafai ni mzigo

2: Usije uka msamehe mwanamke msaliti, hii nitairudia kwa herufi kubwa USOJE UKAMSAMEHE MWANAMKE MSALITI,

3: Kama una watoto usiache kupima DNA ,ni muhimu mnooo,

4: Usije ukaoa single mother , awe baba mtoto yupo hai au amekufa, ova

5: Ukimuomba mwanamke umuoe akasita kukubali hata kwa dakika au sekunde achana naye na usije ukaomba tena tafuta mwingine

Hizi ni nguzo tano kama zile nguzo nyingine hakikisha unazifuata kama unayapenda maisha Yako,

Nyongeza ni kuwa epuka wanawake wanye itikadi za kifeminist,
Hiyo namba nne nakazia!
 
Kikubwa ni kupata mwanamke ambae atawalea vzr watoto wako na Incase ikatokea umerudisha namba kwa sir God bas watoto wawe kwenye mikono salama
 
Ukuzifuata hizi Sheria hutokaa ufeli in life

1: Usifanye kosa la kuoa au kudate mwanamke asie na chanzo maalumu cha kipato. Yaani mwanamke hana kazi wala ka kibarua Cha umpa miambili mia tatu za kujiendesha yeye kama yeye achana nae kebisa hafai ni mzigo

2: Usije uka msamehe mwanamke msaliti, hii nitairudia kwa herufi kubwa USOJE UKAMSAMEHE MWANAMKE MSALITI,

3: Kama una watoto usiache kupima DNA ,ni muhimu mnooo,

4: Usije ukaoa single mother , awe baba mtoto yupo hai au amekufa, ova

5: Ukimuomba mwanamke umuoe akasita kukubali hata kwa dakika au sekunde achana naye na usije ukaomba tena tafuta mwingine

Hizi ni nguzo tano kama zile nguzo nyingine hakikisha unazifuata kama unayapenda maisha Yako,

Nyongeza ni kuwa epuka wanawake wanye itikadi za kifeminist,
Sawa
 
Back
Top Bottom