Nampendamilele
Member
- Jun 12, 2024
- 34
- 45
Oya we niaje aisee.
Wapi nimeandika nazagamua??
Allah ndo kaandika hii comment yako au ni wewe kwa akili zako??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oya we niaje aisee.
Wapi nimeandika nazagamua??
Allah ndo kaandika hii comment yako au ni wewe kwa akili zako??
Hakika hilo tako lako kwenye picha ni silaha ya uzinifu. Zinaa ni uchafu , ewe binaadam, mgeukie molah akurehem.
Takbilk ya nyoko
Ukiwa unaona watu wengine hawana akili ujue wewe ndio huna , wapi nimeandika mwanamke ampe mwanaume pesa au mwanaume amtegemee mwanamke, unacho takiwa kuweka akilini ni kwamba , Loyalty ni expensive sana , usitegemee kuipata kwa mtu fukaraDogo acha uvivu tafuta hela usitegemee hela ya mwanamke hata siku moja., mpaka hapo umeshafeli.
Ni kweli mpango wa ustawi wa jamiiMsisitizo hapo namba 3 akikisha DNA unaenda kupima nje ya nchi hata Nairobi hapo gharama sio kubwa sana. DNA za bongo hata kama matokeo yakija negative unaambiwa ni mtoto wako, wenyewe wanasema.wanalinda masilahi ya mtoto
Labda angesema sheria za vibenten hapo sawa ingeelewekaHakuna sheria ya mwanaume hapo hata moja sema ni kanuni zako binafsi
dronedrakeUsije oa mwanamke mwenye HIV/AIDS. Utakunywa dose miaka yako yote
zikizidi tukamwagie wapiKutoa upwiru bila ndoa, ni kufru kwa allah..mollah ametu ruzuku kwa sunna ya wake wa 4, hao wote bila shaka wakutosha kuiona pepo ilio kat ya miguu yao, kwa mahabba matakatifu ndani ya ndoa takatifu.
Saramareko Faiza Fixmuamini allah pekee.
Bia Faiza kumbe huwa unatusi watuHuyo ni fala mmoja tu.
Nawadhangaabsana moderators na wasimamizi wa JF kuuruhusu huo upuuzi.
Cc: Moderator
Tunakuombea bwana Yesu akuponye na kukutakasa na damu yake. Umeshika dini na inawezekana unayo hofu ya Mungu ila bado ni IlliterateHakika, allah pekee ndio Mungu wa kwel wa kustahil kusujudiwa, enyi makafir, geukeni kwa mola wetu mtukufu na mtume wake M.S.A mpate kuiona nuru na raha ya pepo allah alioiweka kwa mwanamke
Mkuu kwamba unaishi na mwanamke aiyekusaliti na ukamsamehe?unanipa mtihan kwenye namba mbili hapo,!! ila mbna naishi nayo iyo kanuni vizuri tu?!
eti eeh jamaa, si ndio..?Mkuu kwamba unaishi na mwanamke aiyekusaliti na ukamsamehe?
Mmh! Kumbe ukiwa na wake wannne unaiona pepo? Thanks mkongwe FaizaFoxyKutoa upwiru bila ndoa, ni kufru kwa allah..mollah ametu ruzuku kwa sunna ya wake wa 4, hao wote bila shaka wakutosha kuiona pepo ilio kat ya miguu yao, kwa mahabba matakatifu ndani ya ndoa takatifu.
Mabikra 72 tena?Hi yote ilisababishwa na makafiri wa magharibi. Hakika hakuna kafiri atakayeiona firdaus. Na hawatapata ile rakha aliyowaandalia waume kwa kuwaruzuku mabikra 72 akhera
Mmh! hii id!!! Ndo wewe kweli faizainshallah, nayo ni sunnah!! Sharti iliwe kiustaarab ndani ya ndoa tukufu