Sheria mpya ya TISS tusijifanye vipofu wakati kumbe tunatawaliwa ama tunaenda kutawaliwa kijeshi

Sheria mpya ya TISS tusijifanye vipofu wakati kumbe tunatawaliwa ama tunaenda kutawaliwa kijeshi

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
20230530_140503.jpg


Nimeweka hii snapshot inayoonesha muswada wa mabadiliko ya sheria ya chombo chetu cha Intelejensia.
Kwenye mapendekezo hususan kifungu cha 19 wanasema hapo kuwa, jinai inaweza kufanywa na TISS personels wakiwa wanatekeleza majukumu yao kwa uaminifu....

Jambo linalonistua ni kwamba, wengi hudhani jeshi kutawala ni mpaka pale jeshi linapopindua serikali ya kiraia. Huu muswada umeleta tafsiri mpya ya utawala wa kijeshi. Tufuatilie kwa akili kubwa sana haya mambo yanavyopangiliwa kwa uangalifu kuelekea imla ya kijeshi...

Nipate elimu kutoka kwenu wanaJF

  1. Kuna ukamilifu gani kwenye jinai?
  2. Kuna uaminifu gani kwenye jinai
  3. Kipimo gani kinatumika kufahamu kuwa jinai fulani imefanyika during utekelezaji wa majukumu kwa uaminifu
  4. Aina gani ya jinai inayoombewa mabadiliko? Ya kutesa au kuua?
  5. TISS ni jeshi au kitengo cha uraia kinachofanya shughuli za kijeshi? Sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu utendaji wa jeshi kwa raia?
  6. Huu muswada nani wameomba hayo marekebisho yaani ni TISS au Rais (taasisi/sponsor)?
Lengo na dhumuni la uzi huu siyo kubeza ama kuponda kazi kubwa wanayofanya TISS kwa nchi yetu, bali ninalengq kuangalia motive ya huu muswada ambao umekuja kana kwamba ni by the way lakini uzito wa sentensi zilizotumika kuuandaa ni wake up call kurecall matukio ya kijinai ambayo chombo chetu kitukufu kimehusishwa ama kunyooshewa vidole.

Kwa mahaba mema kwa nchi yangu, I submit

CC: Mzee Mwanakijiji Pascal Mayalla Retired raraa reree Extrovert Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr zitto junior lumumbai Kiranga Erythrocyte mwanamwana MwanaWA Ebrania Gily Demi
 
Lengo na dhumuni la uzi huu siyo kubeza ama kuponda kazi kubwa wanayofanya TISS kwa nchi yetu, bali ninalengq kuangalia motive ya huu muswada ambao umekuja kana kwamba ni by the way lakini uzito wa sentensi zilizotumika kuuandaa ni wake up call kurecall matukio ya kijinai ambayo chombo chetu kitukufu kimehusishwa ama kunyooshewa vidole.

Kwa mahaba mema kwa nchi yangu, I submit

CC: Pascal Mayalla [
Kwa mujibu wa bandiko hili, TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
muswada huu ni majibu ya hoja zangu za bandiko hili, yale mambo niliyoaulizia humu ambayo TISS hawaruhusiwi, kuteka, kutesa na kuua, kwa muswada huu, sasa TISS wanaruhusiwa!.
P
 
Wanataka nchi iwe chini ya deep state moja KWA moja kiuongozi yaani hao jamaa wawe na mkono wa mmoja KWA moja KWA watawala namna ya kuiongoza nchi!

Kama hili au lile hawataki bas ukilazimisha unaenda na maji!

SASA Bas;

Kama ikitumika ku vema kuwabana viongozi waliopo madarakani Bas check and Balance itafanikiwa KWA asilimia zote! Elimination method itakua common KWA sana na imehalalishwa!!

Lakini kama just kama ikitumika vibaya,Aiseh hapatoshi kupotea nje nje kama kuku au kifaranga, jamaa wana malengo yao ya kuonyesha makucha wazi wazi hasa katika kipindi cha mabadiliko ya kimfumo ya kiutawala nchini!!!

Ngoja tuone!!
 
Tumo kwenye police state toka uhuru,president yupo kama nusu Mungu, na hakuna push back kutoka kwa raia maana uoga umetamalaki, nimetembelea hapo zambia hivi karibuni, president H&H sidhani anaweza kuchaguliwa tena, wazambia wana push back, watanzania push back yao ipo kwenye soft landing kama humu
 
View attachment 2643253

Nimeweka hii snapshot inayoonesha muswada wa mabadiliko ya sheria ya chombo chetu cha Intelejensia.
Kwenye mapendekezo hususan kifungu cha 19 wanasema hapo kuwa, jinai inaweza kufanywa na TISS personels wakiwa wanatekeleza majukumu yao kwa uaminifu....

Jambo linalonistua ni kwamba, wengi hudhani jeshi kutawala ni mpaka pale jeshi linapopindua serikali ya kiraia. Huu muswada umeleta tafsiri mpya ya utawala wa kijeshi. Tufuatilie kwa akili kubwa sana haya mambo yanavyopangiliwa kwa uangalifu kuelekea imla ya kijeshi...

Nipate elimu kutoka kwenu wanaJF

  1. Kuna ukamilifu gani kwenye jinai?
  2. Kuna uaminifu gani kwenye jinai
  3. Kipimo gani kinatumika kufahamu kuwa jinai fulani imefanyika during utekelezaji wa majukumu kwa uaminifu
  4. Aina gani ya jinai inayoombewa mabadiliko? Ya kutesa au kuua?
  5. TISS ni jeshi au kitengo cha uraia kinachofanya shughuli za kijeshi? Sheria za kimataifa zinasemaje kuhusu utendaji wa jeshi kwa raia?
  6. Huu muswada nani wameomba hayo marekebisho yaani ni TISS au Rais (taasisi/sponsor)?
Lengo na dhumuni la uzi huu siyo kubeza ama kuponda kazi kubwa wanayofanya TISS kwa nchi yetu, bali ninalengq kuangalia motive ya huu muswada ambao umekuja kana kwamba ni by the way lakini uzito wa sentensi zilizotumika kuuandaa ni wake up call kurecall matukio ya kijinai ambayo chombo chetu kitukufu kimehusishwa ama kunyooshewa vidole.

Kwa mahaba mema kwa nchi yangu, I submit

CC: Mzee Mwanakijiji Pascal Mayalla Retired raraa reree Extrovert Bujibuji Simba Nyamaume Mshana Jr zitto junior lumumbai Kiranga Erythrocyte mwanamwana MwanaWA Ebrania Gily Demi
Lengo na dhumuni la uzi huu siyo kubeza ama kuponda kazi kubwa wanayofanya TISS kwa nchi yetu, bali ninalenga kuangalia motive ya huu muswada ambao umekuja kana kwamba ni by the way lakini uzito wa sentensi zilizotumika kuuandaa ni wake up call kurecall matukio ya kijinai ambayo chombo chetu kitukufu kimehusishwa ama kunyooshewa vidole.[emoji419][emoji1545][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao jamaa hata sheria isipobadilishwa haithiri chochote Ben amepotezwa na wao wao(Zitto alithibitisha baada ya kufanya upelelezi) hakuna aliyekamatwa wala kushitakiwa.

Zakaria aliwapiga risasi hao majamaa walivyotaka kumteka lakini hawakushitakiwa kwa UTEKAJI kwahiyo mimi sioni hata faida ya kwenda kuwalipa wabunge wakae kujadili amendments ni kupoteza muda na fedha za posho haisaidii kitu maana kwa sheria hii wanaua /wanateka/wanajeruhi lakini hawaguswi.
 
Heee heeee suala la msingi ni kuishi kwa kufuata sheria na taratibu za nchi
Haya mabadiliko ni katika kuhakikisha amani tuliyonayo inaendelea kutawala
Amani na utulivu havilindwi kupitia jinai inayofanyika ktk utekelezaji wa majukumu kwa uaminifu.

Nani anaamini kuwa amri na maagizo ni halali kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi?
 
Heee heeee suala la msingi ni kuishi kwa kufuata sheria na taratibu za nchi
Haya mabadiliko ni katika kuhakikisha amani tuliyonayo inaendelea kutawala
Unajua unaweza kufata Sheria bado ukapata shida. Nakutolea mfano wa yule jamaa wa usalama mwaka jana alipogombana barabarani baada ya kuovertake ile IST. Fikiria kwa Sheria hii yule mtu hawezi kufanywa chochote

Pia watu wa usalama wapo hadi polisi, mwaka Jana yule dogo mwenye madini aliyeuliwa na kuporwa kule mtwara, vipi wale polisi kama nao ni usalama? Je wangepelekwa mahakamani?
 
Hao jamaa hata sheria isipobadilishwa haithiri chochote Ben amepotezwa na wao wao(Zitto alithibitisha baada ya kufanya upelelezi) hakuna aliyekamatwa wala kushitakiwa.

Zakaria aliwapiga risasi hao majamaa walivyotaka kumteka lakini hawakushitakiwa kwa UTEKAJI kwahiyo mimi sioni hata faida ya kwenda kuwalipa wabunge wakae kujadili amendments ni kupoteza muda na fedha za posho haisaidii kitu maana kwa sheria hii wanaua /wanateka/wanajeruhi lakini hawaguswi.
Inaqeza kwenda kuwa mbaya zaidi. Fikiria kuwa wapo polisi ambao pia ni usalama. Mfano wale polisi wa mtwara walioshtakiwa kwa kumuua yule dogo mwenye madini, vipi kama wakiwa ni usalama? Unafikiri hata kesi itakuwepo?
 
Ila ukiangalia kuna ualisia fulani kaka hawa watu huwezi wajua so mda mwingine wanapambana na majambazi una kuwa dailema kiprofessinal tunaita ethical dialema ambazo zinaweza tokea katika kutimiza majukumu Msanii jaribu kufwatilia vzr utajua ni halali kuwepo kwa marekebisho hayo
 
Inaqeza kwenda kuwa mbaya zaidi. Fikiria kuwa wapo polisi ambao pia ni usalama. Mfano wale polisi wa mtwara walioshtakiwa kwa kumuua yule dogo mwenye madini, vipi kama wakiwa ni usalama? Unafikiri hata kesi itakuwepo?

Kwa katiba/sheria ya sasa na wanayofanya ni hatari na hawakaguliwi na mtu yeyote na ikitokea tukio limefanyika na wao basi polisi hawafanyi chochote linaishia hapo hapo! Nachojua hata JWTZ akifanya jinai polisi wanaenda kumkamata lakini jinai ikifanywa na "Teeth" hata kama ni nje ya utaratibu(hajaagizwa na sponsor) polisi hawamkamati.

Kwahiyo sioni mantiki ya kwenda kubadili na kuwapotezea muda wabunge na kupoteza fedha kwenye posho ziendelee hizo hizo.
 
Ila ukiangalia kuna ualisia fulani kaka hawa watu huwezi wajua so mda mwingine wanapambana na majambazi una kuwa dailema kiprofessinal tunaita ethical dialema ambazo zinaweza tokea katika kutimiza majukumu Msanii jaribu kufwatilia vzr utajua ni halali kuwepo kwa marekebisho hayo

Kwa undani soma kitabu cha ujasusi wa kidola na kiuchumi.
 
Back
Top Bottom