Wakati Mbowe anatuhumiwa kwa Ugaidi, Mzee Slaa alishauri muufyate muache dola ifanye kazi. nami nkushauri tekeleza ushauri wa Slaa mwenyewe.Hivyo viclip vya kuungaunga na kutengeneza ndiyo uchochezi ?!.
Ukiambiwa utoe sauti yote (clip nzima) utakuta ni kitu tofauti kabisa.
Uvurugane na nani, hakuna nafasi ya kuvurugana, kuna nafasi ya kuvurugwa tu. sasa hivi Slaa anavurugana au anavurugwa ?Heri tuvurugane tutaheshimiana kuliko kuonana mafala kiasi hichi
Hapa ni kufuata tu sheria. Sheria inasemaje na nini kifanyike, katiba inataka nini, pasiwe na mtu juu ya sheria. hapo ndo kunakuwa na kushughulikia na kushughulikiwa!Hiyo sababu ndio inahalalisha kuua watu?
hakuna sababu yoyote unayoweza kuileta hapa kuhalalisha kuleta vurugu kwny Nchi
wewe ukitamani kinuke ili upambane na CCM kuna wengine wanasubiri kinuke wakianzishe dhidi ya dini nyingine, wengine wanasubiri kinuke wakianzishe dhidi ya kabila lingine, huku Wakulima wanasubiri wakinukishe dhidi ya Wafugaji, wa Tanganyika dhidi ya Znz n.k
unadhan Taifa lenye diversity kubwa kama hili likivurugike kuna Mkandarasi wa kuja kulirudisha kama awali?
Mtu yeyote akijaribu tu kuvuruga hili Taifa ni halali kabisa avurugwe kwanza Yeye walau hata Watoto wake waishi kwa amani japo watakuwa Yatima
Huo upenyo unaosababisha watawala kubambikiza kesi ndiyo inayotakiwa izibwe. Ni kweli Dr Slaa aliwahi kusema hivyo na yeye leo yamemkuta, lakini akachanganywa na wanaopigania bandari bila makandokando.Wakati Mbowe anatuhumiwa kwa Ugaidi, Mzee Slaa alishauri muufyate muache dola ifanye kazi. nami nkushauri tekeleza ushauri wa Slaa mwenyewe.
Umeongea vzr mkuu, wakitaka kuingia ikulu watumie sanduku la kura tu, shawishini mazingira ya kura yawe bora zaidi kama mnavyotaka kupitia marekebisho ya katibaHiyo sababu ndio inahalalisha kuua watu?
hakuna sababu yoyote unayoweza kuileta hapa kuhalalisha kuleta vurugu kwny Nchi
wewe ukitamani kinuke ili upambane na CCM kuna wengine wanasubiri kinuke wakianzishe dhidi ya dini nyingine, wengine wanasubiri kinuke wakianzishe dhidi ya kabila lingine, huku Wakulima wanasubiri wakinukishe dhidi ya Wafugaji, wa Tanganyika dhidi ya Znz n.k
unadhan Taifa lenye diversity kubwa kama hili likivurugike kuna Mkandarasi wa kuja kulirudisha kama awali?
Mtu yeyote akijaribu tu kuvuruga hili Taifa ni halali kabisa avurugwe kwanza Yeye walau hata Watoto wake waishi kwa amani japo watakuwa Yatima
Vuruga mwenyewe, usitushirikishe woteHeri tuvurugane tutaheshimiana kuliko kuonana mafala kiasi hichi
.Viongozi wote Duniani walioletea mafanikio katika Tawala zao walikuwa katili na sisi tunataka MafanikioSamia hana utu na mtu katili sana.
Baa lazima zifungwe kwani zinaleta baa
Ni kwa sababu hujaona hasara ya mauwaji , Zanzibar mpaka Leo haijakaa sawa, toka 1964 , mwisho tumekuwa koloni la Tanganyika na tunaendelea kuuliwa kila uchaguziHeri tuvurugane tutaheshimiana kuliko kuonana mafala kiasi hichi
Yaani nyinyi walevi mnaumia maini kufungwa baa/balaa?Sqla ya kufunga bar hyo Ni ujinga mno kuliko ujing wenyewe
Na faida ya jeuri ni majuto.Busara itakuja baada ya kupewa discipline.
Kwa nini hizo busara hazikutumika kabla ya kutenda uhaini?
Dawa ya kiburi ni jeuri
Si chagua la Mungu huyo? kwamba Mungu ameamua ugomvi kwa kumleta Samia.Samia hana utu na mtu katili sana.
Hicho kipengere kikikuwa bado hakijachomekwa.Enzi za utawala wa Mwinyi miaka ya 80, mwanasiasa machachari Joseph Mtikila alikuwa akimuita Rais Mwinyi ni ‘TX’ kutoka Zanzibar na aliwahi kumwambia arudi mwenyewe Zanzibar kabla hajarudishwa kwenye jeneza, hii ilikuwa kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya Jangwani kwa waliokuwepo wakati huo watakumbuka.
Kutokana na matamshi hayo, hakufunguliwa kesi yeyote wala kuitwa kituo cha polisi wa kuitwa mhaini.
Kwani sheria za uhaini hazikuwepo, nini kilitumika BUSARA. Ingekuwa leo enzi za Samia ndio katamka hayo maneno nafikiri angenyongwa kabisa hadi kufa.
Sheria na Busara ni mapacha.
Jakaya sio dhaifu acha uboya wewe.Viongozi wote Duniani walioletea mafanikio katika Tawala zao walikuwa katili na sisi tunataka Mafanikio
nikupe orodha kwa kifupi?
Joseph Stanlin- Russia
Winston Churchil -UK
Roosevelt -US
Fidel Castro -CUBA
Maotsetung -China
JPM-Tanzania
Hatutaki ma Rais ' Dhaifu' kama Jakaya kucheka cheka na kima na kutuletea ghasia kila kukicha
Wewe ni mpumbavu kabisa, nenda mahakamani ukawasaidie wajinga wenzio kuthibitisha huo uhaini.Hakuna justifications ya kuruhusu watu kuchochea ghasia kwa kigezo chochote kile
Rwanda walipoteza 30% ya Raia wake wote 1994 ndani ya siku 90 tu kutokana na uchochezi kama huu wa Slaa na Wapuuzi wenzie, Taifa lenye watu 3 million lilipoteza watu million moja ndani ya miezi mitatu tu
Amani haina substitute
Sasa kurudishwa na jeneza na KUPINDUA NCHI BORA KIPI UNAVYOONA NDUGU MUANDISHIEnzi za utawala wa Mwinyi miaka ya 80, mwanasiasa machachari Joseph Mtikila alikuwa akimuita Rais Mwinyi ni ‘TX’ kutoka Zanzibar na aliwahi kumwambia arudi mwenyewe Zanzibar kabla hajarudishwa kwenye jeneza, hii ilikuwa kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya Jangwani kwa waliokuwepo wakati huo watakumbuka.
Kutokana na matamshi hayo, hakufunguliwa kesi yeyote wala kuitwa kituo cha polisi wa kuitwa mhaini.
Kwani sheria za uhaini hazikuwepo, nini kilitumika BUSARA. Ingekuwa leo enzi za Samia ndio katamka hayo maneno nafikiri angenyongwa kabisa hadi kufa.
Sheria na Busara ni mapacha.
Slaa ni haini au sio haini.Mkataba wa Bandari ni mbaya kwa maoni yangu na nishaandika sana maoni yangu kwny hoja husika sana tu mara nyingi
lakini ukichochea ghasia kwa kigezo hicho nakuona adui
lwa kuwa Amani ya Taifa letu haina substitute