Sheria na Busara ni mapacha. Mchungaji Mtikila aliwahi kumwambia Rais Mwinyi ‘watamrudisha Zanzibar kwenye jeneza’, hakuitwa mhaini

Sheria na Busara ni mapacha. Mchungaji Mtikila aliwahi kumwambia Rais Mwinyi ‘watamrudisha Zanzibar kwenye jeneza’, hakuitwa mhaini

Hivyo viclip vya kuungaunga na kutengeneza ndiyo uchochezi ?!.

Ukiambiwa utoe sauti yote (clip nzima) utakuta ni kitu tofauti kabisa.
Wakati Mbowe anatuhumiwa kwa Ugaidi, Mzee Slaa alishauri muufyate muache dola ifanye kazi. nami nkushauri tekeleza ushauri wa Slaa mwenyewe.
 
Hiyo sababu ndio inahalalisha kuua watu?

hakuna sababu yoyote unayoweza kuileta hapa kuhalalisha kuleta vurugu kwny Nchi

wewe ukitamani kinuke ili upambane na CCM kuna wengine wanasubiri kinuke wakianzishe dhidi ya dini nyingine, wengine wanasubiri kinuke wakianzishe dhidi ya kabila lingine, huku Wakulima wanasubiri wakinukishe dhidi ya Wafugaji, wa Tanganyika dhidi ya Znz n.k

unadhan Taifa lenye diversity kubwa kama hili likivurugike kuna Mkandarasi wa kuja kulirudisha kama awali?

Mtu yeyote akijaribu tu kuvuruga hili Taifa ni halali kabisa avurugwe kwanza Yeye walau hata Watoto wake waishi kwa amani japo watakuwa Yatima
Hapa ni kufuata tu sheria. Sheria inasemaje na nini kifanyike, katiba inataka nini, pasiwe na mtu juu ya sheria. hapo ndo kunakuwa na kushughulikia na kushughulikiwa!
 
Wakati Mbowe anatuhumiwa kwa Ugaidi, Mzee Slaa alishauri muufyate muache dola ifanye kazi. nami nkushauri tekeleza ushauri wa Slaa mwenyewe.
Huo upenyo unaosababisha watawala kubambikiza kesi ndiyo inayotakiwa izibwe. Ni kweli Dr Slaa aliwahi kusema hivyo na yeye leo yamemkuta, lakini akachanganywa na wanaopigania bandari bila makandokando.

Upenyo huo wa ubambikaji kesi, ni uchochoro wa matumizi mabaya ya vyombo vya dola na vya maamuzi dhidi ya wananchi. Ona sasa watu hawawezi kutetea bandari yao kwa kuogopa kesi za kubambikwa.
 
Hiyo sababu ndio inahalalisha kuua watu?

hakuna sababu yoyote unayoweza kuileta hapa kuhalalisha kuleta vurugu kwny Nchi

wewe ukitamani kinuke ili upambane na CCM kuna wengine wanasubiri kinuke wakianzishe dhidi ya dini nyingine, wengine wanasubiri kinuke wakianzishe dhidi ya kabila lingine, huku Wakulima wanasubiri wakinukishe dhidi ya Wafugaji, wa Tanganyika dhidi ya Znz n.k

unadhan Taifa lenye diversity kubwa kama hili likivurugike kuna Mkandarasi wa kuja kulirudisha kama awali?

Mtu yeyote akijaribu tu kuvuruga hili Taifa ni halali kabisa avurugwe kwanza Yeye walau hata Watoto wake waishi kwa amani japo watakuwa Yatima
Umeongea vzr mkuu, wakitaka kuingia ikulu watumie sanduku la kura tu, shawishini mazingira ya kura yawe bora zaidi kama mnavyotaka kupitia marekebisho ya katiba
Ila tusitishie amani ya nchi , ikitoweka sisi wengine hatuna pa kukimbilia kama nyie
 
Samia hana utu na mtu katili sana.
.Viongozi wote Duniani walioletea mafanikio katika Tawala zao walikuwa katili na sisi tunataka Mafanikio

nikupe orodha kwa kifupi?

Joseph Stanlin- Russia
Winston Churchil -UK

Roosevelt -US

Fidel Castro -CUBA

Maotsetung -China
JPM-Tanzania

Hatutaki ma Rais ' Dhaifu' kama Jakaya kucheka cheka na kima na kutuletea ghasia kila kukicha
 
Heri tuvurugane tutaheshimiana kuliko kuonana mafala kiasi hichi
Ni kwa sababu hujaona hasara ya mauwaji , Zanzibar mpaka Leo haijakaa sawa, toka 1964 , mwisho tumekuwa koloni la Tanganyika na tunaendelea kuuliwa kila uchaguzi
 
Enzi za utawala wa Mwinyi miaka ya 80, mwanasiasa machachari Joseph Mtikila alikuwa akimuita Rais Mwinyi ni ‘TX’ kutoka Zanzibar na aliwahi kumwambia arudi mwenyewe Zanzibar kabla hajarudishwa kwenye jeneza, hii ilikuwa kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya Jangwani kwa waliokuwepo wakati huo watakumbuka.

Kutokana na matamshi hayo, hakufunguliwa kesi yeyote wala kuitwa kituo cha polisi wa kuitwa mhaini.

Kwani sheria za uhaini hazikuwepo, nini kilitumika BUSARA. Ingekuwa leo enzi za Samia ndio katamka hayo maneno nafikiri angenyongwa kabisa hadi kufa.

Sheria na Busara ni mapacha.
Hicho kipengere kikikuwa bado hakijachomekwa.
 
.Viongozi wote Duniani walioletea mafanikio katika Tawala zao walikuwa katili na sisi tunataka Mafanikio

nikupe orodha kwa kifupi?

Joseph Stanlin- Russia
Winston Churchil -UK

Roosevelt -US

Fidel Castro -CUBA

Maotsetung -China
JPM-Tanzania

Hatutaki ma Rais ' Dhaifu' kama Jakaya kucheka cheka na kima na kutuletea ghasia kila kukicha
Jakaya sio dhaifu acha uboya wewe

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna justifications ya kuruhusu watu kuchochea ghasia kwa kigezo chochote kile

Rwanda walipoteza 30% ya Raia wake wote 1994 ndani ya siku 90 tu kutokana na uchochezi kama huu wa Slaa na Wapuuzi wenzie, Taifa lenye watu 3 million lilipoteza watu million moja ndani ya miezi mitatu tu

Amani haina substitute
Wewe ni mpumbavu kabisa, nenda mahakamani ukawasaidie wajinga wenzio kuthibitisha huo uhaini.
 
Enzi za utawala wa Mwinyi miaka ya 80, mwanasiasa machachari Joseph Mtikila alikuwa akimuita Rais Mwinyi ni ‘TX’ kutoka Zanzibar na aliwahi kumwambia arudi mwenyewe Zanzibar kabla hajarudishwa kwenye jeneza, hii ilikuwa kwenye mkutano wa hadhara viwanja vya Jangwani kwa waliokuwepo wakati huo watakumbuka.

Kutokana na matamshi hayo, hakufunguliwa kesi yeyote wala kuitwa kituo cha polisi wa kuitwa mhaini.

Kwani sheria za uhaini hazikuwepo, nini kilitumika BUSARA. Ingekuwa leo enzi za Samia ndio katamka hayo maneno nafikiri angenyongwa kabisa hadi kufa.

Sheria na Busara ni mapacha.
Sasa kurudishwa na jeneza na KUPINDUA NCHI BORA KIPI UNAVYOONA NDUGU MUANDISHI
 
Mkataba wa Bandari ni mbaya kwa maoni yangu na nishaandika sana maoni yangu kwny hoja husika sana tu mara nyingi

lakini ukichochea ghasia kwa kigezo hicho nakuona adui
lwa kuwa Amani ya Taifa letu haina substitute
Slaa ni haini au sio haini.
 
Back
Top Bottom