Mwniyi alijua maana ya uongozi kwa sababu alichaguliwa na wananchi tofauti na huyu ambaye yeye hakutarajia kuwa rais.yaani ameangukiwa tu na hiyo nafasi.uchungu wa Mali za umma hawezi kuzithamini na akitokea wa kupinga namna alivyopanga ananuna na kubambika kesi