secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Kwa staili hii inabidi tumchague Lissu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wengi wamejiajili kwenye pool table kuwakamua hela ya usajili itawashindaKiende na maji kwa sababu gani
Sababu za usajili hazina mashiko,tangu lini pool table ikawa mchezo wa kubahatisha?Kivip? Si wanatakiwa was ajili ili wapate leseni?
...hata mie nilikuwa nawaza hapa. Je pool table ni mchezo wa kubahatisha?? Tunakoeleka hata michezo kama drafti, karata, bao tutaambiwa vivyo hivyoPool table sidhani Kama Ni mchezo wa kubahatisha.
Wajitafakari
Hawa jamaa imebakia kuwasajili machangu doa na makaka poa tuBodi ya michezo ya kabahatisha Tanzania (GBT) imewataka wamiliki wote wa pool tables kuhakikisha zinasajiliwa na kupatiwa leseni.
GBT yenye jukumu la kusimamia uendeshaji wa michezo ya kubahatisha hapa nchini imesema kuwa kifungu Na. 52 cha sheria ya michezo ya kubahatisha ya mwaka 2003, pool tables zote zinatakiwa kusajiliwa ili kuwezesha uendeshaji wa mchezo huo kihalali.
Taasisi hiyo imesema kuendesha mchezo huo bila usajili ni kinyume cha sheria na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaokaidi agizo hilo.
Ku****Pigo kubwa kwa vijana wa chadema maana ndio wanaoshinda kwenye pool table kutwa nzima
[emoji867]Ku****
Ni mwendo wa Nyundo tu, kila sehemu lazima ipite , watangazaji, Drones ,nkBodi ya michezo ya kabahatisha Tanzania (GBT) imewataka wamiliki wote wa pool tables kuhakikisha zinasajiliwa na kupatiwa leseni.
Gaming Board of Tanzania (GBT) yenye jukumu la kusimamia uendeshaji wa michezo ya kubahatisha hapa nchini imesema kuwa kifungu Na. 52 cha sheria ya michezo ya kubahatisha ya mwaka 2003, pool tables zote zinatakiwa kusajiliwa ili kuwezesha uendeshaji wa mchezo huo kihalali.
Taasisi hiyo imesema kuendesha mchezo huo bila usajili ni kinyume cha sheria na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaokaidi agizo hilo.
Kodi wanayopata kupitia betting companies hazitoshi, hadi wanaanza kulazimisha vitu tangu lini pool table ni mchezo wa kubahatishaBodi ya michezo ya kabahatisha Tanzania (GBT) imewataka wamiliki wote wa pool tables kuhakikisha zinasajiliwa na kupatiwa leseni.
Gaming Board of Tanzania (GBT) yenye jukumu la kusimamia uendeshaji wa michezo ya kubahatisha hapa nchini imesema kuwa kifungu Na. 52 cha sheria ya michezo ya kubahatisha ya mwaka 2003, pool tables zote zinatakiwa kusajiliwa ili kuwezesha uendeshaji wa mchezo huo kihalali.
Taasisi hiyo imesema kuendesha mchezo huo bila usajili ni kinyume cha sheria na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaokaidi agizo hilo.
Namba inaendelea kusomwa kila upandeUmeona jinsi hii Serikali inavyokandamiza Watanzania wasifurukute au hata kupumua kimaisha. Kwa mwendo huu maisha yatakosaje kuwa magumu?
Mwendo wa nyundo tu mpaka vichaa vipone na kila mtu lazima imguse haiwezi 5yrs ipite ivi iviUmeona jinsi hii Serikali inavyokandamiza Watanzania wasifurukute au hata kupumua kimaisha. Kwa mwendo huu maisha yatakosaje kuwa magumu?