Sheria: Wamiliki wa pool tables watakiwa kuyasajili wapate leseni

Sheria: Wamiliki wa pool tables watakiwa kuyasajili wapate leseni

Mpaka utawala huu upite lazima kila mtu ataguswa kwa namna yake. Ni suala la muda tu.
Next ni mabanda ya mpira, baskeli nk
 
Yaani ufundi wangu wote wa kupiga draw back,follow,screw shot,stop short,two in one halafu uniambie ni mchezo wa bahati?😁😁😁😁,mnitake radhi nyie bodi!Hivyo vitu nimejifunza kwa muda mrefu na sibahatishi!
Hahaha! bila kusahau spin shot...hivi hawa watu wanaelewa hata wanachokizungumza kweli? hawa watu wastaafishwe tu maana hawana weledi wa Kazi wala hawajui dunia ilipo.
 
pool table nao ni mchezo wa kubahatisha😳😳😳😳
hahahaaa nchi ya wacheza kamari hii wadau waliotunga hii sheria itakua ni wazee wa max loss
Nadhani Max loss imehalalishwa sasa.
 
Back
Top Bottom