Sheria: Wamiliki wa pool tables watakiwa kuyasajili wapate leseni

Sheria: Wamiliki wa pool tables watakiwa kuyasajili wapate leseni

Bodi ya michezo ya kabahatisha Tanzania (GBT) imewataka wamiliki wote wa pool tables kuhakikisha zinasajiliwa na kupatiwa leseni.

Gaming Board of Tanzania (GBT) yenye jukumu la kusimamia uendeshaji wa michezo ya kubahatisha hapa nchini imesema kuwa kifungu Na. 52 cha sheria ya michezo ya kubahatisha ya mwaka 2003, pool tables zote zinatakiwa kusajiliwa ili kuwezesha uendeshaji wa mchezo huo kihalali.

Taasisi hiyo imesema kuendesha mchezo huo bila usajili ni kinyume cha sheria na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaokaidi agizo hilo.
Wazee wa Kubeti tutakoma mwaka huu
 
Duuuh, itakuja kwenye draft, bao, karata, PlayStation, mabanda ya mpira,
 
Nina hofu kubwa maisha yatakuwa magumu sana kuliko hii mitano ya kwanza. Ukiweka na uwezekano wa vikwazo vya kiuchumi vitakavyowekwa na Nchi za Wafadhili AKA MABEBERU kutokana na kuwepo Serikali haramu madarakani fagio la chuma ni lazima lipitishwe.

Namba inaendelea kusomwa kila upande
Miaka mitano ijayo aiseee sijuiii🤦🏼‍♀️
 
Nina hofu kubwa maisha yatakuwa magumu sana kuliko hii mitano ya kwanza. Ukiweka na uwezekano wa vikwazo vya kiuchumi vitakavyowekwa na Nchi za Wafadhili AKA MABEBERU kutokana na kuwepo Serikali haramu madarakani fagio la chuma ni lazima lipitishwe.
Yani acha kabisa dr.,Hali ni tete
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
R.I.P Tanzania huru. Huu ndio wakati wa kumkataa shetani haki ya mungu.
 
Bodi ya michezo ya kabahatisha Tanzania (GBT) imewataka wamiliki wote wa pool tables kuhakikisha zinasajiliwa na kupatiwa leseni.

Gaming Board of Tanzania (GBT) yenye jukumu la kusimamia uendeshaji wa michezo ya kubahatisha hapa nchini imesema kuwa kifungu Na. 52 cha sheria ya michezo ya kubahatisha ya mwaka 2003, pool tables zote zinatakiwa kusajiliwa ili kuwezesha uendeshaji wa mchezo huo kihalali.

Taasisi hiyo imesema kuendesha mchezo huo bila usajili ni kinyume cha sheria na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaokaidi agizo hilo.
Na bado wataleta hadi leseni ya kucheza draft na bao...kaeni mkao wa kula
 
Bodi ya michezo ya kabahatisha Tanzania (GBT) imewataka wamiliki wote wa pool tables kuhakikisha zinasajiliwa na kupatiwa leseni.

Gaming Board of Tanzania (GBT) yenye jukumu la kusimamia uendeshaji wa michezo ya kubahatisha hapa nchini imesema kuwa kifungu Na. 52 cha sheria ya michezo ya kubahatisha ya mwaka 2003, pool tables zote zinatakiwa kusajiliwa ili kuwezesha uendeshaji wa mchezo huo kihalali.

Taasisi hiyo imesema kuendesha mchezo huo bila usajili ni kinyume cha sheria na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi ya watakaokaidi agizo hilo.
Kila mtu anatakiwa kulipa kodi. Kazi kweli kweli
 
Yaani ufundi wangu wote wa kupiga draw back,follow,screw shot,stop short,two in one halafu uniambie ni mchezo wa bahati?😁😁😁😁,mnitake radhi nyie bodi!Hivyo vitu nimejifunza kwa muda mrefu na sibahatishi!
 
Back
Top Bottom