Yaani ufundi wangu wote wa kupiga draw back,follow,screw shot,stop short,two in one halafu uniambie ni mchezo wa bahati?ππππ,mnitake radhi nyie bodi!Hivyo vitu nimejifunza kwa muda mrefu na sibahatishi!
Hahaha! bila kusahau spin shot...hivi hawa watu wanaelewa hata wanachokizungumza kweli? hawa watu wastaafishwe tu maana hawana weledi wa Kazi wala hawajui dunia ilipo.