hassanawami
New Member
- May 15, 2015
- 2
- 1
Hiyo sheria kandamiz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo sheria kandamiz
mfa maji haishi kutapatapa, the last days of ccm na mafisadi.
Watanzania tunalalamika sana muda mwengine mpaka tunasahau mema ambayo viongozi wetu wanatufanyia. Watanzania ni kama tayari tumesahau kwamba ilikuwa tuwe tunalipishwa kodi ya kila mwezi kwa laini za simu tunazotumia, ila kwa kuwa Ndugu January Makamba aliamua kulisimamia hili na kufanikiwa kumshawishi Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kukubali kusaini hati ya dharura kufanya marekebisho ya muswada wa fedha na kuondoa kodi ya tozo kwa laini za simu. Bonyeza link hii ya gazeti la "The Citizen" ujikumbushe na hiyo habari tafadhali.<br><br>http://www.matukiotz.co.tz/2013/12/angalia-post-ya-january-makamba-kuhusu.html<br><br>au hii kwa wale wanaojua lugha ya Kiingereza:<br>http://www.thecitizen.co.tz/News/national/SIM-card-monthly-charge-to-go--at-last/-/1840392/2119258/-/ay6k6a/-/index.html<br><br>
ha ha haha mkuu ngoja nitumie hii nafasi kutoa hisia zote na gerezani siendi... na october tunawapiga chini waende huko wao