Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
ha ha haha mkuu ngoja nitumie hii nafasi kutoa hisia zote na gerezani siendi... na october tunawapiga chini waende huko wao
Mimi itabidi nifanye maamuzi magumu ya kutokujiunga vifurushi vya Internet au nikijiunga niwe nasoma tu.
La sivyo nondo inanihusu.
Mwisho wa ukoloni ni tarehe 25 october saa 4 asubuhi tu tutakuwa tumemaliza kazi.