Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
ha ha haha mkuu ngoja nitumie hii nafasi kutoa hisia zote na gerezani siendi... na october tunawapiga chini waende huko wao
Mimi itabidi nifanye maamuzi magumu ya kutokujiunga vifurushi vya Internet au nikijiunga niwe nasoma tu.
La sivyo nondo inanihusu.
nitakata kwa mda lakini ikifika 25 october wajiandae wao kwenda ha ha ahaMimi nakuona kwa mbali umevaa nguo za Orange unakata kuni! Kwa kosa la kushare ujumbe wa tuhuma za kifisadi eti JK ni taijiri zaidi ya Rostam azizi!
mbona naona kama tunachelewa .. halafu kama usiku mrefu kuliko mchana ha ahahahah october i love youMwisho wa ukoloni ni tarehe 25 october saa 4 asubuhi tu tutakuwa tumemaliza kazi.
tutapiga story kitaa tu mpango wa kukutana jioni vijiweni utaendelea .. waweke na hiyo sheria ya kutufunga midomoInaanza rasmi kuisaidia CCM ili kuepuka taarifa kama za ukweli na mrungula wa Lipumba na kuzuia kusambaa kwa uozo mwingine utakaomnyima Magufuli kazi ya ukibaraka pale Ikulu!!
Naona unaota mchana kweupe....hivi umelala saa hizi?Mwisho wa ukoloni ni tarehe 25 october saa 4 asubuhi tu tutakuwa tumemaliza kazi.
Naona unaota mchana kweupe....hivi umelala saa hizi?
tutapiga story kitaa tu mpango wa kukutana jioni vijiweni utaendelea .. waweke na hiyo sheria ya kutufunga midomo
wakitaka wasome kila barua inayopita posta ,... huu mwaka acha tu ... tukutana bar, kitaa tutawasema tuMwanangu tuanze kutumiana barua hahahaha watajuta mwaka hu
Ccm itashinda uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, kupata vichekesho vingine kama hivi tuma " kichekesho" kwenda namba 15567 
wakitaka wasome kila barua inayopita posta ,... huu mwaka acha tu ... tukutana bar, kitaa tutawasema tu
Hahaaaaaa....nimecheka hadi nimekaa chini, btw October si mbali
Si ndio maana ya vichekesho, kuna mtu mwenye akili timamu wa kuipigia kura ccm?
Simama uhesabiwe sasa either with peoples power or against peoples power.
hilo nalo wazo nzuri.. au tufungue jf bar lakini glass za plastic pia za chupa ya plastic sahan za plastik vijiko plastic sufuria ya chuma na kuna komeo la mnyororo... halafu tujadili namna ya kumtoa huyo mkoloni maomboleoHii sasa tufanya hivi kila member wa JF afungue bar! Alafu tupeane ratiba hapa ya kwenda kukutana! Tujadili ufisadi
Si ndio maana ya vichekesho, kuna mtu mwenye akili timamu wa kuipigia kura ccm?
Simama uhesabiwe sasa either with peoples power or against peoples power.
People's power ndio
Lowassa No