Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015: Kwa mkakati huu wa Serikali, Watumiaji wa Mitandao tutapona?

Sheria ya Makosa ya Mtandao 2015: Kwa mkakati huu wa Serikali, Watumiaji wa Mitandao tutapona?

Mapungufu hayo yana madhara makubwa zaidi kwa watu ambao ni innocent

Sasa ni Tit-for- Tat! Wamwage Ugali,Sisi tujiandae kumwaga Mboga na maji yote ya kunawa!

Natoa rai kwa wanaharakati,wadau wa habari tusikate tamaa kirahisi.

Tuanzishe mapambano ikiwa Rais atasaini mswada huu kandamizi wa mitandao na kuwa sheria(Cyber Law) basi tufungue Kesi Mahakama kuu kuitaka mahakama itangaze baadhi ya vifungu kuwa vinakiuka katiba ya nchi (Unconstitutional) hasa Ibara ya 18 na pia vinakiuka misingi ya haki za binadamu.

Kwanza tunaweza kumshinikiza Rais asisaini hadi ufanyiwe marekebisho na njia ya pili ndio hiyo ikiwa atatia saini mswada huo

Pia tuendelee kujiandaa kwa wingi kujiandikisha na kuhamsishana kupiga kura tuondoe utawala huu katili na bunge lao lililojaa ushabiki huku likiua taifa.Tunaweza kutumia mitandao hii kueneza ujumbe.Tukiweza kuunda serikali na kuwa na wabunge wengi bungeni sheria hii kandamizi na nyinginezo tutazifutilia mbali

Misri walizuia kwa sheria kandamizi lakini haikufua dafu bado wananchi walifanya mageuzi makubwa

Tunisia sasa hivi wana serikali ya kidemokrasia kwa kuwa waliitumia mitandao kueneza ujumbe wa mageuzi makubwa.

Tumeshindwa kulidhibiti bunge ambalo CCM wanatumia wingi wao baada ya kupitisha mswada wa kidikteta,wa kikomunisti uliojaa malengo ya kifashisti

Yaani ikishakua Sheria watu wengi watafungwa kwa uonevu tu.Sitetei uhalifu wa kimtandao lakini hatuwezi kufumbia macho sheria kandamizi .Yaani mtu akipokea ujumbe au picha kwenye simu yako hata kama hujamuomba unakua umevunja sheria?

Sasa kwa sababu watawala hawajui ubovu wa sheria hii kwa vile wanafanya makusudi ya kukomoana na sisi tutaitumia hivyo.

Yaani Ukipata kesi tu kwa sababu umetumiwa picha ,basi na wewe mtumie Waziri huyo huyo aliyeupeleka mswada Bungeni, Mtumie na Hakimu anayesikiliza,mtumie na mwendesha mashtaka,mtumie na OCS au Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,Mwanasheria mkuu wa Serikali halafu nao waunganishwe kwenye kesi ndio wataelewa maana ya hiki tunachosema

Kuna wakati inabidi Civil disobedience itumike dhidi ya utawala

This draconian law does not sit well with common sense

It is a total affront on freedom of expression.

Tutumie mashinikizo yote,ya mahakama na hata civil disobedience dhidi ya sheria za kidikteta zinazokandamiza uhuru wa habari,haki za binadamu na pia zinazorudisha taifa nyuma

It's an assault on Democracy!

Aluta Continua,Victory ascerta...

Ben Saanane.
 
Ben Saanane ni mara ngapi umeumizwa humu kwa uhuru uliopitliza... vyama vya siasa ni wahanga wakuu wa mfumo holela wa uhuru wa habari... imagine mtu anakaa na computer yake nyumbani huku akigida juice ya ukwaju ana pakazia et Beni ana akaunti sijui benki ya crabse ina millioni 500 aliwekewa na mbunge Msumeno.... anaweka na namba feki kila kitu feki baada ya hapo jamii nzima hata mkewe wanamuona Beni n msaliti mla rushwa mwizi... hapana haifai.... na uhuru design hii hauna nafasi kwenye jamii starabu.....
 
Mapungufu hayo yana madhara makubwa zaidi kwa watu ambao ni innocent

Sasa ni Tit-for- Tat! Wamwage Ugali,Sisi tujiandae kumwaga Mboga na maji yote ya kunawa!

Natoa rai kwa wanaharakati,wadau wa habari tusikate tamaa kirahisi.

Tuanzishe mapambano ikiwa Rais atasaini mswada huu kandamizi wa mitandao na kuwa sheria(Cyber Law) basi tufungue Kesi Mahakama kuu kuitaka mahakama itangaze baadhi ya vifungu kuwa vinakiuka katiba ya nchi (Unconstitutional) hasa Ibara ya 18 na pia vinakiuka misingi ya haki za binadamu.

Kwanza tunaweza kumshinikiza Rais asisaini hadi ufanyiwe marekebisho na njia ya pili ndio hiyo ikiwa atatia saini mswada huo

Pia tuendelee kujiandaa kwa wingi kujiandikisha na kuhamsishana kupiga kura tuondoe utawala huu katili na bunge lao lililojaa ushabiki huku likiua taifa.Tunaweza kutumia mitandao hii kueneza ujumbe.Tukiweza kuunda serikali na kuwa na wabunge wengi bungeni sheria hii kandamizi na nyinginezo tutazifutilia mbali

Misri walizuia kwa sheria kandamizi lakini haikufua dafu bado wananchi walifanya mageuzi makubwa

Tunisia sasa hivi wana serikali ya kidemokrasia kwa kuwa waliitumia mitandao kueneza ujumbe wa mageuzi makubwa.

Tumeshindwa kulidhibiti bunge ambalo CCM wanatumia wingi wao baada ya kupitisha mswada wa kidikteta,wa kikomunisti uliojaa malengo ya kifashisti

Yaani ikishakua Sheria watu wengi watafungwa kwa uonevu tu.Sitetei uhalifu wa kimtandao lakini hatuwezi kufumbia macho sheria kandamizi .Yaani mtu akipokea ujumbe au picha kwenye simu yako hata kama hujamuomba unakua umevunja sheria?

Sasa kwa sababu watawala hawajui ubovu wa sheria hii kwa vile wanafanya makusudi ya kukomoana na sisi tutaitumia hivyo.

Yaani Ukipata kesi tu kwa sababu umetumiwa picha ,basi na wewe mtumie Waziri huyo huyo aliyeupeleka mswada Bungeni, Mtumie na Hakimu anayesikiliza,mtumie na mwendesha mashtaka,mtumie na OCS au Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,Mwanasheria mkuu wa Serikali halafu nao waunganishwe kwenye kesi ndio wataelewa maana ya hiki tunachosema

Kuna wakati inabidi Civil disobedience itumike dhidi ya utawala

This draconian law does not sit well with common sense

It is a total affront on freedom of expression.

Tutumie mashinikizo yote,ya mahakama na hata civil disobedience dhidi ya sheria za kidikteta zinazokandamiza uhuru wa habari,haki za binadamu na pia zinazorudisha taifa nyuma

It's an assault on Democracy!

Aluta Continua,Victory ascerta...

Ben Saanane.

Watu wafupi mna tabu sana.Eti assault on democracy.anza kwanza na chama chako kinachokataza watu kwenda mahakamani.mahakamani unatafuta nini wakati katiba yenu haitambui mahakama
 
Mapungufu hayo yana madhara makubwa zaidi kwa watu ambao ni innocent

Sasa ni Tit-for- Tat! Wamwage Ugali,Sisi tujiandae kumwaga Mboga na maji yote ya kunawa!

Natoa rai kwa wanaharakati,wadau wa habari tusikate tamaa kirahisi.

Tuanzishe mapambano ikiwa Rais atasaini mswada huu kandamizi wa mitandao na kuwa sheria(Cyber Law) basi tufungue Kesi Mahakama kuu kuitaka mahakama itangaze baadhi ya vifungu kuwa vinakiuka katiba ya nchi (Unconstitutional) hasa Ibara ya 18 na pia vinakiuka misingi ya haki za binadamu.

Kwanza tunaweza kumshinikiza Rais asisaini hadi ufanyiwe marekebisho na njia ya pili ndio hiyo ikiwa atatia saini mswada huo

Pia tuendelee kujiandaa kwa wingi kujiandikisha na kuhamsishana kupiga kura tuondoe utawala huu katili na bunge lao lililojaa ushabiki huku likiua taifa.Tunaweza kutumia mitandao hii kueneza ujumbe.Tukiweza kuunda serikali na kuwa na wabunge wengi bungeni sheria hii kandamizi na nyinginezo tutazifutilia mbali

Misri walizuia kwa sheria kandamizi lakini haikufua dafu bado wananchi walifanya mageuzi makubwa

Tunisia sasa hivi wana serikali ya kidemokrasia kwa kuwa waliitumia mitandao kueneza ujumbe wa mageuzi makubwa.

Tumeshindwa kulidhibiti bunge ambalo CCM wanatumia wingi wao baada ya kupitisha mswada wa kidikteta,wa kikomunisti uliojaa malengo ya kifashisti

Yaani ikishakua Sheria watu wengi watafungwa kwa uonevu tu.Sitetei uhalifu wa kimtandao lakini hatuwezi kufumbia macho sheria kandamizi .Yaani mtu akipokea ujumbe au picha kwenye simu yako hata kama hujamuomba unakua umevunja sheria?

Sasa kwa sababu watawala hawajui ubovu wa sheria hii kwa vile wanafanya makusudi ya kukomoana na sisi tutaitumia hivyo.

Yaani Ukipata kesi tu kwa sababu umetumiwa picha ,basi na wewe mtumie Waziri huyo huyo aliyeupeleka mswada Bungeni, Mtumie na Hakimu anayesikiliza,mtumie na mwendesha mashtaka,mtumie na OCS au Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,Mwanasheria mkuu wa Serikali halafu nao waunganishwe kwenye kesi ndio wataelewa maana ya hiki tunachosema

Kuna wakati inabidi Civil disobedience itumike dhidi ya utawala

This draconian law does not sit well with common sense

It is a total affront on freedom of expression.

Tutumie mashinikizo yote,ya mahakama na hata civil disobedience dhidi ya sheria za kidikteta zinazokandamiza uhuru wa habari,haki za binadamu na pia zinazorudisha taifa nyuma

It's an assault on Democracy!

Aluta Continua,Victory ascerta...

Ben Saanane.

I like the alternative bolded in red color
 
Ila itasaidia kwa upande mwingine

Mmmnh, itamsaidia nani?? Alieitunga (kwa sababu zake) ama aliyetungiwa??? Katika hili, wewe ukipokea ujumbe ambao haujaagana nao na sheria hii ikakuanguakia, utakuwa umesaidiwa katika lipi, kuondolewa gharama za maisha kwa kipindi fulani kwa kwenda magereza ama kuondolewa zile "senti chache ulizoitolea jasho" kwa kile kinachoitwa faini??

Kwenye sheria tusiingize mitazamo bali tafsiri za sheria hizo!
 
Mapungufu hayo yana madhara makubwa zaidi kwa watu ambao ni innocent

Sasa kwa sababu watawala hawajui ubovu wa sheria hii kwa vile wanafanya makusudi ya kukomoana na sisi tutaitumia hivyo.

Yaani Ukipata kesi tu kwa sababu umetumiwa picha ,basi na wewe mtumie Waziri huyo huyo aliyeupeleka mswada Bungeni, Mtumie na Hakimu anayesikiliza,mtumie na mwendesha mashtaka,mtumie na OCS au Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,Mwanasheria mkuu wa Serikali halafu nao waunganishwe kwenye kesi ndio wataelewa maana ya hiki tunachosema

Ben Saanane.

Ukifika katika ufikiri wa hali ya juu unaweza ukakufuru uumbaji wa Mungu kwa kuanza kufikiri kama HAKUUMBA KWA UPENDELEO. Hivi, waliotunga muswada huu ni wale ambao Mungu aliwaumba kwa mfano wake? Ukisema aliwaumba kwa mfano wake basi tutakuwa tunamkosea heshima sana kwani UFIKIRI WA HAWA MABWANA NA MABIBI UKO CHINI KULIKO MAELEZO.

Ukiupokea ujumbe wowote wa aina hiyo, kwa usemi wa Saa nane na ukautuma kwa mmoja ama sehemu ya wanafamilia ya wakubwa hawa wanadhani itakuwa rahisi kuzipindisha sheria hizi kwa sababu zimewagusa wanafamilia wao??

Tanzania ninayoiona kwa mbaaaali ikitunyemelea ni ile itakayokuwa zaidi ya kilichotokea SOWETO.
 
CBa3a8aUcAEqice.jpg:large


Sheria hii inatarajiwa kupitishwa Jumanne 31 March na Aprili 01, 2015 kwa hati ya dharura.




Wakuu,

Baada ya kuisoma sheria tarajiwa ya makosa ya jinai kwa watumiaji wa mitandao (Cybercrime) ambayo inapitishwa Bungeni kwa hati ya dharura, napata shaka juu ya uhuru wa watanzania watumiao mtandao.

Serikali yetu imeamua kutuumiza watanzania kwa mara nyingine. Inauma, inasikitisha na hatuna wa kututetea.

Wameona kupunguza vifurushi pekee hakutoshi, wameamua kutupangia nini tuongee, nani aongee na aongee vipi. Watoa huduma watalazimishwa kutoa taarifa zetu na wakikataa wataadhibiwa "kwa mujibu wa sheria".

Kwa ufupi, serikali inataka kuamua upi ukweli na upi uwongo. Huu ni ubakaji mkubwa wa Demokrasia. Wengi tutafungwa kwa uonevu wa kipengele hiki.


Napata shaka zaidi kwa watumiaji kutokujua hatari inayokuja mbele yao na hivyo kuchukua tahadhari.
Aidha, nina mashaka sana kama wabunge wetu wanaelewa athari yake kwao pia maana kama walidhani wanalengwa JF tu, basi hii ina upana zaidi ya hapo.

Kwa kiingereza:


Na pia, kipengele cha 21 kinaihusu JamiiForums au wengine wanaotoa huduma kama hizi. Serikali yetu tukufu inataka iwe ni lazima taarifa za watu zitolewe na watoa huduma ili iweze kufanya uchunguzi.

Wanaharakati, wapinzani na wengine ambao Serikali yenu Tukufu huenda inawahofia au kuwatilia shaka, itawalazimisha watoa huduma kutoa siri zenu. (Email zenu hupita kwa ISP na sio encrypted):



Soma pia kuhusiana na watoa huduma:

Aidha, serikali hii tukufu imeamua kutumia kifungu cha 22 kuonyesha dhamira yake si ya kutania endapo itataka kupata taarifa za mtu na mtoa huduma akataka kuua ushahidi kama inayosomeka:

Angalieni kipengele hiki pia:


Tupo salama?





Ni kutaka kudhibiti taarifa wakati wa uchaguzi? Ni kuwalinda kina nani?

Isomeni sheria nzima hapa - http://mst.go.tz/index.php/componen...wnloads?download=24:the-cybercrimes-bill-2015

Nimeambatanisha kipengele ninachoona ni tatizo zaidi.

CC EMT, Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Mchambuzi na wengine mnaoweza kututoa wasiwasi
Hupaswi kuwa mwoga. Kama umekuwa ukitumia mtandao vizuri huna sababu ya kuogopa. Woga wako huu ndo utakufanya kutumia mtandao kwa makini zaidi. Kwa hiyo nikwambie kwa wenye matumizi sahihi ya mtandao na ya kimaadili tutapona
 
CBa3a8aUcAEqice.jpg:large


Sheria hii inatarajiwa kupitishwa Jumanne 31 March na Aprili 01, 2015 kwa hati ya dharura.




Wakuu,

Baada ya kuisoma sheria tarajiwa ya makosa ya jinai kwa watumiaji wa mitandao (Cybercrime) ambayo inapitishwa Bungeni kwa hati ya dharura, napata shaka juu ya uhuru wa watanzania watumiao mtandao.

Serikali yetu imeamua kutuumiza watanzania kwa mara nyingine. Inauma, inasikitisha na hatuna wa kututetea.

Wameona kupunguza vifurushi pekee hakutoshi, wameamua kutupangia nini tuongee, nani aongee na aongee vipi. Watoa huduma watalazimishwa kutoa taarifa zetu na wakikataa wataadhibiwa "kwa mujibu wa sheria".

Kwa ufupi, serikali inataka kuamua upi ukweli na upi uwongo. Huu ni ubakaji mkubwa wa Demokrasia. Wengi tutafungwa kwa uonevu wa kipengele hiki.


Napata shaka zaidi kwa watumiaji kutokujua hatari inayokuja mbele yao na hivyo kuchukua tahadhari.
Aidha, nina mashaka sana kama wabunge wetu wanaelewa athari yake kwao pia maana kama walidhani wanalengwa JF tu, basi hii ina upana zaidi ya hapo.

Kwa kiingereza:


Na pia, kipengele cha 21 kinaihusu JamiiForums au wengine wanaotoa huduma kama hizi. Serikali yetu tukufu inataka iwe ni lazima taarifa za watu zitolewe na watoa huduma ili iweze kufanya uchunguzi.

Wanaharakati, wapinzani na wengine ambao Serikali yenu Tukufu huenda inawahofia au kuwatilia shaka, itawalazimisha watoa huduma kutoa siri zenu. (Email zenu hupita kwa ISP na sio encrypted):



Soma pia kuhusiana na watoa huduma:

Aidha, serikali hii tukufu imeamua kutumia kifungu cha 22 kuonyesha dhamira yake si ya kutania endapo itataka kupata taarifa za mtu na mtoa huduma akataka kuua ushahidi kama inayosomeka:

Angalieni kipengele hiki pia:


Tupo salama?





Ni kutaka kudhibiti taarifa wakati wa uchaguzi? Ni kuwalinda kina nani?

Isomeni sheria nzima hapa - http://mst.go.tz/index.php/componen...wnloads?download=24:the-cybercrimes-bill-2015

Nimeambatanisha kipengele ninachoona ni tatizo zaidi.

CC EMT, Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Mchambuzi na wengine mnaoweza kututoa wasiwasi

KP31032015.jpg
 
Nimeupitia uzi huu wote, Wakuu wanaopinga huu muswada (uliopitishwa Bungeni) wa ukandamizaji wa uhuru wa kuongea mitandaoni ambao umefanya mitandao mbali mbali ikiwemo JF kuwa maarufu sana kwa Watanzania ndani na nje ya nchi wengi wamejenga hoja nzito na nzuri sana. Wakuu ambao wamenigusa sana katika hoja zao za kupinga huu ukandamizaji wa uhuru wa Watanzania ni TGInnocent na juve2012, hongereni zako Wakuu kwa hoja zenu.
 
Last edited by a moderator:
Lissu funga kazi , Bunge laweka rekodi mpya

lissu.jpg

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu akizungumza bungeni wakati wa kupitisha Muswada wa Sheria ya Miamala ya Kielektroniki wa Mwaka 2014 na Sheria wa Makosa ya Mtandao wa Mwaka 2015 mjini Dodoma, juzi usiku. Picha na Anthony Siame



KWA UFUPI

  • Lissu alitoa hoja 22 akipinga vifungu mbalimbali vya Sheria ya Makosa ya Mtandao
  • Hadi saa 5.00 usiku Bunge lilikuwa na wabunge 86 wakiwamo mawaziri na 12 wa upinzani
Dodoma. Hoja 22 za kupinga vifungu Muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao wa mwaka 2015 zilizotolewa juzi na Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu jana zilisababisha kikao cha 14 cha Bunge kuvunja rekodi ya kutumia muda mrefu baada ya kumalizika saa 6.15 usiku.

Marekebisho yaliyowasilishwa na Lissu yaliungwa mkono na Mbunge wa Ubungo (Chadema), John Mnyika ambaye pia alikuwa na marekebisho yake katika muswada huo, hivyo wote wawili kuichachafya Serikali bila mafanikio baada ya muswada huo kupitishwa kwa sauti kubwa ya “Ndiyooo” ya wabunge wa CCM.

Kuanzia saa 12.30 jioni, Bunge lilikaa kama kamati kupitisha muswada huo baada ya kumaliza kuupitisha muswada wa Sheria ya Miamala ya Kielektroniki ambao haukuwa na mvutano mkali.

Mvutano wa kisheria kati ya Lissu dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa, naibu wake, January Makamba ulianza saa 12.30 jioni hadi saa 5.30 usiku na baadaye Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akatumia muda uliosalia kuahirisha Bunge.

Mpaka inafika saa 5.00 usiku wabunge wa upinzani waliokuwapo bungeni walikuwa 12 tu, akiwamo Lissu na Mnyika na hivyo kufanya idadi ya wabunge wote kuwa 86, wakiwamo wa CCM na mawaziri.

Kuna wakati Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge alilazimika kusimama kutoa ufafanuzi wa kina, ikiwa ni pamoja na namna ya kuvitamka kwa ufasaha vifungu vya sheria ili kukubalika na pande mbili zilizokuwa zinavutana.

Mapendekezo yote yaliyotolewa na Chenge ambaye amewahi kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, yaliungwa mkono na Lissu pamoja na Masaju na Wizara ya Mawasiliano.

Wakati mnyukano huo ukiendelea, Pinda alikuwa kimya akisubiri kusoma hotuba yake ya kuahirisha Bunge.

Pinda alianza kusoma hotuba hiyo saa 5.30 usiku mpaka saa 6.00 usiku, ikiwa ni baada ya Bunge kuupitisha muswada huo. Baada ya dakika 15 za kutoa matangazo mbalimbali na kuwashukuru wabunge, Spika Makinda aliahirisha mkutano huo.

Kuna wakati Lissu aliwataka wabunge kutochoka kutokana na hoja anazozitoa kusababisha kikao hicho kuwa kirefu, huku Makinda naye akiwaeleza wabunge kuwa ‘zege halilali’, akimaanisha kuwa Bunge haliwezi kuahirishwa mpaka muswada huo upitishwe na Pinda atoe hotuba ya kuahirisha Bunge.

Kati ya marekebisho 22 yaliyowasilishwa na Lissu, ni matano tu yaliyokubaliwa na Serikali huku Lissu akikubali vifungu viwili tu vilivyofanyiwa marekebisho na Serikali, akivisifia kuwa vimeandikwa kama sheria inavyotaka, lakini vingine akiviita vya ovyo na sheria inayotungwa ni mbaya yenye malengo ya kuwakomoa baadhi ya watu.

Ilivyokuwa Hoja kubwa iliyozua mabishano ya kisheria ni muswada huo kutokuwa na tafsiri ya baadhi ya maneno yakiwamo, ‘matumizi ya mfumo wa kompyuta kinyume cha sheria’, ponografia ambayo yanatengeneza kosa kwa mujibu wa sheria hiyo.
Vilevile, ulitokea ubishi katika hoja ya kuingilia mawasiliano kinyume cha sheria ambacho adhabu yake ni kifungo kisichopungua mwaka mmoja au faini isiyopungua Sh5 milioni, ikipendekezwa kuwa yaingizwe maneno ‘kwa nia mbaya au kwa makusudi’, ili kuwalenga wenye nia ovu na kuwaacha wale watakaoingilia mawasiliano kwa bahati mbaya.

Mbunge huyo wa Singida Mashariki alikipinga kifungu cha 14 kinachozuia utazamaji wa filamu za ngono, akitaka kifutwe chote kwa maelezo kuwa kinawazuia watu wazima kutizama filamu hizo, isipokuwa kwa watoto.

“Filamu hizi zinaonyeshwa katika majumba ya sinema na hii ni biashara halali. Kifungu hiki kinasema ukionyesha hiyo filamu ukikutwa unatozwa faini Sh30 milioni au kifungo cha miaka 10,” alisema Lissu na kufafanua kuwa sheria hiyo inalenga kuwageuza Watanzania kuwa watawa na mapadri na si kupiga marufuku makosa ya mtandao.

Hoja ya Lissu ilitolewa ufafanuzi na Profesa Mbarawa, Makamba na Masaju, huku Lissu akisisitiza kuwa neno ‘ponographia’ halijatolewa ufafanuzi katika sheria, lakini ilipingwa na kifungu hicho kupitishwa.

Lissu pia alipinga kifungu cha 19 kinachozungumzia mauaji ya kimbari akitaka kifutwe kwa maelezo kuwa muswada huo haujaeleza mauaji ya kimbari ni kitu gani. chanzo.Lissu funga kazi , Bunge laweka rekodi mpya - Kitaifa - mwananchi.co.tz

 
Food for thought

By courtesy of Maria T. Sarungi

KANUNI ZA BUNGE
UHALALI WA SHUGHULI

77.-(1) Akidi kwa kila kikao cha Bunge wakati wa kufanya maamuzi

itakuwa ni nusu ya Wabunge wote, kama ilivyofafanuliwa katika

Ibara ya 94 ya Katiba


Miswada ya dharura imepitishwa na wabunge 86 kutoka 323


Constitution and Parliamentary Standing Orders clearly state that: Quorum for decision making is half of the legislators, bills passed by certificate of urgency by 86 members of Parliament out of 323 ..

Isomwe pia na wapwa zangu zumbemkuu, MANI, Chakaza, Elli, Ntuzu, Malafyale, Eli79


 
Last edited by a moderator:
Huu muswada ukisainiwa na Kikwete zifanyike kampeni za kuusambaza katika balozi zote za nchi za Wafadhili nchini na vyombo vikubwa vya habari duniani kama vile BBC News, CNN, The Guardian, na magazeti mengine mbali mbali makubwa duniani ili vyombo hivi viishinikize hii Serikali dhalimu ama kuufuta au kuufanyia marekebisho makubwa ambayo yatahakikisha Watanzania tunakuwa na uhuru wa kuikosoa Serikali na watendaji wake na pia kuziweka nyaraka za siri za Serikali hadharani pale ambapo kumekuwa na wizi mkubwa, ufujaji wa pesa, ufisadi n.k. wa pesa za walala hoi.
 
Huu muswada ukisainiwa na Kikwete zifanyike kampeni za kuusambaza katika balozi zote za nchi za Wafadhili nchini na vyombo vikubwa vya habari duniani kama vile BBC News, CNN, The Guardian, na magazeti mengine mbali mbali makubwa duniani ili vyombo hivi viishinikize hii Serikali dhalimu ama kuufuta au kuufanyia marekebisho makubwa ambayo yatahakikisha Watanzania tunakuwa na uhuru wa kuikosoa Serikali na watendaji wake na pia kuziweka nyaraka za siri za Serikali hadharani pale ambapo kumekuwa na wizi mkubwa, ufujaji wa pesa, ufisadi n.k. wa pesa za walala hoi.

Shemeji BAK uko sahihi huu mswada ni jeneza kwa uhuru wa habari kwa watanzania. Hao wanaotumia vibaya mitandao wanaweza kutafutiwa namna ya kuwadhibiti lakini sio hii.
 
Inasikitisha sana kuona kunapitishwa sharia za kiharamia kama hizi ili tu kutunyima haki Watanzania kujadili mambo mbali mbali ndani ya Serikali hii na Watendaji wake ambayo kwa kweli yanaiangamiza nchi yetu. Hawajawahi kutengeneza muswada wa kupambana na ufisadi uliokithiri nchini, wa kupambana na rushwa iliyokithiri nchini ambayo sasa imeingia hadi ndani ya Ikulu, ya kupambana na ujangili uliokithiri nchini ambao sasa unafanywa na wakubwa ndani ya Serikali na CCM lakini wameona watengeze muswada wa kuthibiti uhuru wetu Watanzania wa kujadili mambo mbali mbali kuhusu mustakabali wa nchi yetu. Inasikitisha sana kusema kweli, nadhani Tanzania itakuwa nchi inayoongoza katika afrika kwa kuwanyima wananchi wake haki ya kujadili mambo mbali mbali ndani ya nchi yao na duniani tutakuwa hatuna tofauti na China na North Korea hivyo kushika namba moja pia duniani sambamba na nchi hizo mbili.

Shemeji BAK uko sahihi huu mswada ni jeneza kwa uhuru wa habari kwa watanzania. Hao wanaotumia vibaya mitandao wanaweza kutafutiwa namna ya kuwadhibiti lakini sio hii.
 
Kiukweli moja ya suala lililo na linalozidi kuniumiza ni huu mswada! Ni dhahiri 100% unalenga kuwaziba mdomo watanzania kuwa na uhuru wa kuongea.

Tatizo la sisi Watanzania ni wavivu MNO wa kusoma! Nina uhakika kwa mtu aliyeusoma kwa umakini huo mswada atatambua kwamba umelenga kumnyima Mtanzania haki yake ya msingi ya kutoa maoni na kupashana habari

Watanzania ambao hawajausoma huo mswaada na kuusikia tu juu juu wengi wao wanausifia eti ni mzuri kwa kuwa unapiga marufuku lugha ya matusi na unazuia usambazaji na utazamaji wa picha na filamu za ngono. Wengi wao wameshikilia vipengele hivyo tu!

Watanzania tuamke, mswaada huu HAUFAI hata kidogo. Km utasainiwa na rais mjue ndo itakuwa mwanzo na mwisho kuzijua kashfa mbalimbali zinazoilenga serikali. Kiongozi yeyote akifanya kosa itabidi ujipange sana kulizungumzia hilo kosa, vinginevyo UTAKWENDA JELA kwa kuosa la kutoa lugha ya kejeli au matusi kwa kiongoz wako.

Bila kujali itikadi ya chama chochote kwa mtu aliyeangalia bunge siku ile wakati mswada unajadiliwa ataukubali sana mchango wa TUNDU LISSU na MNYIKA. Ni wabunge pekee walioonesha mchango mkubwa siku ile.

Hata kama ni kweli wabunge wengi waliokuwemo siku ile hawakuwa wanasheria lakini HAWAKUPASWA kupitisha kirahisi rahisi suala nyeti kiasi kile. Waswahili wana msemo: "Kusoma hujui, lakin Hata picha tu huoni?" Hapo ndipo nilipojiridhidha kuwa wabunge wengi ni MAJUHA tu! Nilikuwa nakerwa sana na mikelele yao ya NDIOOOO! Kweli Tanzania tunahitaji mabadiliko makubwa sana kwenye uwakilishi wa wabunge.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju, Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame
Mbarawa, naibu wake, January
Makamba nyie wote ni WAPUMBAVU TU!! Hakuna chochote mlichokifanya!

Nina hasira sana na Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia.

Hawa MAJUHA Makame na January ndo chanzo cha kutozwa gharama kubwa kwenye mitandao ya simu hususani vifurushi vya Internet. Mtu unaunga kifurushi cha 500, 1000, 2000, nk halafu UNAPEWA MB 8 Kweli??? Mmeona hiyo tu haitoshi ndo mmeamua kuwaziba kabisa midomo watanzania wasiweze kujadili madudu yenu mnayoyafanya. Januari Makamba alijifanya anasikitika sana kupandishwa kwa gharama za mitandao ya simu hadi alipost kwenye ukurasa wake wa Twiter kuwa atalishughulikia kumbe ulikuwa ni UNAFIKI MTUPU!

Si hivyo tu; Nakumbuka pia kwenye suala la ving'amzi mlidai chanel za kitanzania zitaoneshwa bure kwenye hivyo ving'amzi cha kushangaza hadi sasa ving'amzi vingi usipolipia HUONI chaneli hata moja ya kitanzania!!

SHAME ON YOU! Ila naamini hata mtubane vipi watanzania tutapashana tu habari!

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
 
Wameona tumewalipua sana mtandaoni. Tutaendelea kuwalipua tuone kama wana manpower ya kutukamata wote.

Wanazidi kutupa sababu za kutoichagua CCM.

Hata uwe baba yangu mzazi halafu unagombea cheo chochote kupitia CCM, kura yangu huipati.
 
Food for thought

By courtesy of Maria T. Sarungi

KANUNI ZA BUNGE
UHALALI WA SHUGHULI

77.-(1) Akidi kwa kila kikao cha Bunge wakati wa kufanya maamuzi

itakuwa ni nusu ya Wabunge wote, kama ilivyofafanuliwa katika

Ibara ya 94 ya Katiba


Miswada ya dharura imepitishwa na wabunge 86 kutoka 323


Constitution and Parliamentary Standing Orders clearly state that: Quorum for decision making is half of the legislators, bills passed by certificate of urgency by 86 members of Parliament out of 323 ..

Isomwe pia na wapwa zangu zumbemkuu, MANI, Chakaza, Elli, Ntuzu, Malafyale, Eli79





Asante Mkuu kwa kuweka Kumbukumbu vizuri.Hii kitu tayari inakosa uhalali wa Kisheria na wa Kikatiba.

Yaani chini ya 27% ya Wabunge wote wa Bunge la JMTanzania ndiyo waliopitisha Mswada huu na kiuhalisia 86-12= 74 CCM ndiyo waliosema ndiyoooooooooooooo.


Kazi kwa JK kuusaini kutimiza malengo ya Magogoni.



Lissu funga kazi , Bunge laweka rekodi mpya

Mpaka inafika saa 5.00 usiku wabunge wa upinzani waliokuwapo bungeni walikuwa 12 tu, akiwamo Lissu na Mnyika na hivyo kufanya idadi ya wabunge wote kuwa 86, wakiwamo wa CCM na mawaziri.
 
Mie sio mwanasheria, ila ningependa kujua jinsi neno impersonate lilivyotumika katika mswada huu, Je kwa mfano mimi nataka kujiunga kwe forum fulan ili niweze kushiriki katika masa mbailmbali, kisha wakati wa kujiunga nakuta jina langu halisi linatumika na mtu mungine ambaye anajina kama langu, kisha naamua kutumia jina jingine ili mradi tu system iniruhusu kujiunga (Mfano nachagua jina jingine "John" ambalo nagundua halijawahi kutumika) baada ya muda na post kitu ambacho mtu mungine ambaye jina lake halisi ji John anaiona hiyo post na kugundua kuwa niliyeipost jina langu halisi siyo John na kumfanya ahisi nimetumia jila lake vibaya, kwa mujibu wa mswada huu sitoweza kutiwa hatiani!???

Wakati kina Mange Kimambi wanaita watu Malaya, wanatusi watu pasina hatia hakuna sheria inayowaba. Wakati kila mtu siku hizi anaweza fungua blog na kutusi watu hakuna sheria inayombana.

Wapo wajinga wengi tuu wanao tuma picha za watu uchi na kuzisambaza kwenye whatsapp na hakuna sheria ya kuwabana.

Cyber law zipo kila nchi, USA leo ukidelete hard drive yako ni crime evidence alteration. Kutaka mtandao uwe free kila mtu atukane watu atakavyo sio haki.

Nadhani swala la msingi liwe ni kuifanyia marekebisho sheria ili isizuie Uhuru wa Kuzungumza. Lakini mchezo wa matusi ukome.
 
[h=2]We must defend our way of life. Do not be swayed by by the law. Stand by our norms. The law is good, and those who are against, they must have hidden agendas. The law will stop defamation, impersonations, abusive language, and above all, restore the respect in the society.[/h]
CBa3a8aUcAEqice.jpg:large


Sheria hii inatarajiwa kupitishwa Jumanne 31 March na Aprili 01, 2015 kwa hati ya dharura.




Wakuu,

Baada ya kuisoma sheria tarajiwa ya makosa ya jinai kwa watumiaji wa mitandao (Cybercrime) ambayo inapitishwa Bungeni kwa hati ya dharura, napata shaka juu ya uhuru wa watanzania watumiao mtandao.

Serikali yetu imeamua kutuumiza watanzania kwa mara nyingine. Inauma, inasikitisha na hatuna wa kututetea.

Wameona kupunguza vifurushi pekee hakutoshi, wameamua kutupangia nini tuongee, nani aongee na aongee vipi. Watoa huduma watalazimishwa kutoa taarifa zetu na wakikataa wataadhibiwa "kwa mujibu wa sheria".

Kwa ufupi, serikali inataka kuamua upi ukweli na upi uwongo. Huu ni ubakaji mkubwa wa Demokrasia. Wengi tutafungwa kwa uonevu wa kipengele hiki.


Napata shaka zaidi kwa watumiaji kutokujua hatari inayokuja mbele yao na hivyo kuchukua tahadhari.
Aidha, nina mashaka sana kama wabunge wetu wanaelewa athari yake kwao pia maana kama walidhani wanalengwa JF tu, basi hii ina upana zaidi ya hapo.

Kwa kiingereza:


Na pia, kipengele cha 21 kinaihusu JamiiForums au wengine wanaotoa huduma kama hizi. Serikali yetu tukufu inataka iwe ni lazima taarifa za watu zitolewe na watoa huduma ili iweze kufanya uchunguzi.

Wanaharakati, wapinzani na wengine ambao Serikali yenu Tukufu huenda inawahofia au kuwatilia shaka, itawalazimisha watoa huduma kutoa siri zenu. (Email zenu hupita kwa ISP na sio encrypted):



Soma pia kuhusiana na watoa huduma:

Aidha, serikali hii tukufu imeamua kutumia kifungu cha 22 kuonyesha dhamira yake si ya kutania endapo itataka kupata taarifa za mtu na mtoa huduma akataka kuua ushahidi kama inayosomeka:

Angalieni kipengele hiki pia:


Tupo salama?





Ni kutaka kudhibiti taarifa wakati wa uchaguzi? Ni kuwalinda kina nani?

Isomeni sheria nzima hapa - http://mst.go.tz/index.php/componen...wnloads?download=24:the-cybercrimes-bill-2015

Nimeambatanisha kipengele ninachoona ni tatizo zaidi.

CC EMT, Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Mchambuzi na wengine mnaoweza kututoa wasiwasi[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom