Kuvunja ndoa ya kikisto hasa kwa wakatoliki ni ngumu nafikiri haiwezekani kama kuna chance kama hiyo ni negligible, mimi nimeshuhudia watu wanapambana kuvunja ndoa imepita miaka 40 sasa wameamua kurudiana, na hata kanisa la uingereza yaani the church of England lilitokea baada ya mfalme wa uingereza kipindi hicho kutaka askofu wa rome(vatkan) kutaka aivunje ndoa yake yule askofu alikataa na hapo mfalme akaamuru waingereza wote kuasi kanisa katoliki na kuanzisha the church of enlgand ili tu apate kibaraka atakaye vunja ndoa yake na aweze kuoa mke mwingine amtakaye yeye, nahitimishs hivii.......kuvunja ndoa ni ngumu sana cha msingi kama umechoka we ni kujiondokea ukaanze maisha mengine asanteni