Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

Sheria ya Ndoa: Maswali na majibu mbalimbali

Dah pole sana Umekuta kisu kiko kwenye ala yake au umekuta wanazungumza tu? Je ulishaanza kuhisi chochote kabla
Mkewangu mfanya biashara ndogondogo jana aliniaga anakwenda Dukani kudai madeni

Lakini alikata chocho kwenda kwa kijana. Nika mfumania

Nilimpa kichapo

Akakimbia hakurudi nyumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majaribu hayo!halafu akirudi ukimuuliza ulikuwa wapi anakuwa mkali...
 
Back
Top Bottom