Sheria ya Pasu Kwa Pasu ifutwe Kwa Hoja zifuatazo

Watoto ni wa kwetu sote , yeye hanywi hiyo chai , basi yeye kunywa hiyo chai ndio mchango wake. Turudi kwenye asili ya Mungu wetu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Unalalamika nini wakati sheria za dini ya kiislamu inataka hata mwanaume alipe kodi ya meza kwa mke wake kila anapoondoka.

Mchango wa wanandoa ni zaidi ya hii mifano niliyotoa, ndoa haizingatii mchango wa fedha peka yake au kazi, kuna mambo lukuki yanazingatiwa.

Ndiyo maana leo hii unaweza ukawa na pesa dunia nzima lakini kwenye talaka ikaamuriwa mtoto akae na mama yake ambaye hana pesa kuliko wewe. Halafu wewe ukapewa sharti la kuwatunza wote. Unadhani kwanini mahakama inaamua hivi ???
 
Wewe ndio umeleta hoja za chai na watoto, sasa ulitaka nimjibu nani? Tetea hoja zako au piga kimya..
Kama umeshindwa kuelewa hoja rahisi kama hizo nilizotoa hapo juu hata nikikupa sababu milioni za kwanini bunge na mahakama ziliamua hivi kuhusu sheria ya ndoa huwezi kuelewa.

Hata hivyo siyo lazima uelewa kila kitu, wenye kuelewa washaelewa. Wewe ambaye hujaelewa endelea kupayuka-payuka kama Banshee ameona kifo.....
 
1.) Kwani hapa si tupo kujaribu kubadilisha hizo tataribu zilizopo? Kwahiyo haijalishi waislam au wakristo sheria zao zinasemaje, bali cha msingi ni kipi ambacho tungependelea sheria ziseme.


2.) Toa mifano hiyo mingine ya tofauti ya ‘Chai’ na ‘watoto’ tujadili.

3.) Suala la pesa na mtoto kukaa na mama yake ni natural kabisa, mtoto ni wa mama, na malezi ya kimahitaji ni ya baba, wala si tatizo wala si hoja.
 
1.) Hatupo hapa kujadili nini au nani aliamua nini huko nyuma, bali tujadili kwa hoja nini kinatakiwa kiwe vipi kwa siku za mbeleni, na ndio hoja iliyopo juu ya mgao wa mali, kwamba uweje na kwanini uwe hivyo, ukaleta hoja za Chai na watoto, umejibiwa una panic.., calm down brother, leta hoja zingine kama unazo...

2.)Usilazimishe watu kukuelewa, hatupo hapa kuelewana, bali kupeana hoja na kuzijibu.., sawa brother.., haya nenda kanywe chai upoe.
 
Viti kama hivi hata mtanzania wa kawaida kule kijijini anavifahamu, sasa nikulezee mimi ni baba yako ???

Unajua kusoma na kuandika, nenda kasome SHERIA YA NDOA YA TANZANIA na kesi za MAHAKAMA KUU kuhusu talaka. Japo nafahamu wewe huwezi kufanya hivyo kwasababu wewe ni MPUMBAVU.
 
Nenda kasome wewe halafu uje na hoja nyingine tofauti na ya ‘Chai’ na ya ‘watoto’ ambayo tumeshakujibu. Mwanzo ulikuja na hoja, which was good, na umejibwa, sasa unaleta vihoja, which is ridiculous. Hatupo hapa kufuata kilichofanyika au kuamuliwa nyuma, bali tumashauri kupitia mjadala kwamba nini kifanyike na kiamuliwe huko mbeleni, ili tusonge mbele
 
Andiko lako kwangu Mimi nimeona ni kama mtu ambaye alitaka kushare mawazo yake na matamanio yake

Lakini

Halina uhalisia katika Maisha halisi kabisa,labda Kule Hollywood linaweza likafaa.
 
1.) https://www.jamiiforums.com/threads...llion-moja-kwa-kuanzisha-tra-efd-app.1330951/

2.) https://www.jamiiforums.com/threads/hivi-ni-kwanini-road-license-isilipiwe-kwenye-mafuta.1120896/

3.) https://www.jamiiforums.com/threads...a-zege-hazitumiki-kama-nguzo-za-umeme.986440/

4.) https://www.jamiiforums.com/threads...umba-ya-sh-10-000-ni-akili-au-matope.1541510/

5.) https://www.jamiiforums.com/threads...zifungwe-kwenye-nguzo-za-umeme.1661406/?amp=1

6.) https://www.jamiiforums.com/threads...-nchi-zinazotumia-mifuko-ya-plastiki.1347961/

7.) https://www.jamiiforums.com/threads...-na-vyote-ulipie-kwa-mara-moja.1972467/?amp=1


Wewe endelea kupapaswa makalio hayo.., sisi ni kumwaga hoja tu..., ona kipi hapo hakijatekelezwa
 
Unapenda sana kuzungumzia mambo ya ushoga na makalio wewe jamaa. Ukizingatia na hizi tabia zako za kuwaonea wivu watoto wa kike hapa jukwaani napata sana wasiwasi na wewe.

Haya unaniletea nyuzi zako hapa, unataka nikusifie, nikupende au nije kwenu kutoa mali ?? Mtoto wa kiume hujiamini, unataka mwaume mwenzako nisifie michango yako!

Usipoteze muda wako, siwezi kusoma upumbavu wako maana nishakupuuza kitambo mno. Hivyo wewe endelea kutukana, kuwa chawa na kulia-lia tu, maana huna unaloweza zaidi ya hilo. Mijadala mikubwa waachie akili kubwa.
 
Calm down brother, umeniita mimi mjinga mkubwa, kwamba sina akili ya kujadili mjadala kama huu wa mgawanyo wa mali, hivyo nimekutolea mifano hai kukuinyesha kwamba mimi si mjinga na sishindwi kujadili mijadala kama hii. Sasa leta hoja nyingine tofauti na hiyo ya ‘Chai’ na ‘watoto’ tuendelee. Otherwise piga kimya.
 
Hakuna hiyo sheria ya pasu kwa pasu, ni porojo tu umeandika hapa. Mali inapogawanywa mahakamani kuna vigezo vingi vinazingatiwa.
Umenena vyema! Japo umefanya makosa kuwaambia ukweli. Ungewaacha waendelee kuamini hizi porojo zao.
 
Umeacha kuharisha matusi! Vizuri sana, naona unaanza kujirekebisha. Siku nyingine usirudie kuleta upumbavu wako wa kujibu-jibu hovyo kila mtu hapa jukwaani ukidhani ni mtoto mwenzako au mjinga. Shika sana adabu yako, tena ishike sana!
 
Umeacha kuharisha matusi! Vizuri sana, naona unaanza kujirekebisha. Siku nyingine usirudie kuleta upumbavu wako wa kujibu-jibu hovyo kila mtu hapa jukwaani ukidhani ni mtoto mwenzako au mjinga. Shika sana adabu yako, tena ishike sana!
Leta hoja achana na vihoja, hiyo ya Chai na Watoto ushajibiwa, leta nyingine au piga kimya.
 
Leta hoja achana na vihoja, hiyo ya Chai na Watoto ushajibiwa, leta nyingine au piga kimya.
Endelea kukomaa hapa ili kuua noma kwa kujionesha mwerevu. Ila mimi mtu mzima nafahamu fika, kwamba leo umejifunza kitu kipya na siku nyingine utakuwa mtu makini zaidi.

Bwana Yoda ameshawamegea kitu cha msingi kabisa kuhusu Sheria ya ndoa, hivyo kazi kwenu kwenda kuchunguza na kufanya tafiti.

Intellectual Discourse is not a popularity contest. So grow up...

Nakutakia wakati mwema...
 
Kama ulijua hayo huo utetezi wa Chai na Watoto ulikuwa unatetea nini..., issue ya kilichopo kisheria na kinachotekelezwa kwa kile ulichoita ‘falsafa ya sheria ya ndoa’ ni vitu viwili tofauti, hivyo mjadala unalenga kuondoa mazoea ambayo si ya kisheria ya pasu pasu ambayo msingi wake wewe umeita ni ‘falsafsa’, sasa tunajadili ili kudrive mahakama kutoka kwenye kile ulichoita ‘falsafa’ na twende kwenye ‘sheria’ sasa, kama Yoda alivyoeleza ilivyo, simples as that; ila wewe unaruka ruka kama kuku aliyekatwa kichwa, mara huku mara kule, stay put and state your motion ili mjadala uendlee, au piga kimya.
 
Siku mkifika mahakamani ndo utajua mke achuke ngapi. Hiyo ni kazi ya wanasheria, wahasibu na auditors. Mwingine anaweza kupata 55, 40, 30, 20 10 n.k wanawake wote kwenye ndoa hawachangii viwango sawa na hivyo hakuwezi kuwa na kiwango kimoja tu.
Huo mchango thamani yake ni sh ngapi, au tufanye ni asilimia ngapi..mfano imeuzwa mali million 100 mke achukue ngapi hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…