Sheria ya Pasu Kwa Pasu ifutwe Kwa Hoja zifuatazo

Sheria ya Pasu Kwa Pasu ifutwe Kwa Hoja zifuatazo

Anapewa gawia Kwa kanuni ipi? Na Kwa kiasi gani? Mchango wake unapimwaje?
Mahakama huzingatia mambo mengi sana, kazi za ndani zikiwemo (Domestic Work). Mfano, mali mlizochuma pamoja, mali zilozochumwa kabla ya ndoa, au mali ambazo alichuma mwanaume peke yake lakini mwanamke ametoa mchango katika kuziendeleza.

Hawawezi kugawa 50/50,hili hata Marekani halipo, ila watahakikisha mwanamke anaachwa kwenye nafasi nzuri ili aweze kuanza maisha mapya. Hapa pia watauliza kama mwanamke alikuwa anamhudumia vizuri mume wake kwenye kazi za ndani kama chakula, usafi na mengineyo.

Kama kuna umuhimu zaidi mahakama itaamua mwanamke apewe hadi pesa za kujikimu (Alimony) mpaka pale atakapoweza kusimama vizuri kwa miguu yake.

Mitandaoni kuna taarifa nyingi, lakini kwasababu hatupendi kusoma tunashinda Pornhub, Xvideos na kupelekwa na matukio hatuwezi kufahamu mengi.

Kama wengi wetu ambao tunajifanya wajanja humu ndani tungepata wasaa wa kusoma kesi zinazohusu mali za marehemu Mzee Reginald Mengi tungejifunza mengi kwasababu yamezungumzwa sana.
 
Mahakama huzingatia mambo mengi sana, kazi za ndani zikiwemo (Domestic Work). Mfano, mali mlizochuma pamoja, mali zilozochumwa kabla ya ndoa, au mali ambazo alichuma mwanaume peke yake lakini mwanamke ametoa mchango katika kuziendeleza.

Hawawezi kugawa 50/50,hili hata Marekani halipo, ila watahakikisha mwanamke anaachwa kwenye nafasi nzuri ili aweze kuanza maisha mapya. Hapa pia watauliza kama mwanamke alikuwa anamhudumia vizuri mume wake kwenye kazi za ndani kama chakula, usafi na mengineyo.

Kama kuna umuhimu zaidi mahakama itaamua mwanamke apewe hadi pesa za kujikimu (Alimony) mpaka pale atakapoweza kusimama vizuri kwa miguu yake.

Mitandaoni kuna taarifa nyingi, lakini kwasababu hatupendi kusoma tunashinda Pornhub, Xvideos na kupelekwa na matukio hatuwezi kufahamu mengi.

Kama wengi wetu ambao tunajifanya wajanja humu ndani tungepata wasaa wa kusoma kesi zinazohusu mali za marehemu Mzee Reginald Mengi tungejifunza mengi kwasababu yamezungumzwa sana.
Upuuzi
 
Mahakama huzingatia mambo mengi sana, kazi za ndani zikiwemo (Domestic Work). Mfano, mali mlizochuma pamoja, mali zilozochumwa kabla ya ndoa, au mali ambazo alichuma mwanaume peke yake lakini mwanamke ametoa mchango katika kuziendeleza.

Hawawezi kugawa 50/50,hili hata Marekani halipo, ila watahakikisha mwanamke anaachwa kwenye nafasi nzuri ili aweze kuanza maisha mapya. Hapa pia watauliza kama mwanamke alikuwa anamhudumia vizuri mume wake kwenye kazi za ndani kama chakula, usafi na mengineyo.

Kama kuna umuhimu zaidi mahakama itaamua mwanamke apewe hadi pesa za kujikimu (Alimony) mpaka pale atakapoweza kusimama vizuri kwa miguu yake.

Mitandaoni kuna taarifa nyingi, lakini kwasababu hatupendi kusoma tunashinda Pornhub, Xvideos na kupelekwa na matukio hatuwezi kufahamu mengi.

Kama wengi wetu ambao tunajifanya wajanja humu ndani tungepata wasaa wa kusoma kesi zinazohusu mali za marehemu Mzee Reginald Mengi tungejifunza mengi kwasababu yamezungumzwa sana.
Hatukatai kwamba hivyo ndivyo mambo yalivyo sasa, ila tunajadili sasa ili huo upuuzi wa Alimony nk. ubadilike, kila mtu achukue mali yake, na aendeshe maisha yake. Hivi ni kwanini watu wameachana ila mwengine ageuzwe mfuko wa pensheni kwa kumlipa mwenzake alimony, why? Hii ni sheria ya kiuonevu na ni vyema ikarekebishwa.
 
Mahakama huzingatia mambo mengi sana, kazi za ndani zikiwemo (Domestic Work). Mfano, mali mlizochuma pamoja, mali zilozochumwa kabla ya ndoa, au mali ambazo alichuma mwanaume peke yake lakini mwanamke ametoa mchango katika kuziendeleza.

Hawawezi kugawa 50/50,hili hata Marekani halipo, ila watahakikisha mwanamke anaachwa kwenye nafasi nzuri ili aweze kuanza maisha mapya. Hapa pia watauliza kama mwanamke alikuwa anamhudumia vizuri mume wake kwenye kazi za ndani kama chakula, usafi na mengineyo.

Kama kuna umuhimu zaidi mahakama itaamua mwanamke apewe hadi pesa za kujikimu (Alimony) mpaka pale atakapoweza kusimama vizuri kwa miguu yake.

Mitandaoni kuna taarifa nyingi, lakini kwasababu hatupendi kusoma tunashinda Pornhub, Xvideos na kupelekwa na matukio hatuwezi kufahamu mengi.

Kama wengi wetu ambao tunajifanya wajanja humu ndani tungepata wasaa wa kusoma kesi zinazohusu mali za marehemu Mzee Reginald Mengi tungejifunza mengi kwasababu yamezungumzwa sana.
Kwa hiyo mwanaume ndio hatakiwi kuachwa kwenye nafasi nzuri?
 
Mkuu,acha kupindapinda for nothing...wanaoumia na sheria hizi ni ME,na ndio maana siku hizi ukitofautiana kidogo na mkeo atakwambia tugawane mali,na kwel mkienda mahakamani ngoma inapigwa pasu hata kama alikuta kila k2...kwa kifupi wanaume tunawindwa na sheria 24/7/365!
 
Mkuu,acha kupindapinda for nothing...wanaoumia na sheria hizi ni ME,na ndio maana siku hizi ukitofautiana kidogo na mkeo atakwambia tugawane mali,na kwel mkienda mahakamani ngoma inapigwa pasu hata kama alikuta kila k2...kwa kifupi wanaume tunawindwa na sheria 24/7/365!

Kweli kabisa
 
SHERIA YA PASU KWA PASU IFUTWE KWA HOJA ZIFUATAZO:

Anaandika, Robert Heriel

Kwa Dunia ya Haki Sawa hiyo sheria haijakaa vizuri Kabisa, Kwa Dunia hii yenye utapeli, dhulma, ubinafsi na Unyonyaji; sheria hiyo ipo haja ya kuipitia vinginevyo kizazi kijacho kitajikuta katika mazingira magumu sana.
Hiyo sheria haitendi HAKI Kwa namna moja ama nyingine, Kwa ufahamu wangu mdogo sheria zinatungwa ili kulinda Haki Fulani. Sheria inayotungwa kutetea HAKI ya MTU mmoja na kusigina Haki ya mtu mwingine sheria hiyo ni kandamizi.

Leo tujadili dhana au sheria ya pasu Kwa pasu katika kugawana Mali hasa Baada ya kuachana.

"Ooooh! Walichuma Mali pamoja" nini maana ya kuchuma Mali pamoja?
Hata mchume Mali pamoja au mfanye Jambo Kwa pamoja lazima kuna mmoja amefanya ziada, hiyo ipo popote pale katika uzalishaji.
Katika Kanuni za uzalishaji na malipo, anayezalisha zaidi ndiye anastahili kulipwa au kupewa zaidi. Hata kama wazalishaji mlikuwa wengi hiyo ni kanuni ya kiuchumi.

Kusema MKE na Mume ATI Kwa vile walizalisha Mali pamoja basi siku wakitengana wagawane Pasu Kwa Pasu ni uonevu na dhulma kubwa Kwa mmojawapo Kati Yao. Hiyo ni sheria kandamizi. Na ambayo inatakiwa ifanyiwe marekebisho yenye tija.

Sheria au dhana ya pasu Kwa pasu IFUTWE Kwa sababu zifuatazo;

1. Ni ukandamizaji, udhulumaji, na Unyonyaji.
Pasu Kwa Pasu kiaje? Tuache dhulma na ukandamizaji. Kama MKE alikuwa mzalishaji Mkuu apewe zaidi, kama mume alikuwa mzalishaji Mkuu apewe zaidi.
Huko ndiko tunakoenda bila Shaka.
Kama Ndoa inatalaka ni vizuri iwekwe sheria mapema yenye HAKI na sio sheria za upendeleo.
Kila MTU akinunua Mali yoyote anunue Kwa jina lake na aweke kumbukumbu, vielelezo au ushahidi.
Mke umenunua Jiko weka Risiti, umenunua nyumba au kiwanja weka Risiti
Siku mkigawana Mali mtendeane Kwa HAKI.

Sheria ya pasu Kwa pasu imeathiri na itaathiri zaidi kizazi hiki na kijacho kwani ni sheria yenye uonevu mkubwa Kwa moja ya wanandoa.
Mwanzoni MTU Kwa upofu WA mapenzi hataona tatizo, lakini kadiri migogoro ikianza kujitokeza ndipo ataona ameingia katika shimo Baya.

Ndoa iwe na mkataba kabisa wa maandishi unaoelezea makubaliano ya wanandoa kuanzia jinsi watakavyoishi, namna watakavyolea Watoto, Makosa ambayo hayatavumilika, namna watavyogawana Mali endapo wakitengana, Watoto wataishi kwa nani na kiwango cha Huduma cha kila mmoja wapo Kwa Watoto hao, majina ya Watoto yatoke upande gani" Hivyo yaani.

Mfano, Haiwezekani mtoto alelewe na Mama mwanzo mwisho alafu ATI maamuzi ya jina la mtoto yatoke Kwa Baba kisa alimzaa, huo ni UHUNI. Udhulumaji, ukandamizaji.
Mtoto akilelewa na Mama, majina yatoke kwenye Ukoo wa Mama, mfano. Hiyo ndio HAKI.
Kama Baba anataka Haki ya jina lake kuitwa Kwa mtoto basi alee mwanaye.

Uonevu, ukandamizaji, dhulma, Unyonyaji n.k ni mambo yakuangaliwa katika mahusiano ya ndoa.

2. Kuondoa Utegemezi na kuongeza uzalishaji katika Nchi.
Kila MTU akiwa mzalishaji katika familia, ni wazi kila MTU atachapa kazi ili kujihami na kujidhatiti kikamilifu. Ndani ya familia kila MTU atataka awe na mchango na achangie Mali kwani hizo ndizo zitagawanywa kama itatokea kuachana.
Mambo
Mambo ya Mario pamoja na kuvizia Mali za mwenza wako au kuachana Kwa Makusudi ili upate Mali zisizozako hayatakuwepo.

Kila mmoja atapambana, na hiyo ndio itaitwa Haki Sawa Kwa wote,
Sheria za kusema Mwanaume anaowajibu wa kuhudumia familia IFUTWE na isomeke kuwa Wanandoa, yaani Baba na Mama wanayohaki Sawa kuhudumia Familia katika kiwango Sawa.
Au isomeke kuwa, Wanandoa watatimiza majukumu na wajibu wao kulingana na Mkataba na makubaliano Yao waliosaini na kuandikishana Kabla ya Ndoa.

Pasiwe na mkataba wa Generally kama Ile mikataba ya Wakristo, unatakiwa uwe NI mkataba wa maandishi wenye kurasa za kutosha zitakazolinda Haki na Wajibu Wawili hao
Isomeke hivi;
Huu ni mkataba wa Ndoa baina ya Bw. James Dario na Bi. Alice Ndembo.
Mkataba huo upitiwe na wanasheria, usainiwe na wanasheria, kisha kama MTU atafunga ndoa hiyo Kanisani au msikitini au bomani au Mila kule anaenda kuchukua Cheti tuu.

Na sio ati Watu wasiohusika na ndoa yenu Kwa kile kiitwacho sijui Dini, sijui Serikali, au Mapokeo ya utamaduni ati wao ndio wawe na mchango mkubwa katika mkataba wenu.

Mkataba useme kabisa atakayetaka ndoa kuvunjika(atakayevunja mkataba) atawajibika Kwa kiwango gani?
Mfano atakayevunja ndoa Kwa namna yoyote atalipishwa Nusu ya Mali zake. Alafu mkataba ueleze ni mambo gani yatakayovunja ndoa hiyo.

4. Kupunguza hofu na woga Kwa Watu hasa vijana kuingia kwenye Ndoa.
Kuifuta sheria ya ajabu ambayo ni yauonevu, kuwa pasu Kwa pasu, kutachochea Vijana WA kizazi cha leo kuoa zaidi na kuiheshimu Ndoa.
Vijana wengi WA sasa wanaamini ndoa ni Utapeli, ukandamizaji Kwa wanaume, udhulumaji wa Haki zao.
Ninawafahamu baadhi ya Watu ambao hawataki kuoa Kwa sababu ya kuogopa migogoro hasa migogoro ya Mali Baada ya kutengana.

Na upo ushahidi WA kesi nyingi Mahakamani kuhusu migogoro ya kugawana Mali na mirathi.
Kama taifa kuna haja ya kuzipitia hizi Sheria upya ili kulijenga taifa hili.

Haiwezekani Pesa ya Mwanamke iwe ya Mwanamke, ahudumie kwao na wewe pia uhudumie kwao, tena uhudumie familia yako, alafu bado mkiachana atake mgawane Mali, huo ni UHUNI, Utapeli, dhulma kubwa, na ukandamizaji.
Kijana akifikiria hivyo hawezi kuwa na sababu ya kuoa ikiwa Hana uhakika mzuri wa matokeo/hatma yake.

5. Mali itakayogawanywa pasu Kwa pasu iwe Ile iliyonunuliwa na kuchangiwa na kila mmoja pasu Kwa pasu.
Mfano, Mlinunua nyumba Milioni 20, kila mmoja akatoa Milioni 10, basi Mali hiyo ni Hali yenu kugawana Nusu Kwa Nusu.

Masuala ya kusema nilitoa mawazo sijui nilishauri hapo hayapo, kama ushauri ungekuwa na nguvu basi kila familia ingekuwa na nyumba na hayo magari. Kushauri ndio kitu gani bhana!
Kama nyumba imenunuliwa milioni Ishirini, alafu Mume akatoa Milioni 6 alafu MKE akatoa milioni 14 basi kama siku mkiachana Nyumba ikauzwa labda milioni 18. Basi MKE atachukua 74% ya mauzo huku Mume akichukua 26% ya mapato.
Hiyo ndio inaitwa Haki.
Hapo hajaonewa yeyote.

Tuelewe kuwa Mapenzi na upendo haviongozwi na sheria Ila ndoa lazima iongozwe na Sheria, Kanuni, na taratibu.
Hii ni Kwa sababu ndoa ni taasisi, haiongozwi Kwa hisia Bali Akili, na Akili lazima iwekewe sheria, Kanuni, na utaratibu.

Ni Yule Mtibeli

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Sheria kama hiyo haipo
 
Sheria za mambo ya ndoa zipo wazi na ni nzuri..... isipokuwa mahakama zetu linapokuja Suala la ndoa mahakimu wanatoa hukumu Kwa hisia badala ya uhalisia Kwa kuwa always mwanamke anapenda ku play victim na mahakama inaingia kwenye mtego huo......

Hatari Sana.
 
Nchi zenye akili washatekeleza huo ushauri.

Prenuptial Agreement muhimu sana.

Kenya: Using Prenuptial Agreements For Wealth Protection

The position under the Matrimonial Property Act of Kenya (the Act) is that when a marriage is dissolved, the matrimonial home, household effects and assets jointly owned and acquired during the marriage are considered as "matrimonial property" which is to be divided between the divorcing parties based on the contribution of each party towards the acquisition of the asset.
 
Sheria za mambo ya ndoa zipo wazi na ni nzuri..... isipokuwa mahakama zetu linapokuja Suala la ndoa mahakimu wanatoa hukumu Kwa hisia badala ya uhalisia Kwa kuwa always mwanamke anapenda ku play victim na mahakama inaingia kwenye mtego huo......

Mwanamke sehemu yeyote akienda hata kama yeye ndiyo mwenye makosa ataonewa huruma si dawati la jinsia ,si mahakamani ,si bakwata si kwa paroko.
 
Mimi Sina Mali ya Mr and Mrs Bali Nina Mali yangu,nyumba isiguswe Kwa nini? Na inakuwa ya umiliki wa pamoja kiaje?
Kama ni nyumba mnayoishi wanandoa huwezi kuigusa bila idhini ya mkeo kwa kuuza, ku rentisha, kugawa, kuchukulia mkopo, kurithisha, wala kuandika eti ukifa uzikwe mlango wa mbele.

CAP 29
Part IV
Sect 59
Sub-sect 1

Where any estate or interest in the matrimonial home is owned by the husband or the wife, he or she shall not, while the marriage subsists and without the consent of the other spouse, alienate it by way of sale, gift, lease, mortgage or otherwise
 
Back
Top Bottom