Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inabagua watumishi wa umma na ambao sio watumishi wa umma

Sheria ya Tume Huru ya Uchaguzi inabagua watumishi wa umma na ambao sio watumishi wa umma

Nchi hii kuitoa ccm madarakani sikwamijadala ya wabunge bungeni wala sikwa maridhiano ya kisiasa
We have to thin out of the box
 
Yaan mtawala atoe nafasi aliyonayo ya kuchagua refa then aachie refa mwingine asiyemmudu kweli. Acha utani, utamu wa Madara uujui wewe

..tume huru tunazotamani toka kwa wenzetu ziliundwa na watawala.

..kwa hiyo hata hapa kwetu tunapaswa kuwahimiza watawala waonekane na mfumo mbovu wa uchaguzi, na kuunda tume huru.

..tubadilishe mitizamo yetu kwamba madaraka hayawezi kupatikana bila kutumia njia za hila,dhuluma, ukatili, na mauaji.

..tukiwa na mitizamo kwamba watawala wetu hawawezi kujizuia kuiba uchaguzi, kufisadi mali za umma, kuteka na kuua wapinzani, tusishangae watawala wetu nao wakienenda hivyohivyo.

Cc econonist
 
Kwamaana hiyo Watendaji wa Kata na Mitaa wataendelea kuwa na sifa ya kusimamia chaguzi kwadababu ni Watumishi wa umma!
Hapa wamo walimu wa shule za umma, bwanashamba na watendaji.
 
Hao watu waadilifu na weredi walioko nje mfumo Ndo hawatakiwi kusimamia wataleta uadilifu wao kuwatoa watawala
Tz tuko zaidi ya 60, je watumishi wa umma wako wangapi kwa idadi na asilimia hadi wao TU ndio wawe wanafaa kwa kazi hiyo? Hakuna sheria kama hiyo ambayo haitapingwa mahakamani. Inafahamika kuwa watendaji wa umma wote wako chini ya mkurugenzi wa wilaya, waziri na Rais.
 
Ziko sifa nyingine ambazo hazibagui
 
Ziko sifa nyingine ambazo hazibagui watu wengi sana. Mfano unaweza kuweka vigezo vya elimu na uadilifu TU.
 
Ziko sifa nyingine ambazo hazibagui watu wengi sana. Mfano unaweza kuweka vigezo vya elimu na uadilifu TU.
 
Kwa box la kura tu CCM haiwezi toka madarakani, Watanzania bila kutumia mbadala tutaendelea kuumia chini ya CCM
 
Hivi hili swala la uchaguzi linavyofanywa kua gumu hivi ni kwa nchi zote duniani au ni Tz peke yake?.Kwasababu mbona ni jambo dogo sana ambalo wala haliitaji nguvu nyingi.nguvu zinakua nyingi kwasababu waliopo madarakan hawana uhakika wakuendelea kuwepo.Yaani pamoja nakujitapa nakujusifia wamefanya mambo makubwa ila bado hawajiamini kua wananchi wako upande wao.Tatizo ni woga wa hao wakubwa wala sio taratibu za nani asimamie na nani asisimamie.
 
Bunge limepitisha mswada uliopelekwa bungeni na serikali kufanya mabadiliko ya katiba kwenye kipengele cha tume ya uchanguzi.

Sasa kwa sheria mpya iliyopitishwa na bunge wakurugenzi wa wilaya na mamea wataacha kuwa wasimamizi wa uchaguzi moja kwa moja kutokana na nafasi zao wilayani. Badala yake wasimamizi wa uchaguzi watatokana na watumishi wa umma; yaani walioajiliwa na serikali inayotawala na inayowalipa mishahara Yao na kuwapandisha vyeo (wako kwenye kanzidata ya serikali na payroll yao) tu.

Kama sheria inabagua raia wake kati ya watumishi wa umma na wasio watumishi wa umma sheria hiyo ni batiri, inatakiwa kuangaliwa upya. Watumishi wa umma ni kundi dogo sana dhidi ya kundi kubwa la wasiokuwa watumishi wa umma. Na Kuna watu wengi wenye sifa za kuwa watumishi wa umma lakini hawakupata nafasi ya kupata ajira kwenye utumishi wa umma. Na Kuna watu waadilifu na weledi walioko nje ya utumishi wa umma ambao wangeweza kufanya kazi kwenye tume ya uchanguzi vizuri sana kuliko walioko kwenye utumishi wa umma.

Sheria hii itizamwe upya.
Ubaguzi unatoka wapi hapa? Kila kazi ina vigezo na masharti. Vigezo sio ubaguzi ni utaratibu tu.
 
Bunge limepitisha mswada uliopelekwa bungeni na serikali kufanya mabadiliko ya katiba kwenye kipengele cha tume ya uchanguzi.

Sasa kwa sheria mpya iliyopitishwa na bunge wakurugenzi wa wilaya na mamea wataacha kuwa wasimamizi wa uchaguzi moja kwa moja kutokana na nafasi zao wilayani. Badala yake wasimamizi wa uchaguzi watatokana na watumishi wa umma; yaani walioajiliwa na serikali inayotawala na inayowalipa mishahara Yao na kuwapandisha vyeo (wako kwenye kanzidata ya serikali na payroll yao) tu.

Kama sheria inabagua raia wake kati ya watumishi wa umma na wasio watumishi wa umma sheria hiyo ni batiri, inatakiwa kuangaliwa upya. Watumishi wa umma ni kundi dogo sana dhidi ya kundi kubwa la wasiokuwa watumishi wa umma. Na Kuna watu wengi wenye sifa za kuwa watumishi wa umma lakini hawakupata nafasi ya kupata ajira kwenye utumishi wa umma. Na Kuna watu waadilifu na weledi walioko nje ya utumishi wa umma ambao wangeweza kufanya kazi kwenye tume ya uchanguzi vizuri sana kuliko walioko kwenye utumishi wa umma.

Sheria Nadhani ni vigezo tu

Bunge limepitisha mswada uliopelekwa bungeni na serikali kufanya mabadiliko ya katiba kwenye kipengele cha tume ya uchanguzi.

Sasa kwa sheria mpya iliyopitishwa na bunge wakurugenzi wa wilaya na mamea wataacha kuwa wasimamizi wa uchaguzi moja kwa moja kutokana na nafasi zao wilayani. Badala yake wasimamizi wa uchaguzi watatokana na watumishi wa umma; yaani walioajiliwa na serikali inayotawala na inayowalipa mishahara Yao na kuwapandisha vyeo (wako kwenye kanzidata ya serikali na payroll yao) tu.

Kama sheria inabagua raia wake kati ya watumishi wa umma na wasio watumishi wa umma sheria hiyo ni batiri, inatakiwa kuangaliwa upya. Watumishi wa umma ni kundi dogo sana dhidi ya kundi kubwa la wasiokuwa watumishi wa umma. Na Kuna watu wengi wenye sifa za kuwa watumishi wa umma lakini hawakupata nafasi ya kupata ajira kwenye utumishi wa umma. Na Kuna watu waadilifu na weledi walioko nje ya utumishi wa umma ambao wangeweza kufanya kazi kwenye tume ya uchanguzi vizuri sana kuliko walioko kwenye utumishi wa umma.

Sheria hii itizamwe upya.
Ni vigezo tu na masharti
 
Kwa box la kura tu CCM haiwezi toka madarakani, Watanzania bila kutumia mbadala tutaendelea kuumia chini ya CCM

Haya ndio mawazo Mgando.

Nchi haiwezi kuwekwa kwenye mikono ya watu wasiowaadilifu. Na Uchaguzi ni mchakato ambao km tukikosea kwa kuangalia mihemko ya watu pasi na kuangalia ustawi wa nchi, basi tutatetereka sanaaa.
Tufanye maamuzi sahihi kwenye box sio midomoni tu
 
Bunge limepitisha mswada uliopelekwa bungeni na serikali kufanya mabadiliko ya katiba kwenye kipengele cha tume ya uchanguzi.

Sasa kwa sheria mpya iliyopitishwa na bunge wakurugenzi wa wilaya na mamea wataacha kuwa wasimamizi wa uchaguzi moja kwa moja kutokana na nafasi zao wilayani. Badala yake wasimamizi wa uchaguzi watatokana na watumishi wa umma; yaani walioajiliwa na serikali inayotawala na inayowalipa mishahara Yao na kuwapandisha vyeo (wako kwenye kanzidata ya serikali na payroll yao) tu.

Kama sheria inabagua raia wake kati ya watumishi wa umma na wasio watumishi wa umma sheria hiyo ni batiri, inatakiwa kuangaliwa upya. Watumishi wa umma ni kundi dogo sana dhidi ya kundi kubwa la wasiokuwa watumishi wa umma. Na Kuna watu wengi wenye sifa za kuwa watumishi wa umma lakini hawakupata nafasi ya kupata ajira kwenye utumishi wa umma. Na Kuna watu waadilifu na weledi walioko nje ya utumishi wa umma ambao wangeweza kufanya kazi kwenye tume ya uchanguzi vizuri sana kuliko walioko kwenye utumishi wa umma.

Sheria hii itizamwe upya.
Demokrasia ni mfumo wa utawala ambao kila siku kuna mtu analalamika kuhusu kitu flan, ukimfurahisha huyu mwingine analalamika.
 
Kwa box la kura tu CCM haiwezi toka madarakani, Watanzania bila kutumia mbadala tutaendelea kuumia chini ya CCMi
Nadhani iko siku janjajanja hizi zitawafilkisha watanzania kwenye mbinu mpya za kulalamikia mambo ya kisiasa na kisheria na kihaki. Ingawa siku hizo haziko karibu kwetu, lakini haziko mbali sana, Siku utakayooana bandari kuna wageni wengi, ardhi ya kilimo na kufugia imepungua sana, maegesho ya bodaboda mijini yamejaa, wamachinga wanaondolewa sehemu za kiholela wanazofanyia biashara, sehemu za wazi wanazofanyiabiashara zimepungua au zimejaa sana, na kila mfanyabiashara anatoa kodi halali bila kukwepa, basi ujue siku hiyo imekaribia kama sio kufika kabisa. Sasa hivi maegesho ya bodaboda na taxi bado yapo mengi, watu wanashiba bado hivyo usijusumbue kuitisha maandamano hawaji na hawakuelewi.

Kama siku hiyo ikifika hata mwendawazimu akisema tuandamane kupinga hiki na kila watu wanamuelewa kwa haraka sana.
 
Hivi hili swala la uchaguzi linavyofanywa kua gumu hivi ni kwa nchi zote duniani au ni Tz peke yake?.Kwasababu mbona ni jambo dogo sana ambalo wala haliitaji nguvu nyingi.nguvu zinakua nyingi kwasababu waliopo madarakan hawana uhakika wakuendelea kuwepo.Yaani pamoja nakujitapa nakujusifia wamefanya mambo makubwa ila bado hawajiamini kua wananchi wako upande wao.Tatizo ni woga wa hao wakubwa wala sio taratibu za nani asimamie na nani asisimamie.
watu wanatabia ya kukichoka kitu hata kama kitu hicho ni kizuri na kitamu namna gani. Lakini kuna kundi halitaki kuikubali kanuni hiyo ya msingi ya maumbile ya mwanadamu. Hata mkeo mzuri saana kuna siku unaweza kumzaba kibao.
 
Haya ndio mawazo Mgando.

Nchi haiwezi kuwekwa kwenye mikono ya watu wasiowaadilifu. Na Uchaguzi ni mchakato ambao km tukikosea kwa kuangalia mihemko ya watu pasi na kuangalia ustawi wa nchi, basi tutatetereka sanaaa.
Tufanye maamuzi sahihi kwenye box sio midomoni tu
Wananchi wanachokitaka sio mihemko, bali wanataka kila kura iliyotumbukizwa kwenye box na mpiga kura ihesabiwe kama ilivyopigwa, na isiwepo kura inayoongezwa wala kupunguzwa kwenye box la kura na matokeo yatangazwe kama kura zilivyopigwa. Hiki ndicho tunachokitafuta bila kujali chama gani kimeongoza kwa miaka mingapi au ni kikubwa kiasi gani.
 
Demokrasia ni mfumo wa utawala ambao kila siku kuna mtu analalamika kuhusu kitu flan, ukimfurahisha huyu mwingine analalamika.
ndio maana ya wengi wape na wachache wasikilizwe. Shida yetu iko kwenye kutambua wengi ni nani na wachache ni nani. Chaguzi zetu zinafisha wengi wanataka nini na wachache wanataka nini pia.
 
Back
Top Bottom