Chuchu saa sita mbona wapo wengi mtaani tena sio wanafunzi basi komaa nao,tatizo mnapenda msererreko unajua ukimtongoza mwanafunzi hana gharama kwa kuwa anakula kwao kwa hiyo kazi yako ni kuchomeka limtarimbo lako na kumpoza na elfu tano,kumbuka akipata mimba umeshamuharibia future yake,mi naona hiyo miaka 30 haitoshi inatakiwa angalau adhabu ya kunyongwa.NAONGEA KAMA MZAZI MWENYE UCHUNGU NA WANANGU,ila wewe uliyeleta hii hoja unaongea kama kibaka anayetafuta unafuu wa malipo ya ushenzi wake