Rudi nyuma uone kuwa Aquilina Aquilin alipigwa risasi kwa nini? Wale waliokuwa wanaandamana walikuwa wanaandamana kwa sababu gani? Je hujuma ile yaweza kurudiwa tena na Wakurugenzi? Utapata majawabu.Usiseme wa Tanzania sema wewe dada yako na mume wa dada yako
Unatia hurumaPigeni kelele ila jikoni kwa mpishi aingii mtu.
Kelele nyiingi kumbe hata nauli hamna!!
Tangia lini mti nyama ukaonea huruma mbunye?Unatia huruma
Kwani yeye, dada yake, mume wa dada yake sio watanzaniaUsiseme wa Tanzania sema wewe dada yako na mume wa dada yako
Wacongo wanahusikaje na uchaguzi wa Tanzania? Hangaikia mumeo na ndg zako achana na wacongoWacongo