talentboy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 2,104
- 2,073
1)Talaka Moja, ni talaka rejea
2) Talaka ya Pili, talaka rejea
3) Talaka ya Tatu, hauwezi kumrudia mkeo tena,na kama utataka kurejea ni lazima kwanza aolewe na mwanaume mwengine aachike ndio unaweza kumuoa tena...na itabidi uanze utaratibu upya kama ule wa mwanzo wakati unataka kuoa kwa mara ya kwanza.
NB: Hizo talaka rejea inabidi umrejee kabla ya kipindi cha eda hakijamalizika,kama kikiisha na haujamrudia inabidi ukaoe tena.
- Hakuna talaka tatu kwa mpigo,hata ukisema umemuacha mkeo talaka 3 basi kisheria inahesabika ni moja tu na unaweza kumrejea.
-Katika uislamu talaka si lazima iandikwe ndo iwe halali ila hata ukitamka tu japo kwa masikhara basi inahesabika kuwa umemuacha mkeo...Talaka ni katika jambo ambalo halina mzaha,yaani ukweli wake ni talaka na hata kama unatania bado itahesabika ni talaka eg ukasema "mke wangu nimekuacha" but hukumaanisha lbd ulikuwa unamfanyia mzaha tu basi kisheria tyr umeshamuacha kweli..so uchunge sana ulimi wako ktk hili.
-Talaka tatu ndo hatua ya mwisho na ndo hapo ndoa imevunjika na haiwezi kutengamaa tena isipokuwa kwa utaratibu maalum kama niliouleza hapo juu.
2) Talaka ya Pili, talaka rejea
3) Talaka ya Tatu, hauwezi kumrudia mkeo tena,na kama utataka kurejea ni lazima kwanza aolewe na mwanaume mwengine aachike ndio unaweza kumuoa tena...na itabidi uanze utaratibu upya kama ule wa mwanzo wakati unataka kuoa kwa mara ya kwanza.
NB: Hizo talaka rejea inabidi umrejee kabla ya kipindi cha eda hakijamalizika,kama kikiisha na haujamrudia inabidi ukaoe tena.
- Hakuna talaka tatu kwa mpigo,hata ukisema umemuacha mkeo talaka 3 basi kisheria inahesabika ni moja tu na unaweza kumrejea.
-Katika uislamu talaka si lazima iandikwe ndo iwe halali ila hata ukitamka tu japo kwa masikhara basi inahesabika kuwa umemuacha mkeo...Talaka ni katika jambo ambalo halina mzaha,yaani ukweli wake ni talaka na hata kama unatania bado itahesabika ni talaka eg ukasema "mke wangu nimekuacha" but hukumaanisha lbd ulikuwa unamfanyia mzaha tu basi kisheria tyr umeshamuacha kweli..so uchunge sana ulimi wako ktk hili.
-Talaka tatu ndo hatua ya mwisho na ndo hapo ndoa imevunjika na haiwezi kutengamaa tena isipokuwa kwa utaratibu maalum kama niliouleza hapo juu.