Sheria za Tanzania kuhusu ndoa zibadilishwe kulingana na mabadiliko ya Utamaduni na jamii

Sheria za Tanzania kuhusu ndoa zibadilishwe kulingana na mabadiliko ya Utamaduni na jamii

RedPill Prophet

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2023
Posts
1,408
Reaction score
3,564
Sheria za Tanzania kuhusu ndoa kuwa Mwanaume anatakiwa kulea na kuitunza familia peke yake bila pesa za mkewe kutumika inatakiwa ibadilishwe kutokana na mabadiliko ya kijamii kwa sasa maana kipindi kile mwanaume ndo alikuwa sole provider wa familia ila kutokana na mapinduzi ya kijamii ambao imewafanya wanawake wako financially independent na hivyo wanaweza tengeneza pesa aidha kupitia ajira za Serikalini au ujasiriamali, hivyo wanapata income kupitia source mbalimbali pia. Kwanini pesa zao zisitumike pamoja kuinua familia na kujikwamua kwenye dimbwi kubwa la umaskini?

Na hizo pesa wanazopata wanazitumia wapi? Unakuta badala yake wanaspend vibaya kwa vitu visivyofaa na mwisho wanapata viburi ikitokea wamemzidi mwanaume Kwa kipato then ndoa inavunjika halafu wanataka 50/50 wakati hakuwahi toa hata income yake kuwalipia ada watoto wake mwenyewe, Je hii ni sahihi?

Nawasilisha

Sheria hii iangaliwe tena imepitwa na wakati
 
Mbona tayari hiyo sheria imejifia kifo cha mende? Imebaki ifutwe tu na itungwe nyingine. Wanawake wenyewe mtindo wa maisha bila mume wanaupenda, wanapenda kuzaa na kupata watoto ila hawataki kuishi na mwanaume wakidai wanabanwa na wanataka uhuru. Ndio maana kuna wanawake wanaishi wao na watoto wao tu bila baba wanaitwa single mother. Hawa masingo maza wanazaa na wapenzi wao wanaowapenda wenyewe ili tu wapate ujauzito na hatimaye kujifungua watoto na kulea wenyewe bila baba kwa kuwa uwezo wa kifedha kutunza hao watoto wanao
 
Mbona tayari hiyo sheria imejifia kifo cha mende? Imebaki ifutwe tu na itungwe nyingine. Wanawake wenyewe mtindo wa maisha bila mume wanaupenda, wanapenda kuzaa na kupata watoto ila hawataki kuishi na mwanaume wakidai wanabanwa na wanataka uhuru. Ndio maana kuna wanawake wanaishi wao na watoto wao tu bila baba wanaitwa single mother. Hawa masingo maza wanazaa na wapenzi wao wanaowapenda wenyewe ili tu wapate ujauzito na hatimaye kujifungua watoto na kulea wenyewe bila baba kwa kuwa uwezo wa kifedha kutunza hao watoto wanao
Kabisa imepitwa na wakati, Serikali waliangalie hili.
 
Acha wivu kuwa mwanamke ka una ona tunafaidi
 
Acha wivu kuwa mwanamke ka una ona tunafaidi
Sio wivu, ni ukweli na uhalisia, ndo maana katiba mpya inatakiwa kwa kuwa katiba ya Sasa haina meno.
Ndivyo ilivyo sheria hii ya Sasa haliwezi zuia wimbi la hatari linalokuja baadaye kwenye suala la ndoa, kama unataka ibaki hivyohivyo kwanini mnakubali kufanya kazi Serikalini na muda mwingine unapangwa mkoa mwingine mbali na mumeo, unaliwa kimasihara unakuja kuandika Uzi wa kushauriwa eti ufanyeje.
 
Sheria za Tanzania kuhusu ndoa kuwa Mwanaume anatakiwa kulea na kuitunza familia peke yake bila pesa za mkewe kutumika inatakiwa ibadilishwe kutokana na mabadiliko ya kijamii kwa sasa maana kipindi kile mwanaume ndo alikuwa sole provider wa familia ila kutokana na mapinduzi ya kijamii ambao imewafanya wanawake wako financially independent na hivyo wanaweza tengeneza pesa aidha kupitia ajira za Serikalini au ujasiriamali, hivyo wanapata income kupitia source mbalimbali pia. Kwanini pesa zao zisitumike pamoja kuinua familia na kujikwamua kwenye dimbwi kubwa la umaskini?

Na hizo pesa wanazopata wanazitumia wapi? Unakuta badala yake wanaspend vibaya kwa vitu visivyofaa na mwisho wanapata viburi ikitokea wamemzidi mwanaume Kwa kipato then ndoa inavunjika halafu wanataka 50/50 wakati hakuwahi toa hata income yake kuwalipia ada watoto wake mwenyewe, Je hii ni sahihi?

Nawasilisha

Sheria hii iangaliwe tena imepitwa na wakati
Tunapopigana na vita ya mashoga hatupiganii kile kitendo tu cha watu kuinamishana nk, tunapinga tabia zisizo za kiume kwa wanaume, mojawapo ni hiyo ya kutaka kusaidiwa majukumu na mwanamke.

Unapoanza kusaidiwa majukumu na mwanamke ujue unatengeneza udhaifu utaokuja kukulipua mwenyewe sio muda mrefu. Mwanaume ndio mlishaji wa familia, ni uzembe kuomba mwanamke asaidie. Tukirekebisha sheria tutakuwa tunaleta ugumu kwenye vita ya ushoga, tutatengeneza kizazi legelege cha kiume.

Unataka mkeo achangie pato la familia mfungulie shamba au duka, hapo atakuzalishia fedha, na itakuwa ni yenu wote.
 
Ni kweli kabisa ila maana yangu ni kwamba kama mwanamke ameamua kufanya kazi basi mapato yake yaletwe na hii haimaanishi mwanaume alelewe , no! Mwanaume aendelee na mapambano ila pia pesa ya mwanamke ijulikane matumizi yake haiwezekani eti kisa pesa ya mwanamke hutakiwi kuishika Wala kushauri matumizi ya pesa hiyo.
Imagine unampa hela za kujiremba, kununua nguo na Kila kitu alaf baadae anasema changu changu , chako chawote kama yule askari alivyosema . Kutokana na mabadiliko haya mwanaume anaumia then ikitokea mwanamke kamzidi kidogo akili ya maendeleo, kitakachotokea wote mnakijua.
Tunapopigana na vita ya mashoga hatupiganii kile kitendo tu cha watu kuinamishana nk, tunapinga tabia zisizo za kiume kwa wanaume, mojawapo ni hiyo ya kutaka kusaidiwa majukumu na mwanamke.

Unapoanza kusaidiwa majukumu na mwanamke ujue unatengeneza udhaifu utaokuja kukulipua mwenyewe sio muda mrefu. Mwanaume ndio mlishaji wa familia, ni uzembe kuomba mwanamke asaidie. Tukirekebisha sheria tutakuwa tunaleta ugumu kwenye vita ya ushoga, tutatengeneza kizazi legelege cha kiume.

Unataka mkeo achangie pato la familia mfungulie shamba au duka, hapo atakuzalishia fedha, na itakuwa ni yenu wote.
 
Back
Top Bottom