Shetani ana uwezo mkubwa sana

Shetani ana uwezo mkubwa sana

Unazijua mbinu za Shetani kijana??
Shetani akikuambia kitu usimwamini ni uongo

Quote
“Ndani yake ( rohoni mwake) Hapana ukweli “ Bible!


Kwa hivyo wakati shetani anamwambia yesu kwamba miliki zote za ulimwengu ni zake he was lying!!

In fact alikua anaongea kwa mmiliki halisi hahahaa!

Ndiyo Shetani ni mjanja kama wanawake tuu na kusema hivyo AMEJIMILIKISHA

Kumbuka kujimilikisha siyo kumiliki bali kujifanya wewe mmiliki

Yani utengeneze milki wewe halafu umwachie mwingine, mwanadamu hawezi kufanya hivyo Vipi Mungu”!

Na bible inapoandika kwa kumnakili Shetani haimanishi anachokisema Shetani ni kweli

Kwa iyo Shetani siyo mmiliki na hajawahi kumiliki ulimwengu huu tangu mwanzo na hata siku ile anajaribu Kumdanganya yesu hakuwa mmiliki!

Mungu ni bepari mmoja mzuri tu ambaye hawezi kugawa mali zake at any cost!

Mungu ni Capitalist tena wa ngazi ya Imperialist kabisa

Halafu usije dhani Mungu Siyo mjanja kwamba ujanja anao ibilisi/ Shetani tuu hahahaa

Mungu Mjanja hata Shetani hafui dafu!

Ukitaka kujua Mungu ni Mjanja Angalia alivyokua anawashauri Waisrael wapigane vita—- Full Mbinu na walikua wanashinda!

Mungu ni mjanja na kisasa tunasema “ Mtoto wa Mjini “ huwezi Mwingiza Kingi hata kidogo!
Mungu anaujua Uongo sema hawezi Sema Uongo yeye husema Ukweli daima——
Aseme Uongo ili iweje wakati yeye ni mtawala na mmiliki na ndiyo top!!

Shetani Anaujua ukweli lakini daima hawezi toa neno lenye ukweli kinywani mwake!!

Mungu ndiye aliyeweka foundation ya Natural laws zote unazozijua hadi zile psychological Laws!

Na in the end!
Huwezi mdanganya Mungu

Bible imerekodi maandishi ambayo ni Mawazo ya Mtu/ Watu hata kabla hawajayasema au kuyatekeleza

Utakuta maneno kama haya

1. “Akasema moyoni mwake”
2. “ Akawaza”
Nk

Hata Shetani ameandikiwa alikua mwema hadi siku ile uovu ulipoingia moyoni mwake !

Shetani akasema moyoni mwake “Nitapanda hadi mlima wa Mungu “

Ebu imajini mawazo ya Mtu/ kiumbe yanawekwa wazi katika maandishi!!!

Kwa hiyo Shetani hajawin hii vita na yupo restless sana now hadi imeandikwa state yake sasa hivi “ anazunguka huku na huko “

Mtu anayezunguka huku na huko akitafuta mtu ammeze means yupo Anahangaika!!

Simply jamaa yupo Vitani and anatafuta watu awameze kwa njia zote zaidi ikiwa Uongo na Kuwafanganyia watu Mali!

Jamaa ukila chake lazima ulipie hana free lunch

Lakini ebu tazama vya Mungu tunavyovitumia Bila malipo hadi raha!
I see Sawa. Kwanza naomba nikufahamishe kwamba mimi sio kijana, umri umeanza kunitupa mkono.

Pili, umejibu tu hoja moja ya umiliki...
Labda kama unaweza kujadili tuijadili hiyo.. Unaposema mmiliki maana yake nini?
 
Mbaya zaidi tunachimbwa mkwara kwmba tukimfuata tutaishia jehannama .
Najiuliza mgogoro wa shetani na mungu unamhusu vipi mwanadamu ???
Mbona shetani hajaandika vitabu vya kumshutumu mungu Kama mungu anavyoandika vitabu vinavyomshutumu shetani ??
Inashangaza!
 
Hapa ndo weusi mnaingia chaka mbaya! mpaka basiiii!...sasaaa jesus yupi?? maana najua hao ma-jesus wako wengi??? Africans wengi kwa miaka mingi mnaabudu msicho kijua kabisaaa!! haya siyo mananeno yangu! bali hii ni laana ya Musa!!

alitamka wazi bila kificho ktk hotuba yake ya kwanza kabla ya kuingia nchi ya ahadi!...,,na kweli ndo km haya ya jesus wenu huyo!!
WHITE JESUS! WILL NEVER COME, DON'T DECEIVE YOURSELF! Mtasubiri sana ubungo stand!! sijui uwanja wa ndege KIA! hata hamueleweki!! lkn hata haji ng'oo!
Sawa.Ila afadhali niamini yupo halafu nisimkute,kuliko kuamini hayupo halafu nimkute,that is common sense.Afterall I do not loose anything.
 
Hapa ndo weusi mnaingia chaka mbaya! mpaka basiiii!...sasaaa jesus yupi?? maana najua hao ma-jesus wako wengi??? Africans wengi kwa miaka mingi mnaabudu msicho kijua kabisaaa!! haya siyo mananeno yangu! bali hii ni laana ya Musa!!

alitamka wazi bila kificho ktk hotuba yake ya kwanza kabla ya kuingia nchi ya ahadi!...,,na kweli ndo km haya ya jesus wenu huyo!!
WHITE JESUS! WILL NEVER COME, DON'T DECEIVE YOURSELF! Mtasubiri sana ubungo stand!! sijui uwanja wa ndege KIA! hata hamueleweki!! lkn hata haji ng'oo!
Afadhali niamini yupo halafu nisimkute,kuliko kuamini hayupo halafu nimkute,that is common sense.Afterall I do not loose anything.
 
There is no absolute freedom anywhere.Kama hapa duniani unaadhibiwa kwa makosa ufanyayo,Mbinguni ni hivyo hivyo.Mbona duniani unaamini uko huru.Fikra zako zimepofushwa na Shetani ili umchukie Mungu.

The truth hata hivyo remains that una choice,you either choose God or Satan,and if you choose Satan you have choosen hell because Satan's place is hell.How do you choose the ways of Satan and go to Heaven?Heaven if for righteous people only!So choose today,Satan or God.


I'm talking about the "eternal hell" you pointed out, the one which will overtake the wrongdoers ---according to you, it will be eternal hell, as you said earlier that Our God is not a dictator (I agree with you on that), then how comes that the wrongdoers will be punished in the eternal hell for the wrongs they did in just a comparatively short time, the time they lived on earth??--- is this a justice to be punished eternally??!!
 
I'm talking about the "eternal hell" you pointed out, the one which will overtake the wrongdoers ---according to you, it will be eternal hell, as you said earlier that Our God is not a dictator (I agree with you on that), then how comes that the wrongdoers will be punished in the eternal hell for the wrongs they did in just a comparatively short time, the time they lived on earth??--- is this a justice to be punished eternally??!!
Mokaze nimesema hivii,if you choose Satan, you have choosen hell because Satan's place is hell.How do you choose the ways of Satan and expect to go to Heaven,that is impossible.Upo msemo usemao "ukipenda ua penda na boga lake pia." Umempenda Shetani na njia zake,penda pia hell.

Halafu niku-kumbushe kwamba Heaven is for righteous people only!Wewe kama sio mtakatifu huwezi kuingia mbinguni.So choose Satan and go to hell or choose God and go to Heaven,hakuna midpoint.
 
Afadhali niamini yupo halafu nisimkute,kuliko kuamini hayupo halafu nimkute,that is common sense.Afterall I do not loose anything.
Vitabu vya dini vimesema Mungu hapendi kamari
 
Sawa.Ila afadhali niamini yupo halafu nisimkute,kuliko kuamini hayupo halafu nimkute,that is common sense.Afterall I do not loose anything.
Uamini yupo, Mungu gani?

Vipi kama unayemuamini yupo hayupo, na siku ya mwisho ukakutana na Mungu mwingine ambaye uliaminishwa kuwa ni Mungu wa kipagani (potofu). Utafanyaje?
 
Mleta mada shetani pia ni mtoto wa Mungu!!! kwanza mwenzenu aliishi mbinguni hakuna wa kumtisha!! mitaa yote anaijua kule!!! anapiga story na Mungu tu km ivi! si unakumbuka pale Bustanini waliongea?? sasa leo nani anapiga story na Mungu?

Mungu ni Mungu tu ana yake kichwani anaweza pitish msamaha wa jumla na bado shetani akapeta milele tu! si mwanae???!....mbona sasa hamuangamizi? unaju kwa nini........ni mwanae kamuumba kwa gharama kubwa sana!
Eti, kamuumba kwa gharama kubwa sana.
 
Imeandikwa, mawazo na akili za mwanadamu aziwezi fananishwa na za Mungu.
Umelaaniwa wewe.
Hata mawazo yako na akili hatuwezi kukufananisha na Einstein, lakini utofauti huo hauleti muujiza wowote wa kufanya einsten aonekane Mungu
 
Uamini yupo, Mungu gani?

Vipi kama unayemuamini yupo hayupo, na siku ya mwisho ukakutana na Mungu mwingine ambaye uliaminishwa kuwa ni Mungu wa kipagani (potofu). Utafanyaje?
Tusubiri kama Mungu wa kipagani yupo,time will tell,hakuna haja ya kuandikia mate.Fikra zako zimepofushwa kabisa na Shetani,nakufananisha na Ng'ombe wa kuchinjwa tu.Pole sana.

Hivi seriously you believe the Universe and the forces that puts it together and all that is in it,is a game of chance hakuna a super intelligent organizer? I will be very stupid and probably a loon to believe that.
 
Tusubiri kama Mungu wa kipagani yupo,time will tell,hakuna haja ya kuandikia mate.

Hivi seriously you believe the Universe and the forces that puts it together and all that is in it,is a game of chance hakuna a super intelligent organizer? I will be very stupid and probably a loon to believe that.
Ukiwa na mtazamo huo basi nakutegemea kukuona ukiwa mtu wa kwanza kupinga dhana ya uwepo Mungu ambaye hana chanzo

Ukisema Mungu ndio chanzo cha vyote hivyo halafu ukaweka nukta kwamba yeye hana chanzo basi premise yako uliyoanza naye itakuwa irrational
 
E bwana embu tuchangiane mawazo huyu kiumbe shetani ni kiumbe mwenye nguvu sana ,kiukweli anatisha ,ni hivi
  • Ameweza kumiliki jeshi la mbinguni
  • Ameharibu mipango mingi ya Muumbaji,
  • Licha ya kumjua Mungu bado anamtunishia kifua
  • Ametawala sehemu kubwa ya ulimwengu wa Nuru na ulimwengu wa Giza ndio kaubeba kabisa

Yako mengi ambayo ameyafanya yanatisha kiukweli tunahitaji msaada wa Mungu siyo rahisi kupona ,maana huku duniani ndiko alikotupwa ,maana maandiko matakatifu yanasimulia kulitokea vita kuu mbinguni ,aisee labda hatujui ila ni vita iliyisheheni maarifa ya hali ya juu ,zana zenye uwezo wa kutisha,silaha zenye kuangamiza mwili na roho.

Huyu kiumbe aliwasha moto yaani aliliamsha kwelikweli,Mikael mkuu wa majeshi ikabidi aombe msaada ,ndipo ushindi mwembamba ukapatikana.

Najiuliza sisi binadamu ambao hata ulimwengu wa roho hatuujui,wala hatuna silaha yoyote ya maana tutatoboa?
Hatuwezi kutoboa, kwani hata Mungu mwenyewe hatumjui
 
Vitabu vya dini vimesema Mungu hapendi kamari
Wewe nakufananisha na chumvi iliyo haribika.How do you compare faith in God na kamari.Wewe Mungu ameshakuacha,ndio maana unamuamini Shetani ambaye ni kiumbe,badala ya kumuamini Mungu aliyemuumba.Pole sana.
 
Ukiwa na mtazamo huo basi nakutegemea kukuona ukiwa mtu wa kwanza kupinga dhana ya uwepo Mungu ambaye hana chanzo

Ukisema Mungu ndio chanzo cha vyote hivyo halafu ukaweka nukta kwamba yeye hana chanzo basi premise yako uliyoanza naye itakuwa irrational
Chanzo cha vyote hivyo ni nini according to Satan,big bang?Very stupid thoughts.Mungu mwenyewe amewa-describe watu kama ninyi as stupid,kwa kuwa he says uumbaji wake unamshuhudia kwamba yupo,so hamna udhuru, kwa hiyo hamtaepuka hasira yake.

Finally,binadamu kama ninyi Shetani anawacheka sana,because he knows that God is the creator of the Universe and all that is in it.Anawasanifu sana aisee.
 
Wewe nakufananisha na chumvi iliyo haribika.How do you compare faith in God na kamari.Wewe Mungu ameshakuacha,ndio maana unamuamini Shetani ambaye ni kiumbe,badala ya kumuamini Mungu aliyemuumba.Pole sana.
Kwani imani inakupa matokeo mangapi?

Na kamari inakuja na matokeo mangapi?

vyote hivyo kimatokeo vipo kwenye mfumo mmoja whether positive or negative, kinyume chake ni ujuzi maana ushakuwa na uhakika
 
Unamuona shetani ni kiumbe mwenye nguvu sana usijue ni kwa sababu anapewa nafasi sana. Inaonesha hujajua bado kwa nini Yesu alikuja duniani au unadhani alikuja kuzurura?. Kaa ndani ya Kristo Yesu uone kama hutoboi.
Kusema kweli sijawahi kuona au kusikia mtu ambae ameshika dini Sana yuko vizuri kiuchumi ukitoka hawa wachungaji / askofu wa michongo.
 
Back
Top Bottom