Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hakii siamini amini ungekuwa mtu mmoja wangeunga I'd acha tu nisome storyHebu waeleze wao maana nililiomba hili kitambo sana
Kuhusu upole acha kwanza nipoe nitarudi kama mwanzo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakii siamini amini ungekuwa mtu mmoja wangeunga I'd acha tu nisome storyHebu waeleze wao maana nililiomba hili kitambo sana
Kuhusu upole acha kwanza nipoe nitarudi kama mwanzo
DaaahKala ban
NdioNi life ban au
Password ya ile id ni 12345 jaribu uoneHakii siamini amini ungekuwa mtu mmoja wangeunga I'd acha tu nisome story
Mzee wa kukanyagia 😂😂😂Kala ban
[emoji23][emoji23] khaaa nijaribu tena mePassword ya ile id ni 12345 jaribu uone
Pole sana nitammiss sana ubobo jamani nilimzoea kwa mda mfupiNdio
Duuh mkuu baadae au keshoMkuu shusha vitu,..mbado tuna arosto na muendelenzo [emoji847][emoji7][emoji846]
Unaogopa ???[emoji23][emoji23] khaaa nijaribu tena me
Mtext Max mwenyewe anakujibu faster au PawUnaogopa ???
Tatizo mods hawajibu txt zangu kabisaaaa
Nilitaka tu uamini ndio mimi
Nimeminvite kwenye PM niliyomtumia mhariri nasubiria majibu kama atanijibu ndani ya 7days hola naamia TwitterMtext Max mwenyewe anakujibu faster au Paw
Umeongea kweli kabisa 100%Kumjua Mungu ni chanzo cha Hekima.
Huko kwingine mtapapasa papasa sana bila majibu na kuishia kujikana.
Huko kwingine hakuna njia nyingine zaidi ya kumtegemea Shetani. Shetani ni Ufalme wa "Nikupe Nikuumize"
Usipo ifahamu njia ya Wokovu, Njia ya kumfikia mwenye Nguvu. Utaishia kuadhibiwa na Shetani.
Shetani hana Rafiki. Shetani Nia yake kubwa ni kumwangamiza mwanadamu, ili akufuru amfuate Kuzimu na kuishia kutupwa katika ziwa la moto kama yeye.
Hebu kesho mwambie Shetani akupe shilingi moja tu isiyo na masharti ya kukuadhibu.
Na uje utuambie atakavyo kujibu.
Shetani na Majini ni jamii moja.
[emoji23][emoji23] unashangaa kama mimi kipenzi eti yule ubobo wa mwanzo kapewa sijui life ban kwahiyo hii ni i'd yake nyingine kaja kuanza upya kuleta story yaani acha tujisomee tuKwani hii story imerudiwa !?
Jamani wewe kipenzi usinifanyie hivyo[emoji23][emoji23] unashangaa kama mimi kipenzi eti yule ubobo wa mwanzo kapewa sijui life ban kwahiyo hii ni i'd yake nyingine kaja kuanza upya kuleta story yaani acha tujisomee tu
[emoji23][emoji23] me nimefanyaje tena mpenziJamani wewe kipenzi usinifanyie hivyo
Ila soon tu i will be back stay safe