Point well taken, you don't like me and you think I don't have a valid contribution.
Kama nilivyosema mwanzo, siko hapa kupendwa, sitafuti sifa wala siogopi lawama.
Huk kwenye kusema sina point, the central idea ya forum hii ni kujuzana kwa mazungumzo ya back and forth, sasa wewe huna majibu kwa maswali yangu, unakimbilia kusema mimi much know, unalia lia tu.
Unaoneka huna nyimbo, na kama hupendi kusoma maneno yangu kuna feature ya kuniscreen uione posts zangu kabisa, jifunze kutumia JF labda itakusaidia usikereke zaidi. Your loss.
Ninaowakera hawana muda hata wa kusoma posts zangu, sembuse kunijibu.
Wewe unanisoma, unanijibu, nakujibu, unanijibu, wewe huwezi kusema nakukera, nikikukera utaruka ninachoandika.