Shibuda: Magufuli aliniahidi kunipa mil 5 nikalipe ada ya watoto lkn nilipompinga akanigeuka

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Akizungumza kwenye kongamano la kuenzi falsafa ya hayati Magufuli ya tanzania ya viwanda, ndugu Shibuda amesema siku moja alipata nafasi ya kumtembelea rais Magufuli ikulu.

Anasema siku hiyo Magufuli alimkaribisha ikulu na kumuuliza vipi watoto hawajambo? Akajibu hawajambo akamwambia nataka kuchangia ada yao shilingi mil5

Shibuda akajibu asante lakini sijaridhishwa na namna unavyoendesha demokrasia katika utawala wako ndipo rais akasema sasa hata hiyo hela sikupi.

Kwa nini Shibuda hakuyasema haya Magufuli akiwa hai?
 
Mleta mada hata wewe usingeweza kufungua uzi huu. Kila zama na mambo yake.
 

Angesemea wapi sasa kipind hiko Acha ushamba mkuu
 
Ayaseme wakati yupo hai! kwani hajipendi yeye?

Sote tuliufyata wakati wa "bwana yule".
 
Shibuda ni sawa na condom iliyotumika
 

Kwa jiwe itakuwa kweri
 
Hii nchi ina kiwango cha kupingukia cha unafiki, lakini nadhani unafiki ukichanganyika na elimu mbovu ndio unatengeneza mazombi
Usije kukuta anataka kusikika sasa ili apate kateuzi, sasa haya ndio maneno gani!!
 
Kwa nini Shibuda hakuyasema haya Magufuli akiwa hai? Swali la kijinga sana. Alikuwa anaogopa usalama wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…