Shibuda: Magufuli aliniahidi kunipa mil 5 nikalipe ada ya watoto lkn nilipompinga akanigeuka

Shibuda: Magufuli aliniahidi kunipa mil 5 nikalipe ada ya watoto lkn nilipompinga akanigeuka

shibuda ni muongo sana ni mtu wakujipendekeza sana ndio maana ccm walimtoa akaenda chadema nao pia wakamtema ni mtu wa ovyo hata hotuba zake za mafumbofumbo kama mwimba taarabu
 
Kinachotuponza watanzania ni unafiki na kuwa waoga kupitiliza. Kwa ninayoyaona sasa, hata rais Samia hakuwa anakubaliana na mambo mengi sana ya Magufuli na alikuwa anaburuzwa tu. Kuwa sahihi zaidi, alikuwa ametengwa na hakuwa anashirikishwa kwenye mambo mengi ya maamuzi. Lakini ajabu na yeye alikuwa ameufyata na akabaki kuabudu na kutukuza. Anyways, siwezi kumlaumu sana kwani watanzania hawabebeki na ukijaribu kuwatetea, likikupata la kukupata wanajifanya kama hawaoni! Hii nchi bila wananchi kuamka na kuacha ''hewala bwana'' bado uongozi utaendelea kufanya makosa makubwa bila hofu. Rais Samia naye anajaribu kufuta yale mabaya ya Magufuli lakini naye anatengeneza mabaya yake mengi tu! Ni check and balance hakuna!

kwani kwasasa kuna watu wanakubaliana na mama samia ? wengi hawakubaliani nae mbona wanasifia sana akiisha ondoka hao hao wanaanza kumsema tena mama atasemwa kuliko makufuli
 
Basi mtindo wake wa kuwasilisha mada upo katika style ya masihara.

shibuda ni mtu wakutunga stori , shibuda wakati rais jpm mzima alikuwa kama priton.shibuda hawezi kumkosoa jpm wakati ule alikuwa anategemea uteuzi kama vile sasa hawezi kumkosoa mama samia anategemea uteuzi ndio maana katika kumbukumbu ya makufuli alikuja kumchafua makufuli na kumsifia sana mama samia wakati pale ilikuwa sio sehemu ya kuja kumsifia mama samia. kama alikuwa na lengo la kusifia angeenda kusifia kwenye ile sherehe ya mama kutimiza mwaka hapo ndio mahali pake. ila yeye alitaka kuufuruga kumbukumbu ya jpm alaaniwe shibuda
 
Hivi Dr.Slaa alimsikiliza Sheebs? Mwana Demokrasia ambaye ukimpinga hata dawa hawezi nunua Kwa uhai wako? Slaa ni Mzee Mjinga Sana ! I will say one day .....Eleven construction sites! Mlioko karibu muulizeni......
 
Mimi sikuufyata!!

waliofyata ni wezi wauza unga biashara haramu ila sisi tulikuwepo na hatukupata shida na biashara zetu ziliendelea vizuri sana awamu 5. tutamsomea maulidi makufuli jinsi tunavyompenda
 
Shibuda atakua aliliweka moyoni hilo suala,hadi amekuja kuzungumza.Itakua ilimuuma sana kukataliwa hiyo milioni 5.
 
M
Viongozi wa upinzani wakipata nafasi ya kuzungumza na Rais huwa wanakuwa na hoja nyepesi na maswala binafsi tu.

Hata Lisu aliomba mambo binafsi mengi tu.
Mbona Shibuda hakwenda kuomba hela!!!
Kasema Magu alianza kumuuliza habari za watoto na kuahidi yeye mwenyewe atampa hela bila ya kuombwa basi.
 
Back
Top Bottom