Stupid ,lakini jamaa alikuwa Mtemi'mshamba!Stupid comment
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stupid ,lakini jamaa alikuwa Mtemi'mshamba!Stupid comment
A stupid comment by a stupid personIt takes one to know the other. So a stupid person has identified a stupid comment.
Seems like you are so determined to mark your presence here. Well, we honour your exceptional stupidity and remarkable pride you take in it by consistently reiterating yourself that you are a dimwit.A stupid comment by a stupid person
Zile Milioni alizokuwa anatoa kwa watanzania wanyonge zilitoka mfukoni kwako wee Lofa.Kwani kuna tabu gani mkinyoosha kuwa alikua na roho mbaya mpaka mjifiche kwenye kivuli cha utani huku wenzenu wanaumizwa?
pick your struggle elsewhere....Seems like you are so determined to mark your presence here. Well, we honour your exceptional stupidity and remarkable pride you take in it by consistently reiterating yourself that you are dimwit.
Now that you have been recognized, why don't you go and find a little corner and play with your stupid self. Adios.....
Magufuli hakuufanya urais ni umungu mtu wee LofaRais hapaswi kuwa mtu wa matani sana.
Upo sahihi mkuu.Shibuda anajua sana kiswahili. Anatumia misemo na lugha zenye misamiati migumu kufikisha ujumbe. Wengi wanaweza wasimuelewe. Ni Msukuma aliyekielewa kiswahili vizuri sana na hata matamshi yake, huwezi kuamini kwamba ni Msukuma.
Cc FaizaFoxy
And the dimwit hangs the boots.......pick your struggle elsewhere...
Lakini mlimshangilia sana humu 'Bwana yule' alivyoanza kwa kishindo na mkabaki kimya alivyoanza kuwafinya wapinzani ila alipowageukia na nyie wapambanaji wake mkaingia mitini na kuufyata.Kuingia mitini haimaanishi hatukuwepo, ni "metaphorical" Tulijibanza "nyuma ya miti". Ukitusoma humu utatuona lakini hatukujifaragua kama wakati wa Kikwete au sasa, wakati wa mama. Tunadeka.
njaa mbayma sana.Akizungumza kwenye kongamano la kuenzi falsafa ya hayati Magufuli ya tanzania ya viwanda, ndugu Shibuda amesema siku moja alipata nafasi ya kumtembelea rais Magufuli ikulu.
Anasema siku hiyo Magufuli alimkaribisha ikulu na kumuuliza vipi watoto hawajambo? Akajibu hawajambo akamwambia nataka kuchangia ada yao shilingi mil5
Shibuda akajibu asante lakini sijaridhishwa na namna unavyoendesha demokrasia katika utawala wako ndipo rais akasema sasa hata hiyo hela sikupi.
Kwa nini Shibuda hakuyasema haya Magufuli akiwa hai?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chizi yaan lolIla jamaa lilikuwa kauzu[emoji1787][emoji1787] ukute hata kwa mademu lilikuwa halirembi " wewe reta tigo kama hutaki ondoka hapa"[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahUlitaka aseme magu akiwa hai ili amiminiwe mvua ya risasi kama lissu?
Mtu unamuona kabisa kakaa kinyamelanyamela ujitokeze tu useme.
Haiwezekani lazima uufyate tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ayaseme wakati yupo hai! kwani hajipendi yeye?
Sote tuliufyata wakati wa "bwana yule".
MmmmmmhBwana yule alitufanya tuwe mabubu. Allah akaona isiwe tabu, akatutendea jambo kuu. Hivi sasa tunadeka na mama yetu kiroho safi
Alikua anatoa mfukoni kwakeZile Milioni alizokuwa anatoa kwa watanzania wanyonge zilitoka mfukoni kwako wee Lofa.