Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
Ndugu zako wenye roho nzuri wanaishi milele?Jiwe alikuwa na roho mbaya sana, na ndiyo maana Mwenyezi Mungu alimtwaa haraka haraka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu zako wenye roho nzuri wanaishi milele?Jiwe alikuwa na roho mbaya sana, na ndiyo maana Mwenyezi Mungu alimtwaa haraka haraka!
Kuingia mitini haimaanishi hatukuwepo, ni "metaphorical" Tulijibanza "nyuma ya miti". Ukitusoma humu utatuona lakini hatukujifaragua kama wakati wa Kikwete au sasa, wakati wa mama. Tunadeka.Usiseme wote,wabishi wachache tulibaki
hata kama mtu anamapungufu hapa umeenda mbali sana, hata kama unachuki kubwa si vyema kutumia lugha kama hii.Ila jamaa lilikuwa kauzu🤣🤣 ukute hata kwa mademu lilikuwa halirembi "reta tigo kama hutaki kwenda"🤣🤣
Kinachotuponza watanzania ni unafiki na kuwa waoga kupitiliza. Kwa ninayoyaona sasa, hata rais Samia hakuwa anakubaliana na mambo mengi sana ya Magufuli na alikuwa anaburuzwa tu. Kuwa sahihi zaidi, alikuwa ametengwa na hakuwa anashirikishwa kwenye mambo mengi ya maamuzi. Lakini ajabu na yeye alikuwa ameufyata na akabaki kuabudu na kutukuza. Anyways, siwezi kumlaumu sana kwani watanzania hawabebeki na ukijaribu kuwatetea, likikupata la kukupata wanajifanya kama hawaoni! Hii nchi bila wananchi kuamka na kuacha ''hewala bwana'' bado uongozi utaendelea kufanya makosa makubwa bila hofu. Rais Samia naye anajaribu kufuta yale mabaya ya Magufuli lakini naye anatengeneza mabaya yake mengi tu! Ni check and balance hakuna!Ukipenda yakubali ukipenda yakatae. Tatizo nini?
Wote tunajuwa kuwa kumpinga bwana yule, tena hadharani, ilikuwa ni kujitafutia matatizo ya bureAkizungumza kwenye kongamano la kuenzi falsafa ya hayati Magufuli ya tanzania ya viwanda, ndugu Shibuda amesema siku moja alipata nafasi ya kumtembelea rais Magufuli ikulu.
Anasema siku hiyo Magufuli alimkaribisha ikulu na kumuuliza vipi watoto hawajambo? Akajibu hawajambo akamwambia nataka kuchangia ada yao shilingi mil5
Shibuda akajibu asante lakini sijaridhishwa na namna unavyoendesha demokrasia katika utawala wako ndipo rais akasema sasa hata hiyo hela sikupi.
Kwa nini Shibuda hakuyasema haya Magufuli akiwa hai?
Hata wewe muoga. Nani asiyeogopa Tanzania? Tanzania tulianza kutishwa ilipoanzishwa "presidential detention act" Uliza wajuzi wakujulishe ni nani aliianzisha na nani akaifuta? Na wajanja wengine walipoona hiyo haipo wakajitungia sheria zilizopendekezwa na USA za kukandamiza watu, mfano sheria ya "ugaidi" iliyomfunga Mbowe. Au sheria za utakatishaji fedha na sheria ya uhujumu uchumi. Umeshawahi kujiuliza kwanini hizo hazina dhamana? Mimi nasema sheria hizo ni ukandamizaji, anakutuhumu kwa sheria hizo kaamua kukumaliza kwa mateso, kidogo kidogo, hatafuti haki wala hataki kujuwa haki iko wapi. Ni mateso tu ya kuhukumiwa bila ya hatia.Kinachotuponza watanzania ni unafiki na kuwa waoga kupitiliza. Kwa ninayoyaona sasa, hata rais Samia hakuwa anakubaliana na mambo mengi sana ya Magufuli na alikuwa anaburuzwa tu. Kuwa sahihi zaidi, alikuwa ametengwa na hakuwa anashirikishwa kwenye mambo mengi ya maamuzi. Lakini ajabu na yeye alikuwa ameufyata na akabaki kuabudu na kutukuza. Anyways, siwezi kumlaumu sana kwani watanzania hawabebeki na ukijaribu kuwatetea, likikupata la kukupata wanajifanya kama hawaoni! Hii nchi bila wananchi kuamka na kuacha ''hewala bwana'' bado uongozi utaendelea kufanya makosa makubwa bila hofu. Rais Samia naye anajaribu kufuta yale mabaya ya Magufuli lakini naye anatengeneza mabaya yake mengi tu! Ni check and balance hakuna!
Kama ni kweli kayasema yaliyoandikwa humu, hayo si masihara. Labda useme Shibuda anasema ukweli lakini mtindo wake wa kuongea unauona kama masihara.Shibuda ana masihara mengi sana huyo Mzee.
kuna thread huko mtu anakuulizaKama ni kweli kayasema yaliyoandikwa humu, hayo si masihara. Labda useme Shibuda anasema ukweli lakini mtindo wake wa kuongea unauona kama masihara.
Your anus contains dungs!!Jiwe alikuwa na roho mbaya sana, na ndiyo maana Mwenyezi Mungu alimtwaa haraka haraka!
Basi mtindo wake wa kuwasilisha mada upo katika style ya masihara.Kama ni kweli kayasema yaliyoandikwa humu, hayo si masihara. Labda useme Shibuda anasema ukweli lakini mtindo wake wa kuongea unauona kama masihara.
Bullshit, acha kujifanya una mapenzi makubwa kiasi cha kuwa mnafiki. Kipi cha ajabu hapo nilichoandika kudhihirisha chuki?? Umeona mpaka emojis za kucheka kuashiria it was all written in light heartedness. So take a chill pill and relaxhata kama mtu anamapungufu hapa umeenda mbali sana, hata kama unachuki kubwa si vyema kutumia lugha kama hii.
Mtandao wa simuTigo ni nini?
Na Mtume Mohamadi alitufanya Waisilamu Mabubu, ndiyo maana Allah akaona isiwe tabu,akamchukua akiwa na Umri mdogo sana!? Au!?Bwana yule alitufanya tuwe mabubu. Allah akaona isiwe tabu, akatutendea jambo kuu. Hivi sasa tunadeka na mama yetu kiroho safi
Nyuzi tulifungua nyingi za kumsema Magufuli live sema tu jf walikuwa wakizikata kabla ya kupoaMleta mada hata wewe usingeweza kufungua uzi huu. Kila zama na mambo yake.