Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
Nadhani aliyediriki kuyasema wazi (Tundu Lissu), tuliona matokeo ya uwazi wake.Ayaseme wakati yupo hai! kwani hajipendi yeye?
Sote tuliufyata wakati wa "bwana yule".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani aliyediriki kuyasema wazi (Tundu Lissu), tuliona matokeo ya uwazi wake.Ayaseme wakati yupo hai! kwani hajipendi yeye?
Sote tuliufyata wakati wa "bwana yule".
Neno ''ua'' lina maana ya kutoa uhai wa kiumbe, au umoja wa neno ''maua''. Siku nyingine andika huwa. Kilaza mkubwa wewe!Hata watu ua wanakusema vibaya ukiondoka sio ukiwepo
Huyu Shibuda ni kama Antony Diallo tu, wanasiasa wa sampuli hii sio wa kuamini asilimia 💯, hawa ni wafanyabiashara wa siasa.Akizungumza kwenye kongamano la kuenzi falsafa ya hayati Magufuli ya tanzania ya viwanda, ndugu Shibuda amesema siku moja alipata nafasi ya kumtembelea rais Magufuli ikulu.
Anasema siku hiyo Magufuli alimkaribisha ikulu na kumuuliza vipi watoto hawajambo? Akajibu hawajambo akamwambia nataka kuchangia ada yao shilingi mil5
Shibuda akajibu asante lakini sijaridhishwa na namna unavyoendesha demokrasia katika utawala wako ndipo rais akasema sasa hata hiyo hela sikupi.
Kwa nini Shibuda hakuyasema haya Magufuli akiwa hai?
Endeleeni kuufyata hata sasa, maana ndio maisha mliyochagua.Ayaseme wakati yupo hai! kwani hajipendi yeye?
Sote tuliufyata wakati wa "bwana yule".
Magufuli alikuwa mtu wa matani Sana kwa wale tuliyemzoea haitupi shida, tatizo linakuja kwa wale ambao siyo waelewa ukutute Rais alimtania yeye akayaweka moyoni hapa ndipo wabongo tunafail
Note; Kuna watu hawataniwi yaani kitu kidogo wanakikuza ila nimejifunza usiweke matani penye userios ila weka matani penye matani over
Bwana yule alitufanya tuwe mabubu. Allah akaona isiwe tabu, akatutendea jambo kuu. Hivi sasa tunadeka na mama yetu kiroho safiAyaseme wakati yupo hai! kwani hajipendi yeye?
Sote tuliufyata wakati wa "bwana yule".
Tigo ni nini?Ila jamaa lilikuwa kauzu[emoji1787][emoji1787] ukute hata kwa mademu lilikuwa halirembi "reta tigo kama hutaki kwenda"[emoji1787][emoji1787]
Acha Mungu aitwe MUNGU.Eti nitachangia mil 5,jamaa lilikua linajifanya Lina mapesa wkt linaiba kwny mifuko ya kijamii.Wastaafu wanateseka tu mifuko haina pesa.
Mungu Ni fundi.
Huyu mzee anajiaibisha tuAkizungumza kwenye kongamano la kuenzi falsafa ya hayati Magufuli ya tanzania ya viwanda, ndugu Shibuda amesema siku moja alipata nafasi ya kumtembelea rais Magufuli ikulu.
Anasema siku hiyo Magufuli alimkaribisha ikulu na kumuuliza vipi watoto hawajambo? Akajibu hawajambo akamwambia nataka kuchangia ada yao shilingi mil5
Shibuda akajibu asante lakini sijaridhishwa na namna unavyoendesha demokrasia katika utawala wako ndipo rais akasema sasa hata hiyo hela sikupi.
Kwa nini Shibuda hakuyasema haya Magufuli akiwa hai?
Uandikaji wao umekua ni shida sana hawa vijana. Mbaya zaidi hawajui kama wanakosea.Neno ''ua'' lina maana ya kutoa uhai wa kiumbe, au umoja wa neno ''maua''. Siku nyingine andika huwa. Kilaza mkubwa wewe!
Si unatuona tumerudi JF, ulituona wakati wa "bwana yule"? Tuliingia "mitini" wote.Endeleeni kuufyata hata sasa, maana ndio maisha mliyochagua.
Namkumbuka Dialo alisema ccm walituwekea kiongozi waliyejua Ni kichaa....Akizungumza kwenye kongamano la kuenzi falsafa ya hayati Magufuli ya tanzania ya viwanda, ndugu Shibuda amesema siku moja alipata nafasi ya kumtembelea rais Magufuli ikulu.
Anasema siku hiyo Magufuli alimkaribisha ikulu na kumuuliza vipi watoto hawajambo? Akajibu hawajambo akamwambia nataka kuchangia ada yao shilingi mil5
Shibuda akajibu asante lakini sijaridhishwa na namna unavyoendesha demokrasia katika utawala wako ndipo rais akasema sasa hata hiyo hela sikupi.
Kwa nini Shibuda hakuyasema haya Magufuli akiwa hai?
Umeona eeh? Ben mwana JF mwenzetu tukibishana nae sana kisiasa humu JF yuko wapi? Tuliogopa sana na tulikuwa na haki ya kuogopa. Nchi ilifikia mpaka mawaziri wanatolewa bastola hadharani na hakuna linalofanyika.Nadhani aliyediriki kuyasema wazi (Tundu Lissu), tuliona matokeo ya uwazi wake.
Akizungumza kwenye kongamano la kuenzi falsafa ya hayati Magufuli ya tanzania ya viwanda, ndugu Shibuda amesema siku moja alipata nafasi ya kumtembelea rais Magufuli ikulu.
Anasema siku hiyo Magufuli alimkaribisha ikulu na kumuuliza vipi watoto hawajambo? Akajibu hawajambo akamwambia nataka kuchangia ada yao shilingi mil5
Shibuda akajibu asante lakini sijaridhishwa na namna unavyoendesha demokrasia katika utawala wako ndipo rais akasema sasa hata hiyo hela sikupi.
Kwa nini Shibuda hakuyasema haya Magufuli akiwa hai?
Usiseme wote,wabishi wachache tulibakiSi unatuona tumerudi JF, ulituona wakati wa "bwana yule"? Tuliingia "mitini" wote.
Hata wafanya biashara wenye mitaji mikubwa waliihama nchi, lakini sasa wamerudi na AlhamduliLlah pesa zinazunguka tena mitaani. Huyajuwi hayo?
Ukipenda yakubali ukipenda yakatae. Tatizo nini?Angalau angekufa amesema ukweli kuliko kuongea sasa maneno mazito kama haya ambayo yangesaidia kuwafungua macho watanzania waliokuwa hawajui tuna rais wa namna gani. Kwa mfano ikiwa shibuda ndiye alienda kulia njaa akaambulia patupu nani atatusaidia kubalance hii habari?
Mlibaki kwenye fake ID's tu humu JF!!Usiseme wote,wabishi wachache tulibaki
Watu wa kanda pendwa mnaharibu sana kiswahiliHata watu ua wanakusema vibaya ukiondoka sio ukiwepo