Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili jitu huwa la hovyo sana, nafiki halijitambui, halichagui cha kusema na wapi likasemeAkizungumza kwenye kongamano la kuenzi falsafa ya hayati Magufuli ya tanzania ya viwanda, ndugu Shibuda amesema siku moja alipata nafasi ya kumtembelea rais Magufuli ikulu.
Anasema siku hiyo Magufuli alimkaribisha ikulu na kumuuliza vipi watoto hawajambo? Akajibu hawajambo akamwambia nataka kuchangia ada yao shilingi mil5
Shibuda akajibu asante lakini sijaridhishwa na namna unavyoendesha demokrasia katika utawala wako ndipo rais akasema sasa hata hiyo hela sikupi.
Kwa nini Shibuda hakuyasema haya Magufuli akiwa hai?
[emoji23][emoji23][emoji23]Ila jamaa lilikuwa kauzu[emoji1787][emoji1787] ukute hata kwa mademu lilikuwa halirembi "reta tigo kama hutaki kwenda"[emoji1787][emoji1787]
Akizungumza kwenye kongamano la kuenzi falsafa ya hayati Magufuli ya tanzania ya viwanda, ndugu Shibuda amesema siku moja alipata nafasi ya kumtembelea rais Magufuli ikulu.
Anasema siku hiyo Magufuli alimkaribisha ikulu na kumuuliza vipi watoto hawajambo? Akajibu hawajambo akamwambia nataka kuchangia ada yao shilingi mil5
Shibuda akajibu asante lakini sijaridhishwa na namna unavyoendesha demokrasia katika utawala wako ndipo rais akasema sasa hata hiyo hela sikupi.
Kwa nini Shibuda hakuyasema haya Magufuli akiwa hai?
Hakusema kwa sababu hakukuwa na kongamano!Akizungumza kwenye kongamano la kuenzi falsafa ya hayati Magufuli ya tanzania ya viwanda, ndugu Shibuda amesema siku moja alipata nafasi ya kumtembelea rais Magufuli ikulu.
Anasema siku hiyo Magufuli alimkaribisha ikulu na kumuuliza vipi watoto hawajambo? Akajibu hawajambo akamwambia nataka kuchangia ada yao shilingi mil5
Shibuda akajibu asante lakini sijaridhishwa na namna unavyoendesha demokrasia katika utawala wako ndipo rais akasema sasa hata hiyo hela sikupi.
Kwa nini Shibuda hakuyasema haya Magufuli akiwa hai?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah nimecheka sana, eti jamaa lilikuwa kauzu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila jamaa lilikuwa kauzu[emoji1787][emoji1787] ukute hata kwa mademu lilikuwa halirembi "reta tigo kama hutaki kwenda"[emoji1787][emoji1787]
Eti hata hiyo hela sikupi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila jamaa lilikuwa kauzu[emoji1787][emoji1787] ukute hata kwa mademu lilikuwa halirembi "reta tigo kama hutaki kwenda"[emoji1787][emoji1787]
Hata naye ana njaa njaa bhana.Viongozi wa upinzani ni omba omba sana.
Freeman Mbowe pekee ndio tajiri.
Aisee Papason! Na wewe una roho ngumu! Umewaumiza Sana wale chawa wake!Jiwe alikuwa na roho mbaya sana, na ndiyo maana Mwenyezi Mungu alimtwaa haraka haraka!
nasikia alikua na malengo ya kufia madarakani,na ameyatimiza.Jiwe alikuwa na roho mbaya sana, na ndiyo maana Mwenyezi Mungu alimtwaa haraka haraka!
Jamaa lilikuwa halina aibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jiwe alikuwa na roho mbaya sana, na ndiyo maana Mwenyezi Mungu alimtwaa haraka haraka!
Aisee! Wewe Prince ni harari Sana!Aongezewe kuni
KabisaSasa mil 5 nayo ni pesa ya kwenda kulialia kwenye kongamano? Wanasiasa wa bongo njaa kali sana.
Noma sana!Ila jamaa lilikuwa kauzu[emoji1787][emoji1787] ukute hata kwa mademu lilikuwa halirembi "reta tigo kama hutaki kwenda"[emoji1787][emoji1787]
Kwa hilo hapana. Anaweza hata kutoa kwenye mshahara wake.Eti nitachangia mil 5,jamaa lilikua linajifanya Lina mapesa wkt linaiba kwny mifuko ya kijamii.Wastaafu wanateseka tu mifuko haina pesa.
Mungu Ni fundi.
bongo bhanaIla jamaa lilikuwa kauzu🤣🤣 ukute hata kwa mademu lilikuwa halirembi "reta tigo kama hutaki kwenda"🤣🤣