Ambacho hujaelewa ni kipi?Hii sijaielewa hata.
Nadharia ya ukutaAmbacho hujaelewa ni kipi?
Sent from my Kimulimuli
Matter is 99.9999999999999% empty space.Nadharia ya ukuta
Empty space kivip.!!!Matter is 99.9999999999999% empty space.
Ukuta. Chuma. Wewe. Maji. Kila matter is at least that much empty space.
Hilo la kwanza. Unaelewa hilo?
Sent from my Kimulimuli
The space between atoms and the space between subatomic particles.Empty space kivip.!!!
Kama kopo ambalo halina kitu au.?
Mr sponsor nami nahitaji mtaji[emoji1][emoji1][emoji1]
Teacher wewe sponsor wa nini tenaMr sponsor nami nahitaji mtaji
Defn ya matter nnayoijua ni "anything that occupy space"The space between atoms and the space between subatomic particles.
Empty space kama kopo ambalo halina kitu right.
Sent from my Kimulimuli
Defn ya matter nnayoijua ni "anything that occupy space"
Ss ukija kwny maelezo yko ya empty space kdgo unaniacha....space btn atoms and subatomic particles ni ndogo sana kiasi kwamba huwezi kusema kuna space....
Mm sawa naweza kuwa matter lkn mm sina space.
Hahaha tushirikishane mawazo ya biashara basiMr sponsor nami nahitaji mtaji
Anisaidie mtajiTeacher wewe sponsor wa nini tena
Yap!that's true,mtaji sio issue kunawatu wanahela ilaipango hamna,kama huna mtaji kuwa na wazo la biashara ,il I mshee yeye akiweka hel wewweka akili ya ko,akili ni mtaji toshaMaamuzi + Wazo la biashara.
Mtaji ni watu wanaokuzunguka, hao ndio walio na pesa zako nshu ni kwamba unazipata vipi.
Sent using Jamii Forums mobile app
We haupo tayari katafute ajira unaInguaSijaona Huyo mtu bado. Nikikutana nae nitafurahi sana.
Umeonyesha kuwa tayari kuonyesha upo tayari???
SawaAnza hapo kwa Mr miller
Mimi nilish acha utumwa kitambo tu na elimu yangu ya kiwango chalamo,niliona aibu mwanzoni ola sasanimeajili vijnaUmeonyesha kuwa tayari kuonyesha upo tayari???
Hili umesema wewe,sio Mimi. Ukikutana na mtu mwenye mipango minene kama Mimi hsiwezi toa sababu kama hii.
Kweli kabisaMnajua hili swala la kujiajiri sio rahisi kama tunavyofikiria na kuwaza,
Nimeona tunalalamikiana na kushangaana kwamba kwakuwa mtu anamiliki smartphone basi huyo hapaswi kusema hana mtaji...si sahihi,
Kwa ulimwengu wa sasa SMARTPHONE ni muhimu sana hasa kwa sisi wajasiriamali na hata wanaotaka kuwa wajasiriamali, najua wengi wanasema uza smartphone upate mtaji sasa smartphone nyingne watu wanamiliki akiuza hata laki.2 haifiki....huyo utamwambia afanye biashara ni biashara gani unaweza ukaiendesha kwa kiasi hicho ktk ulimwengu huu wa ss,
Zingatia kuna mambo mtu atahitaji kujifunza...kusoma vitabu, kusoma makala za wajasiriamali wengne mtandaon kama humu JF, na hata kujua dunia inaendaje ktk swala zima la uchumi,
Kwahyo kwenye swala la mtaji hapakwepeki kwakwer hili ni tatizo,
Mimi wakat nasoma nlikua nasema ntajiajiri ila lazima niajiliwe kwanza na nkajiwekea naziri kwamba sitakaa ktk ajira zaidi ya miaka 5,
Ndani ya miaka hiyo 5 ingetosha kabisa kunipa Starting Capital ya kujiajiri, so twende mbele turudi nyuma kuajiliwa mwanzoni kupo unless kama utapata kianzio either kwa wazazi au ndugu jamaa na marafiki.
Ni vema tukaelewana na kushauriana tuache kusemana na kusimangana vijana....tupo tofauti kiakili, kiumri na hata kimazingira,
Na kuhusu ishu ya kukopi mawazo ya biashara hilo ni kawaida...hakuna biashara mpya duniani zote zilikuwepo sema tu zinafanyiwa Modification/Innovation....ndio maana ya ujasiriamali,
HongeraMimi nilish acha utumwa kitambo tu na elimu yangu ya kiwango chalamo,niliona aibu mwanzoni ola sasanimeajili vijna
Sent using Jamii Forums mobile app