Shida ilivyonichochea kuwa mlafi wa kuisoma Biblia

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niliwahi kuulizwa swali, Unakiamini kitabu kinachoitwa Biblia nikajibu naamini. Pia nikaulizwa unazisadiki simulizi za mfalme Suleiman nikasema ndiyo.

Likaja swali kwanini moja kwa moja hakuhitaji utajiri na mengineyo ila aliomba sana upeo wa namna ya kuwaongoza wale aliyeambiwa anateuliwa kwenda kuwaongoza?

Hapo ungetoa jibu gani?
 
Inawezekana alifahamu tokea mwanzo kuwa HEKIMA NI BORA KULIKO VITU VYOTE; Mithali 4:7.
 
Amen.!

[emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]
Acha Mungu aitwe Mungu.!
We share like the same situation. I have seen God live faight for me.
 
Ni kanisa gani la kilokole a.k.a(wanenao Kwa lugha ambayo haina maana) unasali na JINA la mchungaji tunalihitaji pia,,,tangazo lako bado halijakamilika!!!
 
Mwandishi hajakosea ,Biblia ndio kitabu bora wakat wote hata usome vya ma genius gan,lakin bible is number one book yenye maarifa na kila kitu kihusucho ,mwanadamu kimwili na kiroho.
Popote kwenye maisha panahitaji matumaini.

Huwezi fananisha vitabu vilivyoandikwa na ma-genius ukapanga na bible. Hapo ni kuwatukana hao magenius.
Unataka kufananisha hata kitabu cha nadharia ya special relativity na kitabu cha bible!?

Bible inawezaje kuwa kitabu bora wakati kina contradiction za wazi kabisa,
Unapataje maatifa kwenye kitabu kilichosheheni utata mkubwa kama huo.

Nikisema biblia ni kitabu cha hadithi za uongo zilizotungwa na watu wajinga wajinga unaweza kubatilisha madai yangu kwa facts !?
 
Niliposoma Biblia, nilishangazwa kukutana na masomo yaliyohusu Ujasiriamali, Biashara, Uwekezaji, Management, Leadership, Jeshi, Afya, Saikolojia, ndoa, malezi ya watoto, n.k.

Biblia ni STOO ya MAARIFA.
Imani ni shambulio la psychology.
 
Hongera kwa kuujua ukweli,uko huru sasa.
 
Amen.!

[emoji817][emoji817][emoji817][emoji817][emoji817]
Acha Mungu aitwe Mungu.!
We share like the same situation. I have seen God live faight for me.
Hata mimi pia. Huwa nawashangaa sana na kuwasikitikia watu wanaomtilia MUNGU mashaka.
 
Hata mimi pia. Huwa nawashangaa sana na kuwasikitikia watu wanaomtilia MUNGU mashaka.
Unaelewa kuwa hata sie huwa tunawashangaa sana watu wanaoamini habari za Mungu asiyepo!?

Unalijua hili!?
 
Unaelewa kuwa hata sie huwa tunawashangaa sana watu wanaoamini habari za Mungu asiyepo!?

Unalijua hili!?
Sidhani kwamba hujui kuwa MUNGU Yupo. Inaonekana umeamua kupinga huku ukijua kuwa unaupinga Ukweli.

Kama nia yako ingekuwa ni kutaka kumjua Mungu kwa undani zaidi, ungeweza kuelekezwa na ukasaidika. Lakini mwelekeo wako siyo huo. Ni
kama vile wa mtu mwenye akili
timamu aliyeamaua kuikana familia yake huku akijua alifanyalo. Anafahamu kabisa kuwa
"MAKOROBOI" ni mama yake wa kumzaa lakini anaamua kusema hadharani kuwa hamfahamu. Mtu kama huyo huwezi kumsaidia mpaka atakapoamua kubadilika.

Ingekuwa nia yako ni kumjua HUYU MUNGU ambaye wengine wanakiri kuwa amewatendea mambo makubwa, ungesaidika. Lakini kwa jinsi msimamo wako unavyojionesha, ni umeamua kupinga ingawa unajua moyoni mwako kuwa ufanyalo ni kosa.
 
Hoja yako yote umeijenga kwa kunidhania kuwa najua Mungu yupo ila nnapinga tu.

Kitu ambacho sio sahihi.

Siko hapa kujaribu mtu, nasema Mungu hayupo kwa hakika wala si kujaribu watu.

Kwahyo hoja yako ni batili.

Mungu hayupo, Mungu ni dhana iliyotungwa na watu,
Watu waliamua kujitungia tu kukidhi haja za akili zao walipojaribu kujibu maswali magumu yaliyowakabili.

Na kila jamii zina namna wanavyoeleza mambo hayo.

Kwahyo habari za miungu ni hadithi tu wala sio kweli ndugu.

Kama unabisha, thibitisha kweli huyo Mungu yupo.
 
My ordinary level was so sweet!!!

Yap so sweet but challenging !!!


An overcomer I was!But these days uuuuuuwwwiiiiiiiihh!!!!!!😭😭😭😭😭😭😭
 
Nimesoma mwanzo hadi ufunuo.. Yani agano la Kale hadi agano jipya mara moja

Nikasoma agano jipya Mathayo hadi Ufunuo Kwa kurudia mara mbili.

Ni bible race.. Hakika nimejikuta na uelewa mkubwa wa kujitambua mimi binafsi, mazingira yanayonizunguka na ulimwengu Kwa ujumla.
 
Very encouraging aiseee,nimesoma mara mbilimbili mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…