Shida ya Lissu na Nyerere ni nini hasa?

Shida ya Lissu na Nyerere ni nini hasa?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Ukimpatia Lissu saa moja atatumia dk 45 kumdiss Mwalimu Nyerere kwa maneno makali kadri atakavyoweza.

Alipoulizwa na Chief Odemba kwa maoni yake kuwa ipi ilikuwa awamu iliyoongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, bila kumumunya maneno alidai ni awamu ya kwanza.

Kwa mtazamo wa Lissu, Nyerere alikuwa katili kuliko Mwinyi, Mkapa, Kikwete na JPM wote kwa pamoja.


 
Ukimpatia Lissu saa moja atatumia dk 45 kumdiss Mwalimu Nyerere kwa maneno makali kadri atakavyoweza.

Alipoulizwa na Chief Odemba kwa maoni yake kuwa ipi ilikuwa awamu iliyoongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, bila kumumunya maneno alidai ni awamu ya kwanza.

Kwa mtazamo wa Lissu, Nyerere alikuwa katili kuliko Mwinyi, Mkapa, Kikwete na JPM wote kwa pamoja.
View attachment 3073523
Ndg.Lissu ni mropokaji sana...

Mropokaji haswa......

Ingekuwa si Nyerere yeye angesomea wapi?!!!

Nyerere ndiye aliyeikomboa mikoa ya kanda ya kati.....

Lissu aache mambo yake ya ajabu....

#JMT for ever[emoji7]
 
Ukimpatia Lissu saa moja atatumia dk 45 kumdiss Mwalimu Nyerere kwa maneno makali kadri atakavyoweza.

Alipoulizwa na Chief Odemba kwa maoni yake kuwa ipi ilikuwa awamu iliyoongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, bila kumumunya maneno alidai ni awamu ya kwanza.

Kwa mtazamo wa Lissu, Nyerere alikuwa katili kuliko Mwinyi, Mkapa, Kikwete na JPM wote kwa pamoja.
View attachment 3073523
Ndg.Lissu ni mropokaji sana...

Mropokaji haswa......

Ingekuwa si Nyerere yeye angesomea wapi?!!!

Nyerere ndiye aliyeikomboa mikoa ya kanda ya kati.....

Lissu aache mambo yake ya ajabu....

#JMT for ever[emoji7]
Mimi nadhani yafaa zaidi apingwe kwa Hoja, endapo kama mnazo kwa sababu Hoja hupingwa kwa Hoja kinzani, na utafiti hupingwa kwa utafiti mwingine.
 
Ukimpatia Lissu saa moja atatumia dk 45 kumdiss Mwalimu Nyerere kwa maneno makali kadri atakavyoweza.

Alipoulizwa na Chief Odemba kwa maoni yake kuwa ipi ilikuwa awamu iliyoongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, bila kumumunya maneno alidai ni awamu ya kwanza.

Kwa mtazamo wa Lissu, Nyerere alikuwa katili kuliko Mwinyi, Mkapa, Kikwete na JPM wote kwa pamoja.
View attachment 3073523

..mbona kwenye VIDEO hajasema kwamba Mwalimu alikuwa katili kuwazidi waliomfuatia?

..yaani ushahidi wa video upo mbele yako lakini bado unatoka na tafsiri potofu?
 
Ukimpatia Lissu saa moja atatumia dk 45 kumdiss Mwalimu Nyerere kwa maneno makali kadri atakavyoweza.

Alipoulizwa na Chief Odemba kwa maoni yake kuwa ipi ilikuwa awamu iliyoongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, bila kumumunya maneno alidai ni awamu ya kwanza.

Kwa mtazamo wa Lissu, Nyerere alikuwa katili kuliko Mwinyi, Mkapa, Kikwete na JPM wote kwa pamoja.
View attachment 3073523
Tatizo mmelishwa matango pori..
Nyerere ndiye rais mbovu aliyejenga misingi mibovu sana ya nchi hii.
1. Ujinga mtopeo..ni yeye chanzo
2. Unafiki wa Tz ni yeye chanzo
3. Nidhamu ya uoga ni yeye chanzo
4. Nchi kuwa omba omba yeye chanzo
5. Umaskini ni yeye chanzo
 
Mimi nadhani yafaa zaidi apingwe kwa Hoja, endapo kama mnazo kwa sababu Hoja hupingwa kwa Hoja kinzani, na utafiti hupingwa kwa utafiti mwingine.
Sawa....

Utafiti bora ni kuja na majibu yanayoeleza kuwa UBAGUZI WA KIKABILA ,DINI NA KANDA una "sequela" mbaya zaidi.....

Ingekuwa si baba wa taifa Julius K.Nyerere sidhani leo hii ndg.Tundu Lissu kutoka kanda ya kati angepata hata shahada yake ya kwanza ya LLB....

Ndg.Tundu Lissu aache mambo ya kitoto......

#Nyerere ni baraka kubwa kwa taifa hili[emoji7][emoji7]
 
Tatizo mmelishwa matango pori..
Nyerere ndiye rais mbovu aliyejenga misingi mibovu sana ya nchi hii.
1. Ujinga mtopeo..ni yeye chanzo
2. Unafiki wa Tz ni yeye chanzo
3. Nidhamu ya uoga ni yeye chanzo
4. Nchi kuwa omba omba yeye chanzo
5. Umaskini ni yeye chanzo
Acha mambo ya kitoto kamarada Glenn....

Kama si Nyerere nchi hii ingejaa UDINI....

Kama si Nyerere nchi hii ingefurika UKABILA NA UKANDA.....

Hivi lini vijana sisi tutajifunza thamani kuu ya Nyerere ?!!

Havoc
 
Sawa....

Utafiti bora ni kuja na majibu yanayoeleza kuwa UBAGUZI WA KIKABILA ,DINI NA KANDA una "sequela" mbaya zaidi.....

Ingekuwa si baba wa taifa Julius K.Nyerere sidhani leo hii ndg.Tundu Lissu kutoka kanda ya kaskazini angepata hata shahada yake ya kwanza ya LLB....

Ndg.Tundu Lissu aache mambo ya kitoto......

#Nyerere ni baraka kubwa kwa taifa hili[emoji7][emoji7]
Kilicho 'baraka' kwako yawezekana kwa mwenzako kinaweza kuwa 'laana.'
 
Kama huna “open” na “critical mind” na una hulka ya kushabikia na hata kuabudu watu, huwezi kuelewa anachosema Lissu.

Kasome kitabu cha: Remembering Nyerere in Tanzania, ed. Marie-Aude Fouéré 2015 utakutana na uchambuzi tunduizi kuhusu pande zote za Nyerere usioremba tu. Tatizo la Lissu ni kukosa lugha ya kufurahisha. Anaumwaga ukweli bila kunyunyizia “painkiller”! Nyerere was not a saint.
 
Sawa....

Utafiti bora ni kuja na majibu yanayoeleza kuwa UBAGUZI WA KIKABILA ,DINI NA KANDA una "sequela" mbaya zaidi.....

Ingekuwa si baba wa taifa Julius K.Nyerere sidhani leo hii ndg.Tundu Lissu kutoka kanda ya kati angepata hata shahada yake ya kwanza ya LLB....

Ndg.Tundu Lissu aache mambo ya kitoto......

#Nyerere ni baraka kubwa kwa taifa hili[emoji7][emoji7]

..sio kweli.

..hata ktk kipindi cha Mkoloni wasomi walikuwa wanatoka maeneo mbalimbali ya Tanganyika.

..Wapo wasomi toka kanda ya kati waliosoma enzi za Mkoloni, iweje tuone ni ajabu, au hisani, kusoma baada ya Uhuru?
 
Ukimpatia Lissu saa moja atatumia dk 45 kumdiss Mwalimu Nyerere kwa maneno makali kadri atakavyoweza.

Alipoulizwa na Chief Odemba kwa maoni yake kuwa ipi ilikuwa awamu iliyoongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, bila kumumunya maneno alidai ni awamu ya kwanza.

Kwa mtazamo wa Lissu, Nyerere alikuwa katili kuliko Mwinyi, Mkapa, Kikwete na JPM wote kwa pamoja.
View attachment 3073523
Wewe wakati wa Nyerere ulikuwa bado kwenye boxer ya dingi wako,huyo Mzee alikuwa nuksi sana kwa vile tu nyakati hizo habari hazikuwa zinavuma kama zama hizi. Magazet matatu tu,Uhuru,Dailly News na Mfanyakazi na yote ni ya Serikali na Chama. Na yeye alivuna roho kiasi chake.
 
Nyerere ndiyo chanzo ujinga
Ukimpatia Lissu saa moja atatumia dk 45 kumdiss Mwalimu Nyerere kwa maneno makali kadri atakavyoweza.

Alipoulizwa na Chief Odemba kwa maoni yake kuwa ipi ilikuwa awamu iliyoongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, bila kumumunya maneno alidai ni awamu ya kwanza.

Kwa mtazamo wa Lissu, Nyerere alikuwa katili kuliko Mwinyi, Mkapa, Kikwete na JPM wote kwa pamoja.
View attachment 3073523
Huu wa Leo!! Nyerere alitukosea sana!!!
 
Acha mambo ya kitoto kamarada Glenn....

Kama si Nyerere nchi hii ingejaa UDINI....

Kama si Nyerere nchi hii ingefurika UKABILA NA UKANDA.....

Hivi lini vijana sisi tutajifunza thamani kuu ya Nyerere ?!!

Havoc

..harakati za kudai uhuru wa Tanganyika zilikuwa za kizalendo, na hakukuwa na mambo ya udini, ukabila, au ukanda. Sio sahihi kusema mambo hayo hayapo kwasababu ya Mwalimu Nyerere.
 
Wewe wakati wa Nyerere ulikuwa bado kwenye boxer ya dingi wako,huyo Mzee alikuwa nuksi sana kwa vile tu nyakati hizo habari hazikuwa zinavuma kama zama hizi. Magazet matatu tu,Uhuru,Dailly News na Mfanyakazi na yote ni ya Serikali na Chama. Na yeye alivuna roho kiasi chake.

..kuna wakati magazeti yalikuwa Uhuru na Daily News.
 
Back
Top Bottom