Shida ya Lissu na Nyerere ni nini hasa?

Shida ya Lissu na Nyerere ni nini hasa?

Ukimpatia Lissu saa moja atatumia dk 45 kumdiss Mwalimu Nyerere kwa maneno makali kadri atakavyoweza.

Alipoulizwa na Chief Odemba kwa maoni yake kuwa ipi ilikuwa awamu iliyoongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, bila kumumunya maneno alidai ni awamu ya kwanza.

Kwa mtazamo wa Lissu, Nyerere alikuwa katili kuliko Mwinyi, Mkapa, Kikwete na JPM wote kwa pamoja.
View attachment 3073523
Nyerere ndiye kaweka misingi ya madudu yote yaliyofuatia.

Kikatiba na kisheria.

Soma katiba ya Tanzania, mapungufu yote ni kazi ya Nyerere.

Soma ripoti ya Nyalali na sheria 40 kandamizi.

Mapungufu yote hayo ni ya kutoka uongozi wa Nyerere.

Ukimlaumu Magufuli kukataza mikutano ya hadhara, utakuja kuambiwa Nyerere alivipiga marufuku kabisa vyama vya upinzani miaka ya 1960s, kwa karibu miaka 30. Akawafunga wapinzani wake kina Joseph Kasela Bantu na Christopher Kassanga Tumbo

Sasa, mtu anayeangalia mambo kwa kina na kisheria kama Lissu, akiangalia mzizi wa matatizo yote, lazima aanze na Nyerere kama tatizo.

Kama hujasoma, soma kitabu cha Profesa Paul Bjerk "Building a Peaceful Nation: Julius Nyerere And The Establishment Of Sovereignty In Tanzania 1960- 1964" utajifunza mengi sana.
 
Nyerere ni worst president ever
If yes ,Tanzania will never ever have the best president....

Nyerere was the beacon against racism ,bigotry and religious hatred , otherwise this nation would never be the way it is.....

Without his presidency this country would be vandalized into ashes through evil ideologies of tribalism and religious terrorism....

#Never give wisdom to unworthy as it is unjust to the knowledgeables [emoji7]
 
..harakati za kudai uhuru wa Tanganyika zilikuwa za kizalendo, na hakukuwa na mambo ya udini, ukabila, au ukanda. Sio sahihi kusema mambo hayo hayapo kwasababu ya Mwalimu Nyerere.
Kama si Nyerere baada ya uhuru isingekuwa rahisi kwa jamii zilizokuwa zinatofautiana ELIMU ,MAARIFA YA BIASHARA KUBWA(kibepari),EXPOSURE kuwekwa chungu kimoja na kukubali fikra ya "tunapopata tupate sote" na "tunapokosa tukose sote"....

Hakuna aliyeleta fikra hii zaidi ya Julius K.Nyerere....kwani yeye ndiye aliyeasisi UJAMAA WA KIAFRIKA...kabla ya hapo Tanganyika haikuwa na "falsafa za ujamaa wa kiuchumi".

Ni JKN aliyehimiza ELIMU ya sekondari iwafikie jamii zote kwani kabla ya hapo ni wachache katika "less privileges" walioidiriki hasa katika yale maeneo ambayo mwamko wa ELIMU YA KIZUNGU ulikuwa chini......

Think thrice
 
Mfu anaelindwa kwa nguvu
Kizazi kijacho hakita tambua Wala kumpraise kwa lolote Zaid kumporomoshea mitusi
Juu ya hilo fikra yako inashangaza mno.....

Kwa hiyo hatuna haki ya kuwakumbuka na "kuwapraise" mababu na mabibi zetu wa koo na makabila yetu kwa MISINGI MIZURI WALIYOIWEKA ?![emoji44][emoji44]

Fikra hizi ni "devilish"?!!!! [emoji44][emoji44]
 
Tatizo mmelishwa matango pori..
Nyerere ndiye rais mbovu aliyejenga misingi mibovu sana ya nchi hii.
1. Ujinga mtopeo..ni yeye chanzo
2. Unafiki wa Tz ni yeye chanzo
3. Nidhamu ya uoga ni yeye chanzo
4. Nchi kuwa omba omba yeye chanzo
5. Umaskini ni yeye chanzo
Omba omba nakataa...kwasababu yeye aliamini na kutekeleza siasa ya Ujamaa na kujitegemea. Wakati wake watu walilima sana na kufuga, hata waliokuwa wanafunzi walijua kazi za mikono za kuweza kujiajiri

Aidha, tulikuwa na viwanda vingi vya nguo, vyakula, ngozi n.k

Baada yake ndio tulianza kujikomba kwa mabepari mpaka leo mpk mikopo ya masharti yao...kwahilo Nakataa, hqyo mengine sawa japo si kwa 100% pia.

Nipo hapa....twende hoja kwa hoja with facts
 
Nyerere ana mchango wake mkubwa kuwa hivi tulivyo sasa, katika mambo huwa ananishangaza ni yeye mwenyewe kukiri katiba ina matatizo kwamba kiongozi anaweza kuitumia kuwa dikteta lakini hakuchukua hatua zozote kuirekebisha!
 
Kwa maana hiyo bila Nyerere Watanzania wasingesoma.....!?
Kabla hata yake wako watanzania wachache waliosoma...akina Dr.Kyaruzi...wakafuatia akina Hamza Mwapachu na kina John Rupia...hawa wote walitoka familia ZISIZO za chini....fuatilia....

Ni JKN aliyepunguza "gap" hilo kukaanza kuonekana wasomi wa jamii zote....mathalani "AILA" ya akina ndg.Tundu Lissu...

Think thrice
 
Ukimpatia Lissu saa moja atatumia dk 45 kumdiss Mwalimu Nyerere kwa maneno makali kadri atakavyoweza.

Alipoulizwa na Chief Odemba kwa maoni yake kuwa ipi ilikuwa awamu iliyoongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, bila kumumunya maneno alidai ni awamu ya kwanza.

Kwa mtazamo wa Lissu, Nyerere alikuwa katili kuliko Mwinyi, Mkapa, Kikwete na JPM wote kwa pamoja.
View attachment 3073523
Ni Kweli , Nyerere ndio alioleta katiba ya kidicteta , CCM Chama la hovyo , Sera mbaya za uchumi,
Unajua kwani nini Nyerere aliachia madaraka mwenyewe,
 
Ni mtazamo wako na yeye ana mtazamo wake na Mimi Nina mtazamo wangu. Kwa hiyo unataka afuate mtazamo wako? No
Sikusikilizi Lissu hasa kitendo ulichosaidia mpaka ndege zetu zikatekwa huko ughaibuni. Hukuitendea nchi yako haki, muache mwalimu apumzike, alifanya mengi.
Yeye ndo alikamata au madeniiiiiiii?
 
Mwalimu alikuwa ni Binadamu kama sisi, alikuwa na mazuri yake na mabaya yake, lakini tulikuwa tukiogopa kusema mabaya yake kipindi chake tulikuwa tunaogopa kuwekwa KIZUIZINI.

Kwahiyo tukawa tunamsifia huku tumevaa nguo zenye viraka bila viatu.
 
Lisu ni
Ndg.Lissu ni mropokaji sana...

Mropokaji haswa......

Ingekuwa si Nyerere yeye angesomea wapi?!!!

Nyerere ndiye aliyeikomboa mikoa ya kanda ya kati.....

Lissu aache mambo yake ya ajabu....

#JMT for ever
emoji7.png

Ukimpatia Lissu saa moja atatumia dk 45 kumdiss Mwalimu Nyerere kwa maneno makali kadri atakavyoweza.

Alipoulizwa na Chief Odemba kwa maoni yake kuwa ipi ilikuwa awamu iliyoongoza kwa ukiukwaji wa haki za binadamu, bila kumumunya maneno alidai ni awamu ya kwanza.

Kwa mtazamo wa Lissu, Nyerere alikuwa katili kuliko Mwinyi, Mkapa, Kikwete na JPM wote kwa pamoja.
View attachment 3073523
Tundu lisu ni pimbi mmoja hv ambaye amekuwa overrated sana kwa mihemo ya kisiasa,lakini ukimchunguza sana Huwa hana hoja za maana zaidi ya kulishwa.Hana unaharakati wowote wa maana na hata kichwani hayuko kiviile .Hafai hata kuwa mwenye kiti wala umakamu.Hamfikii mwabukusi hata asilimia 20....
 
Kwa maana hiyo bila Nyerere Watanzania wasingesoma.....!?

..serikali ya Muingereza ilikuwa inakusanya wanafunzi toka maeneo mbalimbali ya Tanganyika na kuwapeleka Government School Tabora.

..alichofanya Mwalimu Nyerere na kuongeza wigo wa jambo ambalo tayari lilikuwa linafanywa ama na serikali au makanisa.

..pia sio sahihi kusema alifanya Mwalimu Nyerere. Kauli sahihi ni SERIKALI ya Tanganyika au Tanzania ilifanya.
 
Back
Top Bottom