Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Kuanzishwa kwa AMNUT na waasi kutoka Tanu ni kiashiria cha Udini uliokuwepo ndani ya Tanu japo ulizimwa...kweli.
..lakini Nationalist walishinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuanzishwa kwa AMNUT na waasi kutoka Tanu ni kiashiria cha Udini uliokuwepo ndani ya Tanu japo ulizimwa...kweli.
..lakini Nationalist walishinda.
Kuanzishwa kwa AMNUT na waasi kutoka Tanu ni kiashiria cha Udini uliokuwepo ndani ya Tanu japo ulizimwa.
Hapo upo sahihi ila kwa mujibu wa mwanahistoria Mzee Mohamed Said serikali mpya baada ya Uhuru ilikumbwa pia na hilo jinamizi la Udini...udini na mambo mengine kama hayo haukosekani ktk jamii yoyote.
..hoja yangu ni kwamba wakati wa kudai uhuru udini na ukabila haukuwa na nguvu ndio maana tukawa na nationalist party.