The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
..serikali ya Muingereza ilikuwa inakusanya wanafunzi toka maeneo mbalimbali ya Tanganyika na kuwapeleka Government School Tabora.
..alichofanya Mwalimu Nyerere na kuongeza wigo wa jambo ambalo tayari lilikuwa linafanywa ama na serikali au makanisa.
..pia sio sahihi kusema alifanya Mwalimu Nyerere. Kauli sahihi ni SERIKALI ya Tanganyika au Tanzania ilifanya.
Point ni kuwa hata bila Nyerere shule zingejengwa na watu wangesoma. Tofauti ni kuwa mambo yangefanywa tofauti.
Kwa system ya Nyerere, Tanzania ilikuwa nyuma kielimu kwa Wastani kwa muda mrefu kumlinganisha na nchi nyingi za kusini na East Africa.