Nyerere ndio katuachia dubwasha CCM, linatutesa hadi leoNdg.Lissu ni mropokaji sana...
Mropokaji haswa......
Ingekuwa si Nyerere yeye angesomea wapi?!!!
Nyerere ndiye aliyeikomboa mikoa ya kanda ya kati.....
Lissu aache mambo yake ya ajabu....
#JMT for ever[emoji7]