mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Kama mbeya wa denish walivyo supply mfumo wa,maji hukoFanyeni haraka kuomba kampuni ya Waarabu ije isaidie
Nchi hii ss hatuwezi kitu mpaka tufanyie,nchi ina balaa hii
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mbeya wa denish walivyo supply mfumo wa,maji hukoFanyeni haraka kuomba kampuni ya Waarabu ije isaidie
Wao hawana shida, tatizo kwa wageni lazima typhoid ipite na wewe.Nawaza Ile kachumbari ya wapika chipss 🙄
Mbona wao tyfod ipo sana hukoAlafu uwezi amini mkuu, MOROGORO ndio chanzo kikuu Cha maji, safi na salama Kwa jiji la dar
Nimekaa sana milima ya kizunguzi huko...lumbiji huko miaka ya 70 wacuba walitega maji na kuyaleta kizunguzi shuleJamani Morogoro morogoro yeeee maji yatirirka milimani yooo! Inasikitisha Sana.
Mwenyeji wangu bahati nzuri anajiweza, anao uwezo wa kuchemsha maji na kuyachuja Kwa kitambaa cheupe kisafi, Kwa sababu ananiambia Kuna sikua maji yanatoka ya kijani, Yana rangi ya ugoro , na siku nyingine Yana harufu ya mavi ya mbuzi au ng'ombe, Yan 😂 ni balaa Mzee,Moro tyfod ndiyo nyumbani
Ova
Morogoro kuna watu wanatumia maji kutoka sehemu mbili, kuna wale ya kutoka milimani na wengine wanatumia kutoka pale mindu,Mwenyeji wangu bahati nzuri anajiweza, anao uwezo wa kuchemsha maji na kuyachuja Kwa kitambaa cheupe kisafi, Kwa sababu ananiambia Kuna sikua maji yanatoka ya kijani, Yana rangi ya ugoro , na siku nyingine Yana harufu ya mavi ya mbuzi au ng'ombe, Yan [emoji23] ni balaa Mzee,
Na waza familia masikini Wana huo muda wa kusafisha maji ya kunywa
Nimebust kwa kicheko🤣🤣🤣🤣Ucjal mkuu ahsnt kwa taarifa, chama sikivu cha CCM tunaendelea na harakat za kumtua mama ndoo ya maji. Na zoez litakamilika at least 2080. Ahsnt!!
Cc Myangu Faana Robert Heriel MtibeliNilikuwa kikazi mkoani MOROGORO, nikapita kwa ndungu yangu mafiga iasee, wananchi wa morogoro municipal wana shida ya maji balaa.
Hasa kipindi hiki cha kuelekea maonyesho ya 88 Hali inakuwa mbaya zaidi, kwani maji mengi wanayapeleka kunyeshea kwenye bustani za mazao mbalimbali kwenye eneo hilo la 88.
Yani week nzima maji yametoka mara tu yani 😤, tena mwenyeji wangu ananiambia hata masaa 2 hayakufika yakakatika.
Viongozi wa mkoa wa Morogoro acheni propaganda wananchi wenu wanaumia, maonesho ya 88, kila mwaka vitu ni vilele tu, watu wameshawazoea hakuna jipya, na hata wakulima wenyewe hawanufaikii kivile, kwasababu kilimo sio maonyesho bali ni shambani.
Pia usumbufu mwingine niliouona ni moshi utokao kwenye kiwanda cha ku-process tubacco, aisee harufu ya moshi wa tobacco ikifika mida ya jioni ni kali sana, mpaka maeno ya SUA huku inafika embu imangini apo means ni karibia mjini mzima, ikifika mida ya jioni wananchi wakiwemo watoto wadogo wamama wajawazito wanavuta moshi mzito wa tumbaku (tobacco).
Viongozi wa mkoa wa morogoro kuweni na weledi kwenye majukumu yenu ya kazi.
Pia nasikia mbunge abood ametoa basi la maziko, ina maana watu wa Morogoro maitaji yao ni kufa na kuzikwa tu yani 😂.
Wananchi wa morogoro municipal na viongozi kuweni serious.
Mwinyi na uchumi wake wa blue naye anakuibieni? Si anatajwa kuwa mwadilifu huyu? 😳😳😳😳Uislamu ni vitendo si mashirika , hao wote watakuwa ni walafi , wangalianza kujipanga kuliondowa Tatizo la maji,
Huku ZnZ, hali ndio hiyo , Raisi haondoki misikitini ni unafiki mtupu , yeye ndiye mwizi mkubwa
Mimi nilipewa chujio fulani na wale wazungu Irishaid wa berega,special kuchujia majiMwenyeji wangu bahati nzuri anajiweza, anao uwezo wa kuchemsha maji na kuyachuja Kwa kitambaa cheupe kisafi, Kwa sababu ananiambia Kuna sikua maji yanatoka ya kijani, Yana rangi ya ugoro , na siku nyingine Yana harufu ya mavi ya mbuzi au ng'ombe, Yan [emoji23] ni balaa Mzee,
Na waza familia masikini Wana huo muda wa kusafisha maji ya kunywa
harufu ya moshi wa tobacco ikifika mida ya jioni ni kali sana, mpaka maeno ya SUA huku inafika
Acha kuongea Uongo Mzee, najua umekuja kuwatetea Kwa kuwa mnajua mmevunja Sheria za mazingira , na mnatakiwakupigwa fine Kwa kosa hili, Sema nchi yetu viongozi ni kama misikule vileHarufu ipo mazingira karibu na kiwandani lakini Sua haifiki
Kila mradi tunataka kupiga zaidi,unategemea tutaweza kufanya project za maana kweli , ACHA wawe chawa wa mama ndio wanacho weza fanya Kwa ufasahaKama mbeya wa denish walivyo supply mfumo wa,maji huko
Nchi hii ss hatuwezi kitu mpaka tufanyie,nchi ina balaa hii
Ova
Harufu haiwezi kufika SUA bhana, dont lie the mass nduguLabda kama ww n mkazi wa chamwino ndanindani kabisa Yan í ½í¸